Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Kesho press ya Lema sijui kama itafanikiwa au watamuwahi kufanya press
20181020_050621.jpg
 
Ndugu,huwa hauna habari wala kitu cha ukweli.Weye huwa ni kaongokaongo hadi unakera.Uzi huu utakupa picha tunavyokuonaga.Badilika au uwe unawadanganya CCM wenzio.Najua CCM hamuupendi ukweli ila ndiyo hivyo sasa.😂😂😂😂😂
Ndugu, unasema sina habari wala kitu cha ukweli lakini huachi kusoma habari zangu!

Huoni kuwa hoja yako inaonyesha hujui hata mantiki ya kile ulichokiandika?
 
cha kushangaza watanzania hawa unaowashukuru kukuombea na kupiga kelele uachiwe, hutawaambia aliyekuteka. na kesho mwingne yakimtokea ww utakaa kimya as if hukuwahi kupatwa na mkasa huo. yale yale ya roma mkatoliki
 
Brother Mo, kama unanisoma ni hivi

ULIFANYA LA MAANA SANA KUWEKEZA KWENYE SIMBA SPORTS CLUB, WANASIMBA WOTE BILA KUJALI VYAMA VYAO TULIKUWA NYUMA YAKO.

Na laiti usingekuwa mmiliki wa Simba, Watu wasingekujua, Wasingefuatilia kutekwa kwako, Wasingepaza sauti waliyopaza!. Yaani nakueleza wazi brother Mo, Kwa mara ya Kwanza wale jamaa hatukwaelewa kabisaaa Stori na Matango Pori waliyotulisha!

SIMBA NGUVU MOJA!!!
Sio simba ukiwekeza kwa watu watu ukuombea dua, na Mungu utenda
 
Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!

Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!?
Masharti hayo yanawekwa na nani? Mlipaji au anayedai? Hebu tuondelee ujinga wako hapa!

Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom.
Nani aliyewahi kuzungumza yaliyomsibu hapo kabla? Miongoni mwa wote waliowahi kufanyiwa umafia nchi hii, ni nani aliyewahi kuzungumza? Au hawakuzungumza kwa sababu walilipa ransom?
Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini.
Hiyo ni hoja yako na wana-Lumumba wenzako pamoja na genge lote la wahalifu kama wale ambao waliwahi hadi kuvamia studio! Hoja iliyo mbele ya wananchi ni je, baada ya kutoweka Ben Saanane na hatimae Mwandishi wa Mwananchi, kisha kutoweka kwa ROMA na baadae kuja kupatikana kabla hajatoweka Mo Dewji na kufuatiwa na drama za Kamanda Sirro; WHO'S NEXT! Usitake kuaminisha watu kwamba utekaji kwa sasa unalenga matajiri wakati utekaji nchi hii hivi sasa unaelekea kuwa ni jambo la kawida! WHO NEXT?
 
Jeshi limepiga kazi kwelikweli, asubuhi gari ya blue usiku karudi nyumbani. Hivi gari ya blue walimpa lift wakamshusha getini nini, nawaza tu.
 
Kuna MTU mzima na mkubwa katika nchi kila siku anatembea matako wazi mbele za watu,cha kushangaza hapandishi suruali.Ndio kwanza anaacha matako yaingie vumbi na matope.SHAME.
 
Yaani kelele za Lema ziwe msingi wa kupatikana Dewji lakini kelele hizo hizo zisiweze kumleta Ben Saanane? You must be joking!

Nani mwenye uhusiano wa karibu kikazi na kimaisha kati ya Lema na Ben Saanene au Dewji?

Kumbuka Ben Saanane alikuwa mfanyakazi wa CHADEMA

Ulichofanya ni kutoa shukrani ambazo hazina hata ukweli kifikra!


Ignored.
 
Back
Top Bottom