FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
AIBU upande wenu huko kwa kuufyata kama vile mmemwagiwa maji baridi. Hakuna aliyekuwa na balls za kuzungumza ili Mo apatikane. Mmepiga kimya kikuu kama wafiwa. POLENI SANA! Igeni mfano wa Mhe. Lema. Acheni Uzwazwa!Li chadrama ni lichama la kukurupuka la matukio, aibu kubwa kwake walahi
Sasa aende akabwabwaje tena, TOTAL SHAME ON YOU PEOPLE WALAHI
MAMA TANZANIA ATAWANYOSHA TU WALAHI
Bavicha mmekasirika sana Mo kupatikana. Nawaonea huruma wiki hii hamna tukio la kudandia.
Huna akili.Gari iliyokuwa inatafutwa Tanzania nzima, ndio gari hiyo hiyo iliyomtupa Gym Khana[emoji54]..., sijui walijuaje kuwa gari iliyomtupa Gym Khana ndio gari ile ile iliyomteka mtekwaji?
Una maana serikali ikishasema CCM ndiyo imesema, ndiyo maana tunasema CCM ilishakufa siku hizi kila kitu kinafanywa na serikali.Serikali yao ndio ilikuwa inamtafuta..wao ndio walikuwa wakifanya mazungumzo na familia ya mo mara kwa mara..ulitaka nao walalamike kama wafanyavyo majirani?? Si mngewacheka
Daah... Nyie binadamu ni balaa tupu! Alipopotea mkailaumu serikali, kapatikana bado mnailaumu serikali. Naamini hata asingetekwa mgeilaumu serikali.
Mimi wa Kigoms mwendokasi inanihusu vipi?Haya tureje kwenye mwendokasi au mmeshasahau
Chadema wamechukizwa mno na kupatikana kwa Mo maana kiki yao imebuna.
Shida na Matatizo yanayoipata Tanzania ndiyo ufahari wa Chadema!
Mkuu Paschal,naanza na samahani!Wanabodi,
Hii ni thread ya swali, nikipendekeza kwa kuuliza, maana siku hizi, ukiuliza kitu,, watu hawaonagi alama za kuuliza, wakadhani nimetoa statement.
Baada ya Mo kupatikana, baada ya juhudi kubwa sana za jeshi letu la polisi, baada ya ile ahadi ya motivation iliyopelekea hadi IGP kufanya press conference ya jana, hii imethibitisha kuwa kumbe Jeshi letu la polisi, likiamua linaweza, wala simaanishi limeweza kwa ajili ya Ile ahadi ya motivation ya familia, bali limeweza kwa sababu, sasa ndio limepata uwezo huo, na limeonyasha uwezo huo kwa Mo kupatikana akiwa mzima, salama uu salmini na bukheri wa Afya.
Sasa kwa vile familia tayari iliishatenga shilingi billion moja kwa atayefanikisha kupatikana kwa Mo, na waliofanikisha ni IGP Kamanda Sirro, na vijana wake, kwa ile Press Conference muhimu ya jana. Mimi Napendekeza hizo pesa apewe Kamanda Sirro na vijana wake, ili zitumike kuboresha jeshi letu la polisi nchini kwa kulijengea uwezo kuzuia matukio ya utekaji, kwa kuwa motivate, siku zote, mtu yoyote akitekwa au kushambuliwa na wasiojulikana, juhudi kama hizi za kumsaka MO, ikiwemo kuitisha press conference, zifanyike. Tena laiti kama tungelijua kabla namna ya kuwa motivate polisi wetu watimize wajibu wao, usikute hata Ben Saanane alipotoweka, tungejichanga tukatangaza dau, angepatikana,
Aliposhambuliwa Lissu, tungejichanga tukatangaza dau, wasiojulikana wale, wangepatikana, na alipopotea Azori Gwanda, sisi media tungejichanga tukatangaza dau, angepatikana, huwezi jua!, Bilioni moja jameni sii mchezo!.
Zamani tulizoea ahadi za motivation ni kwenye kutafutia kura tuu, lakini sasa, hata katika kutimiza wajibu.
Mungu Mkubwa, Pesa ndio kila kitu!, Masikini Ben Saanane, masikini Azori Gwanda
Jumamosi Njema
P.
Serikali inasimamia sera ya ccm..kwa hiyo serikali ni muajiriwa wa ccm..Una maana serikali ikishasema CCM ndiyo imesema, ndiyo maana tunasema CCM ilishakufa siku hizi kila kitu kinafanywa na serikali.
Mkuu kweli wewe UNA AKILI kama unavyojitanabaisha.Hii video inazungumza kila kitu.Wenye akili tumeelewa.Kuanzia sauti ya Mambosasa hadi sura ya Mo!The message is there.
Nawahurumia askari wetu wana pressure kubwa sana awamu hii.
Pole sana kamanda Mambosasa.Sura na sauti yako vinazungumza hapo.Pole baba.Ukitoka hapo piga zako laga mbili tatu ulale.Wananchi tumeona.Umetuonyesha Mo wetu.Nawe pia wakwetu.Sura yako hapo imeonyesha.Mie sitakulaumu.Niseme tu thank you Kamanda.
Hivi Ni wapi walisema limeshaavuka mpaka na halipo nchiniHebu subir hapo hapo alipiga simu! Kwa hiyo walimpa na simu apige au alipata simu kwa msamaria mwema? Sasa huyo aliyempa simu ndo ana claim hiyo Billion au? Pia hilo gari lilimtokea walisema lishavuka mpaka! Tena leo tunaliona! Hawa wanatuona mazwazwa kabisa, haya tuleteeni hiyo cctv shootage maana jana mzee wa sisitiv alijaribu kuficha pic la gari lkn bado watu wakamzidi akili! Na ndo maana hawakusema rangi ya gari wala habari ya noah hawataki tusikie!
All in all nina furaha tajir karudi sasa kifuatacho ni kuwa zakaria tuu maana washa turuhusu kumiliki silaha.