Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Daaaaah bado wanaume Wa dar mnafeli kwa mmeshidwa kabisa kuchukua ako ka bilioni moja
 
Baada ya mo kupatikana ndio mnaanza kusema ni mwanaccm mwenzenu, Lumumba wenzako kina Barbarosa, ISIS, kina Elitwege walikuwa wakishangilia kutekwa kwake.

Kesho utaona polepole akiitisha press kumpa pole MO.
Naona imekugusa sana niliposema Mo ni mwanaccm tena by membership, valid member anayelipia kadi yake, sio kibaraka au shabiki tu kama nyie bavicha mnaotumika kama makarai.
Serikali ya ccm ndio ilikuwa bize kumtafuta raia wa Tz na pia mwanachama wake mwenye mchango mkubwa ktk taifa hilo. Kwani Kangi Lugola alipoongea yeye ni chadema? Au mpaka polepole aongee ndio MTASIKIA RAHA? Mnampenda sana huyu jamaa maana akiongea anawapa raha.
 
Body language ya Mo inasema kila kitu, Jamaa hawaangalii usoni wakat wa kuwapa mkono hii ni kitu kikubwa sana na meseji nzito mno. Nimeekuelewa Mo.
Acha uchochezi na ushabiki wa kijinga. Yaani unataka kutuaminisha akili yako inavyofiiiri.
 
Kwa Wazungu hawawezi.kuwa Wasauzi Afrika? ila yote tisa,kumi ni kwamba Mo anajua kila kitu,ndio mana hatak kumuangalia usoni kamanda but naona mentally hayuko fiti he need to rest and be counselled
Duuh hii nji bwana hata ukipigwa viboko kauli yako lazima umshukuru aliyekuchapa
 
Mimi sina uenyeji na jiji la joto ebu nijulisheni hapo MO alipotupwa ni mbali na mjini au ni nje kidogo kama ni mjini means hawa watekaji wanazurura tu mjini daslaam mjini bila tatizo
Mkuu hapo ni karibu na makao makuu
 
Hawa jamaa wanajiamini sana gari walilomtekea.ambalo likuwa
Hakuna chochote kilichotolewa upepo uliopimwa Jana na mkubwa kabisa wa geshi haukufanikiwa maana kama alichochoea moto wadanganyika wamegoma kudanganyika joto likapanda Zitto alisema Yule mkubwa alikuwa anajua MO alipo
Kwa hiyo point iko wapi ya kumteka ?!..
 
Lema na Zitto mnawapa sifa za uongo. Ni watekaji wamekosa njia ya kumtorosha tu wakamrudisha baada ya Jeshi la polisi kubana kila njia ya kumtolea. Na baada ya kutoa picha ya gari wakafahamu tayari wako uchi wa mnyama. Lema hana issue. Ni mvuta bange kama wavuta bange wengine.

Hivi unaamini kabisa hii picha ya kutengenezwa. Kama kweli alitekwa na watekaji ilikuwaje hao watekaji waendelee kutumia gari hilo hilo tena maeneo nyeti kabisa bila hofu ya kukamatwa wakati gari ilishatangazwa inatafutwa,hebu jiongoze bwana
 
Mkuu hili jambo ndio limefika kikomo hivyo, tusitarajie kingine tena hata kama tutahoji kiasi gani

Inawezekana ikawa hivyo lakini historia haitafutika na familia ya Mo itakuwa imeeingia kwenye GuinessBook kiaina yake
 
Kwasababu ndo karuhusu mijadala na kuwaacha watu tupige kelele hahaha
 
Muhindi akili kubwa kuliko average ya akili ya Mtanzania, hivyo huwezi elewa mchezo Muhindi alofanya hapa na kwa nini hii movie imeisha jinsi ilivyoisha, ninyi endeleeni kuwaimbia hao Wahindi mapambio na kuwatukuza, mna low IQ, ...
 
Tupo mikononi mwa watekaji, watesaji, waonevu na wauaji.
 
Kauli ya kumshukuru tu mheshimiwa rais mm ndo inanipa shida sana aisee,

Kwann amshukuru rais? Wakati watekaji walimchukua na wamemwachia bila nguvu yeyote kutumika

Shukrani kwa raisi ni za nn hasa?
Wakati hata rais hakuzungumzia lolote tangu kutekwa kwake,mmmh ngashtuka
 
Back
Top Bottom