Hawawezi kuliona hilo., press iliyokuwa imeandaliwa na Mh Lema, it has been overtaken by event ya kupatikana kwa Mo and will be merely be a political propaganda!CCM poleni mmeonyesha udhaifu mkubwa sana kwenye tukio hili, press ya Lema haina maana tena kwa sababu ilikuwa purposely kwa ajili kujibu press ya jana ya Sirro.
Natumaini Billion 1 inaenda kwa Jeshi la Polisi. Au inaenda kwa Lema na Zitto
Kuonyesha ujinga wako hadharani ni sawa na kuonyesha utupu mbele ya watoto. Tulia tuu mkuuLeo hamna na kuongea walahi
Puuuuurreessii confrrrreeenssiii LEEEEMMMMAAA. TIIIIIII AIBU ptuuuuu mate ya uso kwake walahi
Lema na Zitto mnawapa sifa za uongo. Ni watekaji wamekosa njia ya kumtorosha tu wakamrudisha baada ya Jeshi la polisi kubana kila njia ya kumtolea. Na baada ya kutoa picha ya gari wakafahamu tayari wako uchi wa mnyama. Lema hana issue. Ni mvuta bange kama wavuta bange wengine.Nasema tena narudia, bila kelele za Mb. Mh. Lema, Mo Dewji asingelipatikana. Kelele za Lema zimesadia. Ile press ilikuwa na impact kubwa sana. Pia Zito alitweet kuwa Siro anajua alipo Mo. Press ya jana ya Siro na maswali yaliyoibuliwa na hotuba yake yameibua irresistible conclusion kuwa SIRO anajua alio Mo Dewji (by Zito Kabwe)
Polisi ndio haoHivi huyu waziri alivyotekwa tu alikuwa wa kwanza kutuambia kaongea na babake, leo usiku huu ni yeye kawa wa kwanza kutuambia kaongea nae! Mo hakuwa kwa mjomba wake ati yuko nyumbani kwake salama! Alitakiwa awe kituo cha police kuisaidia maelezo, then hosipitali then jeshi lireport yuko salama. Huwezi kutoweka, au kotoweshwa then ukarudi au kurudishwa nyumbani ikaishia hapo. Ngoja kukuche.
tena wamemuachia tu akachukua simu na kutweet, kwa hali ya kawaida tu sio rahisi akili inakua haiko sawa..Yan ameachiwa saa tisa du ko huo muda wa saa tisa usiku ametoka nchi jilan akaletwa Tanzania?au alikua humu hum Tz tu wanacheza na akil zetu
Jambo la kwanza tunamshukuru Mungu mwingi wa rehema kwa kupatikana kwa MO. Hata hivyo kitendo hichi kimetutia doa kubwa sana. Mioyo yetu tayari imeshainama na watesi wetu Mungu anawajua na atawashughulikia kama mfalme NebugarinezaMFANYABIASHARA MAARUFU MOHAMMED DEWJI APATIKANA AKIWA HAI
Amepatikana akiwa ametupwa kwenye viwanja vya Gymkhana
Baada ya kutekwa Gari ya watekaji iliendeshwa kwa kasi sana na kwenda kuwekwa kwenye chumba akiwa amefunikwa uso
Asema watekaji walikuwa wakiongea lugha inayoonekana kuwa ni ya Afrika Kusini
View attachment 904322
View attachment 904323
Bahkresa jiandae
Pumbavu!Yaani kelele za Lema ziwe msingi wa kupatikana Dewji lakini kelele hizo hizo zisiweze kumleta Ben Saanane? You must be joking!
Nani mwenye uhusiano wa karibu kikazi na kimaisha kati ya Lema na Ben Saanene au Dewji?
Kumbuka Ben Saanane alikuwa mfanyakazi wa CHADEMA
Ulichofanya ni kutoa shukrani ambazo hazina hata ukweli kifikra!
Haha bavicha bwana hivi ni kelele ndio zimemtafuta mpaka akapatikana?
Jeshi la polisi na vyombo vingine vya dola vimedhibitisha weledi wake.
Sio kila jambo mnalilia wachunguzi wa kimataifa.
Chadema mnekuwepo wakati wa vita vya Idd amini si ajabu pia mngeshauri wachunguzi wa kimataifa waje kutusaidia.
Ulisikia lolote zaidi ya hapa nitag mkuu. Na huu ndio mwisho wa taarifa ya habari kutoka radio San Sirrro, msomaji wenu Daudi Albert Bashite!kuna ukweli. hili swala likiisha kimyakimya kama la Roma mkatoliki tutajua watekaji ni wale wale..
Unatekwa unapelekwa usikokujua umefungwa macho ukitoka huko unahisi ulikua kuzimu utahadithia nini?Ni kweli kabisa tunamshukuru Mwenye Mungu kwenje jambo hili, ila asipotuambua alikuwa wapi na tukio zima la kutekwa kwake lilikuaje watanzania hatuta mwelewa!