Kama vile wewe ndiye uliyemteka Mo! Twambie ukweli.Hii Movie ni Professional rubbish
Ni ya kitoto sana Upuuzi na Upumbavu
Hahaha aisee wayekaji wamevuna aibu ya karne kwenye hili maana tukio hili limewavua nguo kabisa na wameonesha wasivyo makin na mission zao za kipumbavuNi upepo na pia aliyetekwa ni tofauti kabisa na kina ben saanane. No offense to them, na wao ni binadamu ila tuwe wakweli, Mo ni ligi nyingine. Mtekaji lazima uwe na hofu maana nchi nzima ilisimama na dunia pia ilimulika.
Barbaric!
Habarini za asubuhi wakuu..
Ni jambo la kumshukuru Mwebyezi MUNGU kwa kuwezesha ndugu vyetu kupatikana akiwa hai na salama..Lakini kwenye Hili saga kuna mambo machache nimejifunza/nimeyaona ambayo ningependa kushea na nyinyi..
1.Wananchi wengi hawana imani na Mfumo wa Usalama wa nchi.
Baada ya Mo kutekwa,sehemu kubwa ya wananchi(mfano humu JF) walikuwa wanadai kwamba SERIKALI inafahamu alipo(inahusika) kulingana na mlolongo wa matukio ya kupotea watu mbalimbali ktk awamu hii.
2.Baadhi ya viongozi ni wa Ajabu sana.
Watu wengi waliponda na kuwa disappointed kiongozi fulani aliposema eti watu wasizungumzie kupotea kwa MO maana wanawatia huzuni wanafamilia[emoji23][emoji23][emoji23]..it was funny(myb he had a strong point..but it sounded funny among most of people)
3.POLISI BWANA!!
Hapa sina cha kuongezea..maana hata mimi nilishangazwa na zile picha za "CCTV" zilizotolewa(unless niwe sikumwelewa kamanda)
Pili;Kamanda alitoa maelezo ya kujichanganya kuhusu watekaji..mara ni raia wa kigeni(wazungu)..mara ni wasouth africa walikuwa wanaongea kilugha..uts contradicting!! Ukijumlisha na picha zililizokuwa released jana zilipingwa kwa nguvu zote na watu wengi kwamba pale sio kwny ile hotel.
Pia kamanda aliogopa nini kusema hiyo gali ina namba za usajili za msumbiji!?? Kwanini aafichefiche eti ni "nchi jirani"???anaonesha kama anawaogopa hivi(conspiracy theory[emoji23])
Tatu watekaji walimtupa MO baada ya kumalizana nae so msijipe credits nyingi sanaaa mtaharibu.mmefanya kazi nzuri lakini.
Nne; kelele za wanasiasa na wannchi zimesaidia kupatikana kwa mo..huo ndo ukweli.
4.MWISHO.
Je Watekaji walikuwa wanataka nini!? Je itasemwa hadharani au itabaki kuwa siri(kama kina ishu ya kina Roma!!?)
Conclusion!!
Hizi habari za kutekana si nzuri zinaharibu sifa ya nchi na tunaonekana ni watu wa ajabuajabu..Tanzania ni nchi ya amani..tuitunze na tusupport vyombo vyetu vya usalama kwny kazi zao ili mambo yawe smooth.
Nice weekend everyone.
Muulize DAB na babakeHii inaonyesha familia wamelipa ransom!
Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!
Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom na hakuna makubaliano.
Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini kwa matajiri.
Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.
Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?
Kuwa na subira ni muhimu, Ila subira ya roma,ulimboka. lisu kwa kweli unachosha sana Subra ina kikomo chaketusubir uchunguz uendelee
Tz hii hii ingewaka moto!? Kuwa serious basi,nani angeuwasha huo moto!? Kwa siku hizo saba alizokaa bila ya wawashaji moto kuwa na matumaini yoyote ulijaribu hata kidogo kuwasha moto?Ameona tz itawaka moto ,kaamuru watu wasiojulikana wamurudise salami salimini, lakini namushauri hivyo hivyo ahame tz kabisa
By necessary implication, jana SIRO alijichanganya sana kiasi hata kichaa angelijua kuwa Mo amefichwa na SIRO, for that matter serikali! conscious ya "aliyemtuma" --by the way anajulikana, imemsuta na wakaamua wamuachie!Yaani kelele za Lema ziwe msingi wa kupatikana Dewji lakini kelele hizo hizo zisiweze kumleta Ben Saanane? You must be joking!
Nani mwenye uhusiano wa karibu kikazi na kimaisha kati ya Lema na Ben Saanene au Dewji?
Kumbuka Ben Saanane alikuwa mfanyakazi wa CHADEMA
Ulichofanya ni kutoa shukrani ambazo hazina hata ukweli kifikra!
Gari iliyompeleka nchi jirani imemrudisha kupitia boda ile ile na namba zile zile. Na huenda uhamiaji wamehakiki pasport zao na wakazigonga kuingiaJesh LA polisi limejitahidi nini?
Kumteka?
Kumtafuta?
Kumuachia?
Kutomuua?
Mawazo ya kitumwa.Hahahaha ushamba wa jiwe utamcost siku moja
Cover story hapa itakuwa ni nini ? Maana hata mtoto mdogo anajua Mo alichukuliwa na kina nani .
Halafu watu wa aina hii ndio wakakae meza Moja na kina Prof Thontorn wa Barrick tutegemee kulipwa na Accasia matrilioni ??
Tutakesha tukisiburia hilo
Anayekulinda wewe na mali yako hata ukaweza kila mara kuandika humu JF ni nani? Au anayewalinda hao Mabwana zako, ambao kila kukicha hukimbilia kwenye vyombo vya habari kuilaumu Serikali, kama hufanyavyo humu JF, wakiwa huru na salama, ni nani?Kinachowalinda hawa watu ni kwasababu wameshika dola.