Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Wewe twambia alitekwa na nani na kwa sababu gani?Ina maana unajifanya hujui Mo alitekwa na nani?
Really? Seriously?
wamemrudishaje wakati wao wameambiwa mo yupo hom anaongea na familia yakeTunamuomba Mo aturushie buku buku M pesa.....Japo jeshi la polisi kwa weledi wa hali ya juu sana limefanikisha kumrudisha Mo lakini SISI makapuku forum hatukulala tumemtafuta hafi Msumbiji,South Africa na jirani na Ikulu.
Watakuwa wameogopa press conference ya Lena ....!!!Vijana wa Sirro walikuwa wametanda kila kona ya dar wakimsaka MO....Leo gari aina ya surf imepita na kwenda kumtupa bila vijana kuliona...hili gari liliwekwa mfukoni kama pipi au???
Kwa kumtupa viwanja vya gymkhana inamaana hakuwa mbali na nyumba nyeupe au watekaji wana uhusiano kabisa na mzee yule wa nyumba nyeupe.Hahahaha ushamba wa jiwe utamcost siku moja
Cover story hapa itakuwa ni nini ? Maana hata mtoto mdogo anajua Mo alichukuliwa na kina nani .
Halafu watu wa aina hii ndio wakakae meza Moja na kina Prof Thontorn wa Barrick tutegemee kulipwa na Accasia matrilioni ??
Tutakesha tukisiburia hilo
Aliyemuazima Simu MO alfajiri Leo.NASUBIRIA ALIEPATA DAU LA BILLION MOJA
Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!
Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!
Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom na hakuna makubaliano.
Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini kwa matajiri.
Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.
Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?
kusoma hujui basi hata picha ikusaidie zuzuwe[emoji83]Hivi kuna nchi yenye mabwege kuliko Tanzania? Mtekwaji halalamiki katekwa na serikali bali anaishukuru, nyie mnamlazimisha aseme katekwa na serikali!
Kwa kumtupa viwanja vya gymkhana inamaana hakuwa mbali na nyumba nyeupe au watekaji wana uhusiano kabisa na mzee yule wa nyumba nyeupe.Hahahaha ushamba wa jiwe utamcost siku moja
Cover story hapa itakuwa ni nini ? Maana hata mtoto mdogo anajua Mo alichukuliwa na kina nani .
Halafu watu wa aina hii ndio wakakae meza Moja na kina Prof Thontorn wa Barrick tutegemee kulipwa na Accasia matrilioni ??
Tutakesha tukisiburia hilo
Wanaandika script za hovyo sana mkuu, wacha tusaidie kuwakumbusha vipengele muhimu wasije waendelea kutupa maswali yasiokua na umuhimuHii idea hawakua nayo, umewasaidia kuwapa hili wazo, hivyo watajifanya kumuita tena(ila sio kule wapokua wamemuhifadhi mwanzoni) na kumuhoji. Nakulaumu mkuu kwa kuwapa hili wazo zuri
Kama yeye aliyetekwa kalishukuru jeshi LA polisi Mimi ni nani hasa mpaka nipinge?.
Bora babako angepiga nyeto hiyo siku mimba yako ilivyotungwa...Chadema wamechukizwa mno na kupatikana kwa Mo maana kiki yao imebuna.
Shida na Matatizo yanayoipata Tanzania ndiyo ufahari wa Chadema!
Ameona aanza kuwashukuru kwa kulinda uhai wake πππMo anamshukuru sana Rais na Jeshi la polisi kwa kufanikiwa "kumuokota" Gymkhana.