cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Wote waliowahi kutekwa na kupatikana wakiwa hai hakuna aliyethubutu kufunguka ukweli wa nn alichotendwa, alichoambiwa au sababu ya kutekwa…
Sasa leo MO kaja na hii ya LUGHA NA LAFUDHI YA SOUTH AFRICA….
je, tuamini kwamba watekaji ni walewale wamekuja na mbinu tofauti ili kulinda kauli ile ya WATEKAJI NI WAZUNGU?
Gari iliendeshwa kasi kwa dk 15 tu then akaingizwa kwenye chumba…!!!!???
Na gari ileile iliyomteka ndio ilomtupa uwanja wa Gymkhana…!!!???
Kwhiyo hiyo gari bado ipo ndani ya Dar na makachero wapo wanapambana kuitafuta… hahahahahaha
Hivi hapo umeandika nini haswaaa?
Naona wengi mmeumia kwa yeye kurudi mzima.