Dah, mbona unaandika visivyoeleweka mkuu?mkuu hii ransom.inanywa na mamraka halisi za inchinau mahalamia kama wale waliokuwa wakiteka meli za mafuta kule somalia? Kama mamlaka halali za nhi zinaingia huko basi hahitajiki kuwa tajiri.maana ukowa tajiri ni issue
Inachekesha.kweli aiseeeVijana wa Sirro walikuwa wametanda kila kona ya dar wakimsaka MO....Leo gari aina ya surf imepita na kwenda kumtupa bila vijana kuliona...hili gari liliwekwa mfukoni kama pipi au???
Hii movie imeichafua sana nchi yetu,sijajua kwanini kina DAB hawajafikiria hilo kabla ya kufanya upuuzi wao.Zito, Lema na Mange Kimambi hawa ndio walichambua bila kuogopa
Dah aiseeeeUmeambiwa hao waliziaga familia zao wameenda kufanya kazi nje ya nchi. Uwe unaelewa maelekezo ya viongozi wako
Hivi hio 7000 ndo inakufanya ujitoe ufahamuYaani kelele za Lema ziwe msingi wa kupatikana Dewji lakini kelele hizo hizo zisiweze kumleta Ben Saanane? You must be joking!
Nani mwenye uhusiano wa karibu kikazi na kimaisha kati ya Lema na Ben Saanene au Dewji?
Kumbuka Ben Saanane alikuwa mfanyakazi wa CHADEMA
Ulichofanya ni kutoa shukrani ambazo hazina hata ukweli kifikra!
Tunataka majibu, hamuwezi kuliweka taifa kwenye tension kubwa namna hii halafu hili jambo likaisha kirahisi hivi
Waswahili husema ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka, Huenda wasiojulikana wako mbioni kujianika
Tunataka majibu, hamuwezi kuliweka taifa kwenye tension kubwa namna hii halafu hili jambo likaisha kirahisi hivi
Watu wawili au kumi hawawezi kudanganya UMMA wa watu Million 40 Kwa wakati mmojaMambosasa: Taarifa siku ya tukio,waliomteka Mo ni wazungu wawili
IGP: waliomteka Mo walikuwa na gari la nchi jirani ila hakulitaja,ila wataalamu wa kufuatilia lile gari walisema ni la Msumbiji
Mo amepatikana Dar es salaam lakin si Msumbiji, wala Afrika Kusini
Baada ya kupatikana:Mambosasa: waliomteka Mo walikuwa wasouth Afrika ,walikuwa wanaongea kilugha
Unaweza ukajiuliza maswali hapa ,kichwa kikaota upara bila kupenda
Kama hujapata cheo chochote kipindi cha jiwe utakua na gunduKuna kutekwa na kujiteka!
Matajiri hutekwa, masikini kama Roma hujiteka!
Wazazi wao wanawatafuta watoto wao, kama waliagwa wasingekuwa wanawatafuta.Umeambiwa hao waliziaga familia zao wameenda kufanya kazi nje ya nchi. Uwe unaelewa maelekezo ya viongozi wako
Hii ni aibu nyingne yaani dairekta wa hii muvi ni kilaza bora hata Ray kigos angetoa muvi nzuri.Yajayo yanafraisha mkuu,, Ni kuumbuka kwa kwenda mbaliiii zaidi Unajuwa kila kitu kina mwanzo na kati then mwisho