msomaliHakimu-Msomali
PP-msomali
Advocate-msomali
Mshitakiwa-Msomali
Je unategemea nani hapo ataehukumiwa?[emoji3]
Mnatia kinyaa nyie mliokuwa mnabeza kelele wa watanzania waliokuwa wanapaza sauti MO arejee alafu leo mnataka mpongezwe!Dah.. Aisee yani wewe kila kitu ni kufagilia upinzani! Unatia kinyaa..
Kama unafikiri selikali ndio inahusika na imewaogopa hao wapinzani, mbona Ben bado hajarudi na kila siku mnapiga makelele?
Hahhha, mwenye macho haambiwi tazamaAliyemteka Mo Dewji either anajiamini sana au sio mwenye akili timamu. Yaani anamteka mtu karibu na kwa Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na Headquarters za Usalama wa Taifa. Alafu ana mtupa karibu na Ikulu. BILA UOGA KABISA!!
Aaaaha!!Yani maskini kijana wa watu siku 7 tuu nywele zimeshaotaa kawa kama mohamed salah. Ila ipo siku mtaumbuka vibaya na kifo chenu ninyi watu watekaji kitakua cha aibu
Acha ukuda...Mungu ndiye Mlinzi wetu.Hivi kuna kosa lolote mtu kuwashukuru police embu tuacheni siasa yaani chuki yako dhidi ya jeshi la police unataka kuwaambukiza wengine uwe na shukrani bwana, wewe usiku umelaka na familia yako police wanakesha kukulinda leo unaishia kuwadharau kisha sababu za kisiasa muogope Mungu mkuu.
Kwahiyo wewe ndo ulipokea ransom.. Watetea watekaji mnapata kizungumkuti sana huu utawala.. Kila jambo mnaumbukaHii inaonyesha familia wamelipa ransom!
Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!
Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom na hakuna makubaliano.
Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini kwa matajiri.
Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.
Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?
Aisee...amerudije nyumbani sasa??
Inawezekana la ben saanane wanalijua wenyewe chadema..kumbuka mbowe alishasema lisiongelewe..wakati la mo wameliongeleaYaani kelele za Lema ziwe msingi wa kupatikana Dewji lakini kelele hizo hizo zisiweze kumleta Ben Saanane? You must be joking!
Nani mwenye uhusiano wa karibu kikazi na kimaisha kati ya Lema na Ben Saanene au Dewji?
Kumbuka Ben Saanane alikuwa mfanyakazi wa CHADEMA
Ulichofanya ni kutoa shukrani ambazo hazina hata ukweli kifikra!
Hivi unaposema katekwa na serikali ni kufikiri ''nje ya box'' ehe!!! Yaonyesha msemo unausikia tu lakini hta maana huijui. Kama alikuwa na matatizo na serikali ambayo yanamfanya hata aogope kuzungumza ukweli basi huyo ni mtu hatari sana na alistahili kupatwa na yaliyompata. Atakuwa na kosa gani mpake aogope kuuweka ukweli hadharani? Na kama anaogopa bado kuna alternative ya kuhamia nchi nyingine ili apate kuzungumza ukweli! Lisu alishambuliwa kwa risasi na bado hakuogopa kuweka feelings zake hadharani!Sasa ulitaka alalamike ili wamrudie tena????Usiwe bwege hivyo unafikiri tu ndani ya box!Conspirqcy ziko za aina nyingi,nenda kasome mikasa iliyowahi tokea duniani ili upanue uwezo wako wa kufikiri!
kweli mkuu ..wakati utaongeaHuyu Magufuli atakuja kupata aibu tu, hakuna marefu yasiyo na ncha.