Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Sawa..kwanza ALIYESEMA THOSE EXACTLY WORDS kwambaa ni "WAZUNGU WA MSUMBIJI" ni nani!?? Maana hakuna polisi aliyesema hayo mamamneno uliyoandika..unless wewe ndo uwe msemaji wa polisi.
Anywy.. Wamekamatwa!??
 
Mungu mkubwa.
Ila siwaelewi hawa watekaji dhumuni lao ni nini haswa. No ramson, no nothing! Or is it to instill terror to the public?
 
Inashangaza sana MO kutoka mikononi mwa watekaji halafu akapewa na simu ya kuwasiliana na ndugu zake baada ya kuachiwa.

Halafu imekuwaje mpaka sasa aendelee kuwa nyumbani wakati ndo kwanza katoka kutekwa, nadhani alitakiwa akamatwe kama Abdul Nondo akahojiwe aisaidie polisi.
 
Utata kwa waliomteka mo ni kwako wewe lakini sio kwa akina Mambosasa.
 
Ni mpumbavu anasema huu ni ujinga halafu anapoteza muda wake kutoa povu kwenye ujinga!

Povu ulilotoa linaonyesha ni jinsi gani ujinga wangu umekuchoma kihoja mpaka unaonyesha upumbavu wako!

Kama umechukia sana, go hang! Who care?
Senge sana we jamaa! Unataka ku-justify uhalifu mnaofanya! Pumbavu zako na mabasha zako wanaokutumaga kuja kuhalalisha ushenzi wao hapo! Narudia, hizo sheria zako anaziweka nani na kama zipo mbona unafahamu kwamba Kusini mwa Afrika kunakuwa na utekaji for ransom?
 
Waganga wa kienyeji na wachawi wameikosa bilioni moja. I hate to see sadism in my homeland. God have mercy.
 
Director alisahau muendelezo wa Toyota Noah akakumbuka Surf peke yake ameona isiwe nongwa mchukueni huyo mtu wenh
 
Umeiona plate namba ya gar lililotelekezwa gymkhanaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…