Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Masharti hayo yanawekwa na nani? Mlipaji au anayedai? Hebu tuondelee ujinga wako hapa!

Nani aliyewahi kuzungumza yaliyomsibu hapo kabla? Miongoni mwa wote waliowahi kufanyiwa umafia nchi hii, ni nani aliyewahi kuzungumza? Au hawakuzungumza kwa sababu walilipa ransom?
Hiyo ni hoja yako na wana-Lumumba wenzako pamoja na genge lote la wahalifu kama wale ambao waliwahi hadi kuvamia studio! Hoja iliyo mbele ya wananchi ni je, baada ya kutoweka Ben Saanane na hatimae Mwandishi wa Mwananchi, kisha kutoweka kwa ROMA na baadae kuja kupatikana kabla hajatoweka Mo Dewji na kufuatiwa na drama za Kamanda Sirro; WHO'S NEXT! Usitake kuaminisha watu kwamba utekaji kwa sasa unalenga matajiri wakati utekaji nchi hii hivi sasa unaelekea kuwa ni jambo la kawida! WHO NEXT?

Umejuaje kwamba huko kusini mwa Afrika huwa wanateka matajiro for ransom wakati umeshasema masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lolote?
Ni mpumbavu anasema huu ni ujinga halafu anapoteza muda wake kutoa povu kwenye ujinga!

Povu ulilotoa linaonyesha ni jinsi gani ujinga wangu umekuchoma kihoja mpaka unaonyesha upumbavu wako!

Kama umechukia sana, go hang! Who care?
 
Someni komenti za ma ccm....

Guest starring Zirro kashindwa kumalizia muvi...

Mpyuuuuu....
 
Kwahio kaachiwa baada yakutoa hela ambazo waliomba au hao wazungu wamekamatwa?

Na kama wametoa hela kwa watekaji wamepeana vipi hizo hela na tutajuaje kama hao watekaji hawataendelea kuteka watu?

Tunashukuru Mo yupo hai, watekaji status yao vipi?
 
Brother Mo, kama unanisoma ni hivi

ULIFANYA LA MAANA SANA KUWEKEZA KWENYE SIMBA SPORTS CLUB, WANASIMBA WOTE BILA KUJALI VYAMA VYAO TULIKUWA NYUMA YAKO.

Na laiti usingekuwa mmiliki wa Simba, Watu wasingekujua, Wasingefuatilia kutekwa kwako, Wasingepaza sauti waliyopaza!. Yaani nakueleza wazi brother Mo, Kwa mara ya Kwanza wale jamaa hatukwaelewa kabisaaa Stori na Matango Pori waliyotulisha!

SIMBA NGUVU MOJA!!!

Roho nzuri ya MO na kujichanganya na watu kuondoa tabaka la tajiri na masikini ndio limemfanya apendwe na Watanzania wengi na wala sio kuwekeza Simba.
 
Wakuu hatimae ndugu yetu Mo kapatikana usiku mnene (saa 8)
Screenshot_20181020-054805.jpeg
 
Certified Idiot wewe, Mlikuwa mnamdanganya nani, Naona mmeumbuka sana baada ya kuweka picha ya gari yenye pancha jana Huku mkitoa povu

Nchi zima jana imeishia kucheka na ile picha yenu

Wewe Mleta Thread na Kundi lako mlioamua kujitoa ufahamu kisa mna taaluma maalumu yaani ni Certified Idiot

Kumteka unamteka mwenyewe baada ya kuumbuka kwa zile picha mnakuja kutoa povu tena

Zéro brain wewe
Mpe huyo zero brain
 
Mo amerejea nyumbani kwake mzima wa afya usiku huu, kelele za watanzania na dunia kwa ujumla zimesaidia...
Shukrani za pekee kwa mungu wetu [emoji120][emoji120][emoji120]
Karibu nyumbani, Mkurugegenzi w MeTL
Uendelee kuwapa ajira watanzania...
 
Mzuqaaaa!

Anajulikana mwamba wa kaskazini akitamka kitu kinatetemesha laana siyo mwengine bali
👇👇👇👇👇👇👇
GODBLESS JONATHAN LEMA

Ilibidi wasande maamae jamaa aliposema leo ataitisha press. Wakakaa nakuafikia nakukubaliana wamtoe faster Mo wetu kabla Mic lukuki za kitaifa na kimataifa zikimzunguka meza idpokua za tbc.

Walishapiga mahesabu hapa hii press ya pili ya mwamba wa kaskazini itatuweka pabaya kwasababu zile nondo na madini Godlesa angeshusha.

Hakuna kuwachekeachekea tena.

Mods pleaseaaa msiunganishe uz wangu
 
Back
Top Bottom