Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 481
Yaani nchi haiko salama kabisa.Kama alitupwa Gymkhana inamaanisha "wazungu" hawajakamatwa na nchi haiko salama kwani hawa wazungu ni hatari kwa usalama wa raia.
Pamoja na ulinzi ulivyoimarishwa na vijana wa Siro..yet "wazungu" wanaingia na kutoka waptakavyo.
Na gymkhana grounds ziko Jirani na magogoni...??