Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

walidokoa mboga jikoni (kwa wizi) wakalamba mchuzi.
walipoulizwa wakamaka......"no, no, hatukuiba nyama sisi!, tunamhisi jirani hapo nyumba ya pili".
jana sasa, wakajitokeza hadharani tena kusisitiza "hatukuiba sisi".
lakini walisahau kufuta mchuzi ulioganda kidevuni.
watu wakauliza "mbona kidevu kina mchuzi?".
wakajua wameumbuka.
leo wamerejesha nyama yote, waliaambulia kulamba mchuzi tu!!!

Mungu hataniwi!
 
Serikali hii inatumia vibaya yombo vya dola. Tuweke kumbukumbu ya ujinga huu na wakitoka madarakani tuwafunge tusitazame Katiba wanayoitumia vibaya . Kilichofanyika ni UHUNI wa kijinga . Hebu fikiria wananchi wangeingia barabarani ingekuwaje. Tuje tuwafunge kuanzia kiongozi MKUU hadi wasaidizi wake.
 
Ni upepo na pia aliyetekwa ni tofauti kabisa na kina ben saanane. No offense to them, na wao ni binadamu ila tuwe wakweli, Mo ni ligi nyingine. Mtekaji lazima uwe na hofu maana nchi nzima ilisimama na dunia pia ilimulika.
Hahaha aisee wayekaji wamevuna aibu ya karne kwenye hili maana tukio hili limewavua nguo kabisa na wameonesha wasivyo makin na mission zao za kipumbavu
 
Shukrani Polisi wetu kwa kazi nzuri.
Pongezi kwenu sana.
Tulimuhitaji MO na amepatikana basi.
Hamuwezi kuwafurahisha watu wote kwa wakati mmoja.
Mimi nimefurahi sana sana, maana nilihuzunika sana.
Watani Zetu wa Yanga mupooo, tunawashukuru sana kwa kutuunga mkono kwa huu mkasa wa Bosi wetu.
Kuanzia leo nitawaheshimu sana sana,
Siwacheki tena labda kama mkifungwa kwenye mechi zenu.
[emoji123] nguvu moja.
 
me naomba kujua jesh la polis alifanyi kaz ipasavyo.. jana igp sirro kaongea sana na gar lilohiska kumteka mo limeonesha mpka plate number na wamedai ni la nchi jiran hapo wamechunguza sna.. mpk hayo majibu tumepewa jana... haya ssa gari lilihusika kumbe sio ni gar la hapa hapa tz.. ndo tunatka kusema jeshi letu bdo sana kwenye uchunguz.. ila igp sirro aje tu tena aite waandsh wa habar ATUOMBE RADH WATANZANIA WOTE KWA KUTUDANGANYA NCHI NZIMA
 
Watanzania, ni makosa makubwa sana yalifanyika kuwapa nchi hawa MALIMBUKENI na WASHAMBA, hata mzee LUBUVA anajutia sana hilo kwa sasa.
Sina hakika kama mtaweza kuwatoa hawa kwa sanduku la kura pekee, maana watapita tu kwa MABAVU. Lakini historia itawahukumu.
 

Kama Tz ina wachambuzi Kama wewe basi Kazi ipo.
 
Muulize DAB na babake
 
Sisi tunaoenenda katika roho tunaiona hekima ya Mungu katika ujumbe wake. Tulifundishwa ya kuwa maneno yetu yasiwe mengi na tuwe watu wa kushukuru!
 
Ameona tz itawaka moto ,kaamuru watu wasiojulikana wamurudise salami salimini, lakini namushauri hivyo hivyo ahame tz kabisa
Tz hii hii ingewaka moto!? Kuwa serious basi,nani angeuwasha huo moto!? Kwa siku hizo saba alizokaa bila ya wawashaji moto kuwa na matumaini yoyote ulijaribu hata kidogo kuwasha moto?
 
By necessary implication, jana SIRO alijichanganya sana kiasi hata kichaa angelijua kuwa Mo amefichwa na SIRO, for that matter serikali! conscious ya "aliyemtuma" --by the way anajulikana, imemsuta na wakaamua wamuachie!
Lema alitoa nyongo akiwa ameshaamua kuwa maiti any time! Ile press yake ilikuwa very focused, precise and touching with accurate prediction who is likely to be the kidnapper!
 
Ma
Mawazo ya kitumwa.
 
Kinachowalinda hawa watu ni kwasababu wameshika dola.
Anayekulinda wewe na mali yako hata ukaweza kila mara kuandika humu JF ni nani? Au anayewalinda hao Mabwana zako, ambao kila kukicha hukimbilia kwenye vyombo vya habari kuilaumu Serikali, kama hufanyavyo humu JF, wakiwa huru na salama, ni nani?
 
Yaani Tanzania kuna watu wanamitindio ya ubongo, alipopotea walilalamika na kutukana, amepatikana wanalalamika na kutukana.

Daah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…