cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Wote waliowahi kutekwa na kupatikana wakiwa hai hakuna aliyethubutu kufunguka ukweli wa nn alichotendwa, alichoambiwa au sababu ya kutekwa…
Sasa leo MO kaja na hii ya LUGHA NA LAFUDHI YA SOUTH AFRICA….
je, tuamini kwamba watekaji ni walewale wamekuja na mbinu tofauti ili kulinda kauli ile ya WATEKAJI NI WAZUNGU?
Gari iliendeshwa kasi kwa dk 15 tu then akaingizwa kwenye chumba…!!!!???
Na gari ileile iliyomteka ndio ilomtupa uwanja wa Gymkhana…!!!???
Kwhiyo hiyo gari bado ipo ndani ya Dar na makachero wapo wanapambana kuitafuta… hahahahahaha
Unaona kuwa Lumumba wote ni sawa na Kabudi... Professorial and presidential rubbish!Huo ndo ufinyu wa akili yako.
Moto umewakaje?Kweli mkuu, kichaa na baste wameona kumewaka moto, ndio wakaamulu watu wasiojulikana kumuachilia MO
Huyu hapaView attachment VID-20181020-WA0003.mp4Habari hii kweli?
Mungu igeuze habari hii kuwa kweli
Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!
Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!
Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom na hakuna makubaliano.
Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini kwa matajiri.
Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.
Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?
Ukiliona gari hilo toa taarifa.Wote waliowahi kutekwa na kupatikana wakiwa hai hakuna aliyethubutu kufunguka ukweli wa nn alichotendwa, alichoambiwa au sababu ya kutekwa…
Sasa leo MO kaja na hii ya LUGHA NA LAFUDHI YA SOUTH AFRICA….
je, tuamini kwamba watekaji ni walewale wamekuja na mbinu tofauti ili kulinda kauli ile ya WATEKAJI NI WAZUNGU?
Gari iliendeshwa kasi kwa dk 15 tu then akaingizwa kwenye chumba…!!!!???
Na gari ileile iliyomteka ndio ilomtupa uwanja wa Gymkhana…!!!???
Kwhiyo hiyo gari bado ipo ndani ya Dar na makachero wapo wanapambana kuitafuta… hahahahahaha
Hawa jamaa wamemfanya ni kijana wetu hadi anashindwa hata kumtizama siro usoni? Kumbe unaweza kuwa tajiri ukfanywa chochote!MFANYABIASHARA MAARUFU MOHAMMED DEWJI APATIKANA AKIWA HAI
Amepatikana akiwa ametupwa kwenye viwanja vya Gymkhana
Baada ya kutekwa Gari ya watekaji iliendeshwa kwa kasi sana na kwenda kuwekwa kwenye chumba akiwa amefunikwa uso
Asema watekaji walikuwa wakiongea lugha inayoonekana kuwa ni ya Afrika Kusini
View attachment 904322
View attachment 904323
Hivi hapo umeandika nini haswaaa?
Naona wengi mmeumia kwa yeye kurudi mzima.
Aibu Sana ''. AiseeMovie amekosea aliyefanya photoshoot ya gari, ndio maana imekatishwa gafla.
Leo ni siku spesho ya kujadili kuonekana kwa Mtanzania mwenzetu, hiyo mada weka pembeni kwanza.Kubenea Na Anthony Komu wanampenda Mayor Jacob Na Ndugu Mbowe?
Naona ndio umeamka mkuu nenda kanawe kwanza uso upige na mswaki#BREAKING Kwa mujibu wa Waziri January Makamba, Mfanyabiashara Mohammed Dewji amepatikana, “Nimemuona na kuongea kwa kirefu na Mohammed Dewji, ni mzima wa afya isipokuwa ana alama za kufungwa kamba mikononi na miguuni, mnamo saa nane usiku Watekaji waliamua kumtupa kwenye maeneo ya viwanja vya Gymkana, naamini Polisi watatoa taarifa za ziada kuhusu kilichojiri” -