Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Daah... Nyie binadamu ni balaa tupu! Alipopotea mkailaumu serikali, kapatikana bado mnailaumu serikali. Naamini hata asingetekwa mgeilaumu serikali.
 
Japo hatujui makubaliano yake na watekaji mpaka akaachiwa, karibu tena uraiani.
Most likely they paid a ransom ,you dont take a chance to be caught by police in relocating Mo in safer place unless money is involved.
 
Nchi Hii inabidi iingie kwenye maajabu ya dunia!
Watekaji wako huru kutumia gari ile ile kumrudisha waliyemteka!!

Ama kweli only in tz
 
Wewe twambia alitekwa na nani na kwa sababu gani?
Ina maana wewe hujui mtekaji ni nani? Pole sana.

Hivi kwa akili yako baada ya IGP kutoa picha ya Toyota surf unaweza kusubutu kwenda na Toyota surf karibu na ikulu?

Mo ametekwa prime area na amerudishwa prime area, hata kama wewe ni mfia chama jaribu kuvaa ubinadamu ingawa maccm yote ni bora hata ukutane na chui aliyeshiba.
 
Cctv yenye drone automated inayofukuzia Gari, yenye eyefish I aangalia ndani na inauwezo kutoa picha ya Techno!!

Tunaambiwa tuwapongeze kufanikisha kupatokana Mo! Just few steps kutoka ikuru! Eneo linalolindwa 24hrs that is why barabara hiyo saa 12 haoiruhusiwi kupita!Maajabu hayaishi nchi yetu hii!
Umesema hiyo barabara saa 12 hairuhusiwi kupita? Au nimekunukuu vibaya? Sasa walimrudisha vipi?
 
Mkuu ukishakuwa muuaji lazima ujishtukizie Kama umeamua hata kama watu hawajakuona,, pole pole kajishtukizia kwamba watu watamshtukia ni mhusika indirectly
 
Hahahaha ushamba wa jiwe utamcost siku moja

Cover story hapa itakuwa ni nini ? Maana hata mtoto mdogo anajua Mo alichukuliwa na kina nani .

Halafu watu wa aina hii ndio wakakae meza Moja na kina Prof Thontorn wa Barrick tutegemee kulipwa na Accasia matrilioni ??

Tutakesha tukisiburia hilo
Na Kuna wapumbavu wanatarajia kuwa kwa akili za kipumbavu za jiwe Tanzania itapata maendeleo
 
ukisikiliza Kwa makini mambo sasa utagundua anatumia nguvu kubwa kuaminisha watanzania kuwa Mo walitekwa Na watu wasio kuwa Na utaifa wa Tanzania .mwanzo walisema wazungu Ila sasa wanasema ni watu wa South Africa tena wanaongea mather language. wanakazana kusema tunamshukulu MH RAISI.

Zitto kabwe Na watanzania wengi wapo sahihi wakisema kuwa wausika walijulikana mapema

Always negativity!
 
Ila MO ana bahati sana kutekwa na watu wakarimu kiasi hiki, yani ni kama walimpa lift, walimchukua hotelini,wakamzungusha zungusha mtaani na gari yao ya utalii, walipomaliza wakamrudisha gymkhana na hiyohiyo gari ya utalii, inawezekana pia hata huko walipokua wamemuhifadhi walikua wanapiga story tu za namna ya kuboresha zaidi biashara zake, huu ni utekaji wa kisasa zaidi kuwahi kutokea duniani, hongera za dhati ziende kwa mheshimiwa raisi kwa jitihada zake za kuboresha utekaji, ule utekaji wa zamani ulikua mbaya sana.
Na wamempa chakula Muda wote waliomteka!
 
Chadema wamechukizwa mno na kupatikana kwa Mo maana kiki yao imebuma.

Shida na Matatizo yanayoipata Tanzania ndiyo ufahari wa Chadema!
 
Tunashukuru Mungu amerudi salama. Inavyoelekea au inawezekana kuwa familia imelipa pesa kwa watekaji ili atoke salama
 
Back
Top Bottom