chase amante
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 5,599
- 2,115
Daah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa bwana ila Mungu akulipe kwa unayoyafanya
Sawa..kwanza ALIYESEMA THOSE EXACTLY WORDS kwambaa ni "WAZUNGU WA MSUMBIJI" ni nani!?? Maana hakuna polisi aliyesema hayo mamamneno uliyoandika..unless wewe ndo uwe msemaji wa polisi.Mtoa mada
Acha kua kichwa maji
Ushaambiwa kua ni Wazungu wawili wa Msumbiji ndio walomteka MOO.
Na gari ilotumika ishaonyeshwa, kua ilinaswa na CCTV.
Kua na amani,nchi yetu iko salama sana.
Bila shaka,
Jeshi letu tiifu litawafikisha mahakamani watekaji hivi punde.
Lakini unaakili wewe! Isije ikawa kuna vichaa humu!! Maana hueleweki haswaa.
JiweKaachiwa kwani alikuwa anashikiliwa na nani ?
Nipo kwa maombi na isack mwanao mpendwa yatatokea tuuAmina
Nimefurahi unajua ninayofanya ni kuandika tu humu JF kama nawe unavyoandika.
Mchezo wa kuchezewa kinyeo(inyaa) umeharibu ubongo wako, KaraiMpuuzi sana na uvivu wako wako, imbecile walahi
Napenda mpira ila hapa nimetoka kapa!hakuna msauzi mpumbavu kama kipa wa zamani wa simba
Senge sana we jamaa! Unataka ku-justify uhalifu mnaofanya! Pumbavu zako na mabasha zako wanaokutumaga kuja kuhalalisha ushenzi wao hapo! Narudia, hizo sheria zako anaziweka nani na kama zipo mbona unafahamu kwamba Kusini mwa Afrika kunakuwa na utekaji for ransom?Ni mpumbavu anasema huu ni ujinga halafu anapoteza muda wake kutoa povu kwenye ujinga!
Povu ulilotoa linaonyesha ni jinsi gani ujinga wangu umekuchoma kihoja mpaka unaonyesha upumbavu wako!
Kama umechukia sana, go hang! Who care?
Sasa hujaelewa nn hapo....?Tunaumia kuona watu wanatekwa,wanarudushwa watekaji hawapatikani kamwe...why???Hivi hapo umeandika nini haswaaa?
Naona wengi mmeumia kwa yeye kurudi mzima.
Umeiona plate namba ya gar lililotelekezwa gymkhanaa?Mambosasa: Taarifa siku ya tukio,waliomteka Mo ni wazungu wawili
IGP: waliomteka Mo walikuwa na gari la nchi jirani ila hakulitaja,ila wataalamu wa kufuatilia lile gari walisema ni la Msumbiji
Mo amepatikana Dar es salaam lakin si Msumbiji, wala Afrika Kusini
Baada ya kupatikana:Mambosasa: waliomteka Mo walikuwa wasouth Afrika ,walikuwa wanaongea kilugha
Unaweza ukajiuliza maswali hapa ,kichwa kikaota upara bila kupenda