911sep11
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,461
- 4,272
aiseeNdo alietoa kibali aachiwe mara mojaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aiseeNdo alietoa kibali aachiwe mara mojaa
huyo hawajamuachia Bure bure kunakitu wamepanga sasa ajichunge.Wamebana wameachia, Jiwe siyo Mtu!.
Namshauri Mo asepe atulie zake huko Brunei au Kisiwa chochote cha Pasifiki ale bata miaka saba ipite kisha arudi tujenge nchi!, yeye bado kijana, kupumzika miaka saba siyo ishu!
mkuu suala hili la kutekwa mo litaisha kama watekaji watapatikana na kubaini pia mahali mo alipofichwa nje ya hapo bado kiki iko juu mno...Chadema wamechukizwa mno na kupatikana kwa Mo maana kiki yao imebuma.
Shida na Matatizo yanayoipata Tanzania ndiyo ufahari wa Chadema!
Tangu kutekwa kwa Mo Dewji, ni wapinzani kwa kushirikiana na watanzania wengine ndio waliokuwa wamesimama mstari wa mbele kupaza sauti kutaka MO apatikane huku watu wa upande fulani karibu wote wakiwa kimya zaidi ya ku-tweeet tu kusikitishwa na tukio hilo.
Mnaoshabikia upinzani ufe tukio hili liwafumbue macho na mjiulize ingekuwaje kama wote tungekuwa wa chama kimoja kama mnavyotaka.
Waliobuni mfumo wa vyama vingi hawakuwa wajinga hivyo na nyinyi mnaotaka turudi katika huo mfumo muache kuwa wajinga.
Watu wazima wameaibikaaaaDaah... Nyie binadamu ni balaa tupu! Alipopotea mkailaumu serikali, kapatikana bado mnailaumu serikali. Naamini hata asingetekwa mgeilaumu serikali.
Hahahaha, anamshukuru Rais kwa lipi? Maana wakati Sirro anatoa taarifa ikulu walikuwa wanahost taifa stars..., kuna hidden message hapo, lazima kuna sababu ya kumshukuruMo maneno yake ya Kwanza baada ya kuombwa aongee kidogo alisema "namshukuru Mungu kwa kuwa niko salama, pia namshukuru mh rais......."
Anamshukuru mh rais kwa kipi? Nimejiuliza maswali yasiyokuwa na majibu
ukisikiliza Kwa makini mambo sasa utagundua anatumia nguvu kubwa kuaminisha watanzania kuwa Mo walitekwa Na watu wasio kuwa Na utaifa wa Tanzania .mwanzo walisema wazungu Ila sasa wanasema ni watu wa South Africa tena wanaongea mather language. wanakazana kusema tunamshukulu MH RAISI.
Zitto kabwe Na watanzania wengi wapo sahihi wakisema kuwa wausika walijulikana mapema
Na majinga yanaunga mkono bila kujua athari yake.Lengo ni kuua upinzani ili kuwatawala watu kirahisi na kufanya chochote bila kupigiwa kelele na kukemewa
siasa ni maisha mkuu, maisha pia ni matukio. chama kisichokuwa makini na matukio ya watu hakifai kabisa.Wazee wa matukio ndo mpate agenda za kuongelea,hamuishi vituko!
Tukilipwa ntajinyeaHahahaha ushamba wa jiwe utamcost siku moja
Cover story hapa itakuwa ni nini ? Maana hata mtoto mdogo anajua Mo alichukuliwa na kina nani .
Halafu watu wa aina hii ndio wakakae meza Moja na kina Prof Thontorn wa Barrick tutegemee kulipwa na Accasia matrilioni ??
Tutakesha tukisiburia hilo
What if hao walikodiwa tu?Mdau kwa ilimu yakp unaamini hakuna wazungu wazawa wa SA.