Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Tangu kutekwa kwa Mo Dewji, ni wapinzani kwa kushirikiana na watanzania wengine ndio waliokuwa wamesimama mstari wa mbele kupaza sauti kutaka MO apatikane huku watu wa upande fulani karibu wote wakiwa kimya zaidi ya ku-tweeet tu kusikitishwa na tukio hilo.

Mnaoshabikia upinzani ufe tukio hili liwafumbue macho na mjiulize ingekuwaje kama wote tungekuwa wa chama kimoja kama mnavyotaka.

Waliobuni mfumo wa vyama vingi hawakuwa wajinga hivyo na nyinyi mnaotaka turudi katika huo mfumo muache kuwa wajinga.
 
Tunamuomba Mo aturushie buku buku M pesa.....Japo jeshi la polisi kwa weledi wa hali ya juu sana limefanikisha kumrudisha Mo lakini SISI makapuku forum hatukulala tumemtafuta hafi Msumbiji,South Africa na jirani na Ikulu.
wamemrudishaje wakati wao wameambiwa mo yupo hom anaongea na familia yake
 
Vijana wa Sirro walikuwa wametanda kila kona ya dar wakimsaka MO....Leo gari aina ya surf imepita na kwenda kumtupa bila vijana kuliona...hili gari liliwekwa mfukoni kama pipi au???
Watakuwa wameogopa press conference ya Lena ....!!!
 
Picha halisi ya alietekwa ni Pale,shukrani ya kwanza ni jeshi la polisi[emoji3]
Yaani hata hakumtanguliza kwanza kwa kumshukuru kuwa hai.
Hapo ndio ujue jamaa alishapigwa Mkwala Hevi[emoji3]kana kwamba ukihojiwa tu na waandishi cha kwanza shukuru jeshi la polisi kwa kazi waliofanya[emoji3]
 
Hahahaha ushamba wa jiwe utamcost siku moja

Cover story hapa itakuwa ni nini ? Maana hata mtoto mdogo anajua Mo alichukuliwa na kina nani .

Halafu watu wa aina hii ndio wakakae meza Moja na kina Prof Thontorn wa Barrick tutegemee kulipwa na Accasia matrilioni ??

Tutakesha tukisiburia hilo
Kwa kumtupa viwanja vya gymkhana inamaana hakuwa mbali na nyumba nyeupe au watekaji wana uhusiano kabisa na mzee yule wa nyumba nyeupe.
 
Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!

Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!

Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom na hakuna makubaliano.

Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini kwa matajiri.

Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.

Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?

Acha utoto Dogo waliomteka huyo MO na ku Mpiga Risasi Lisu ni Jose na Bashiri kwa siasa za kipuuzi. Hayo maelezo yako kawaandikie washamba huko bush.
 
Hivi kuna nchi yenye mabwege kuliko Tanzania? Mtekwaji halalamiki katekwa na serikali bali anaishukuru, nyie mnamlazimisha aseme katekwa na serikali!
kusoma hujui basi hata picha ikusaidie zuzuwe[emoji83]
 
Hahahaha ushamba wa jiwe utamcost siku moja

Cover story hapa itakuwa ni nini ? Maana hata mtoto mdogo anajua Mo alichukuliwa na kina nani .

Halafu watu wa aina hii ndio wakakae meza Moja na kina Prof Thontorn wa Barrick tutegemee kulipwa na Accasia matrilioni ??

Tutakesha tukisiburia hilo
Kwa kumtupa viwanja vya gymkhana inamaana hakuwa mbali na nyumba nyeupe au watekaji wana uhusiano kabisa na mzee yule wa nyumba nyeupe.
 
Hii idea hawakua nayo, umewasaidia kuwapa hili wazo, hivyo watajifanya kumuita tena(ila sio kule wapokua wamemuhifadhi mwanzoni) na kumuhoji. Nakulaumu mkuu kwa kuwapa hili wazo zuri
Wanaandika script za hovyo sana mkuu, wacha tusaidie kuwakumbusha vipengele muhimu wasije waendelea kutupa maswali yasiokua na umuhimu
 
Ila MO ana bahati sana kutekwa na watu wakarimu kiasi hiki, yani ni kama walimpa lift, walimchukua hotelini,wakamzungusha zungusha mtaani na gari yao ya utalii, walipomaliza wakamrudisha gymkhana na hiyohiyo gari ya utalii, inawezekana pia hata huko walipokua wamemuhifadhi walikua wanapiga story tu za namna ya kuboresha zaidi biashara zake, huu ni utekaji wa kisasa zaidi kuwahi kutokea duniani, hongera za dhati ziende kwa mheshimiwa raisi kwa jitihada zake za kuboresha utekaji, ule utekaji wa zamani ulikua mbaya sana.
 
Back
Top Bottom