Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Hapa nionacho, chadema na tawi lake la bavicha WAMEKASIRISHWA sana na kupatikana kwa Mo tena akiwa mzima wa afya maana watakosa tena tukio la kudandia.
 
Dah.. Aisee yani wewe kila kitu ni kufagilia upinzani! Unatia kinyaa..

Kama unafikiri selikali ndio inahusika na imewaogopa hao wapinzani, mbona Ben bado hajarudi na kila siku mnapiga makelele?
Mnatia kinyaa nyie mliokuwa mnabeza kelele wa watanzania waliokuwa wanapaza sauti MO arejee alafu leo mnataka mpongezwe!
 
Unampiga mtu risasi hadharanu att ni,"siasa"
 
Aliyemteka Mo Dewji either anajiamini sana au sio mwenye akili timamu. Yaani anamteka mtu karibu na kwa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Headquarters za Usalama wa Taifa. Alafu ana mtupa karibu na Ikulu. BILA UOGA KABISA!!
Hahhha, mwenye macho haambiwi tazama
 
Acha ukuda...Mungu ndiye Mlinzi wetu.
Polisi watekaji na watesi wa raia tuu
 
Kwahiyo wewe ndo ulipokea ransom.. Watetea watekaji mnapata kizungumkuti sana huu utawala.. Kila jambo mnaumbuka
 
Inawezekana la ben saanane wanalijua wenyewe chadema..kumbuka mbowe alishasema lisiongelewe..wakati la mo wameliongelea
 
Mliwapa hiyo taarifa???????? Au mlikuwa mnakosoa tu eneo la picha ya gari
 
Sasa ulitaka alalamike ili wamrudie tena????Usiwe bwege hivyo unafikiri tu ndani ya box!Conspirqcy ziko za aina nyingi,nenda kasome mikasa iliyowahi tokea duniani ili upanue uwezo wako wa kufikiri!
Hivi unaposema katekwa na serikali ni kufikiri ''nje ya box'' ehe!!! Yaonyesha msemo unausikia tu lakini hta maana huijui. Kama alikuwa na matatizo na serikali ambayo yanamfanya hata aogope kuzungumza ukweli basi huyo ni mtu hatari sana na alistahili kupatwa na yaliyompata. Atakuwa na kosa gani mpake aogope kuuweka ukweli hadharani? Na kama anaogopa bado kuna alternative ya kuhamia nchi nyingine ili apate kuzungumza ukweli! Lisu alishambuliwa kwa risasi na bado hakuogopa kuweka feelings zake hadharani!
 
Gari iliyokuwa inatafutwa Tanzania nzima, ndio gari hiyo hiyo iliyomtupa Gym Khana😯..., sijui walijuaje kuwa gari iliyomtupa Gym Khana ndio gari ile ile iliyomteka mtekwaji?
 
Wa bongo wape kichwa cha habari story watatunga wenyewe

Mooooooooooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…