Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kulikuwa kunaenda kuharibu taswira ya Tanzania kimataifa
Wamemteka na kumrudisha, Jana Baada ya picha kuwaumbua kua lile gari lipo garageHongera igipi kutuonyesha picha asubuhi na kumpata Mo instantly [emoji23]
Nani kakudanganya kuwa kuna masharti baada ya kurudi?Masharti yanawekwa pale wanapokuwa wamekushikilia,wakikuachia hawana power ya kukucontrol usiongee!!!!Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!
Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!
Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom na hakuna makubaliano.
Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini kwa matajiri.
Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.
Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?
Tena saa tisa alfajiri, magazeti yameshachapisha habari za leoWamemteka na kumrudisha, Jana Baada ya picha kuwaumbua kua lile gari lipo garage
Naona zitto alipigiria msumari wa mwisho ile tweet yake imezunguka sana wameamua kumuweka Mo gymkhana
unaipa hongera kwa usanii? Wao wanajua alipokuwepo! Tz imekuwa Nchi ya ajabu Sana sasa hivi tunasemwa vibaya na wenzetu. Ukipita mtaani au mghahawa wanaonifahamu wanauliza maswali ya ajabu!Hongera jeshi LA polisi.
Radio One "MO amepatikana akiwa salama maeneo ya GymKhana Dar es salaam! Taarifa za hivi punde RadioOne saa 11:06 asubuhi tarehe 20 Oct 2018"
Pihichidii ya korosho?Cashewnut head!PhD holder, upstairs zero
Weka hapa tumsikie basi"mange kimambi aliyasema yote haya"
Mambo mengine ni aibu kwa kweli [emoji1]Tulisema hata kuku tu zinajua Mo alipo.
NGOJA WATU WAINGIE CHOCHO WATAKUJA NA DETAIL!Wameona ni bora kumrudisha kwake saa 10 kasoro ya alfajiri,ili wakuda wasimwone katokea wapi,kaletwa na nani ama kaja na gari gani
Kazi bado ipo[emoji3][emoji3]