M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
walidokoa mboga jikoni (kwa wizi) wakalamba mchuzi.
walipoulizwa wakamaka......"no, no, hatukuiba nyama sisi!, tunamhisi jirani hapo nyumba ya pili".
jana sasa, wakajitokeza hadharani tena kusisitiza "hatukuiba sisi".
lakini walisahau kufuta mchuzi ulioganda kidevuni.
watu wakauliza "mbona kidevu kina mchuzi?".
wakajua wameumbuka.
leo wamerejesha nyama yote, waliaambulia kulamba mchuzi tu!!!
Mungu hataniwi!
walipoulizwa wakamaka......"no, no, hatukuiba nyama sisi!, tunamhisi jirani hapo nyumba ya pili".
jana sasa, wakajitokeza hadharani tena kusisitiza "hatukuiba sisi".
lakini walisahau kufuta mchuzi ulioganda kidevuni.
watu wakauliza "mbona kidevu kina mchuzi?".
wakajua wameumbuka.
leo wamerejesha nyama yote, waliaambulia kulamba mchuzi tu!!!
Mungu hataniwi!