Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mimi nafikiri wako sahihi kwa mazingira ya utekaji ulivyokuwa bila Magufuli kuingilia kati wasingemwachia.
 
Bila shaka pale Gymkhana unapajua, pia Colosseum hotel unapajua. Unataka kuniambia hao watekaji wananguvu ya kuteka mtu Oysterbay au Masaki na kumrudisha mtu mpaka pale Gymkhana bila hofu kabisa tena polisi na vyombo vya usalama viko kwenye tension ya kuwatafuta watekaji. Hii kidogo inaumiza kichwa na ile kauli ya Waziri na IGP kwamba nchi iko salama waifute mara moja maana haiwezekani tukawa salama huku kuna watu wanateka mtu maarufu sehemu sensitive na kumrudisha sehemu sensitive pia kiulinzi.
Kosa kubwa mnalofanya ni kusema sehemu x ina usalama na uhalifu hauwezi kutokea pale. Lakini wataalam wa uhalifu wanakuambia kwa wahalifu wazoefu maeneo kama hayo ndiyo mazuri na salama kwa ku operate shughuli zao. Mimi bado nahifadhi comments zangu kwanza mapaka nisikie kutoka kwa mtekwaji mwenyewe.
 
Ni dhahiri tendo la kutekwa Mfanyibiashara bilionea Mohamed Dewji, limeleta taharuki kubwa sana siyo tu kwa Jamii ya mamilioni ya watanzania Bali pia Ulimwengu mzima

Tumeambiwa kuwa Mo amepatikana usiku wa manane wa kuamkia leo na amerejea salama nyumbani

Wito wangu kwa Jeshi la Polisi lifanye kila liwezalo ili wale waliotenda tendo hilo ovu wafikishwe kwenye vyombo vya sheria kujibu tuhuma zinazowakabili

Kulinda maisha ya mwananchi ni wajibu wa kwanza wa serikali yoyote duniani kuulinda, kwa hiyo tunachokiomba ni kwa Jeshi letu la Polisi kuhakikisha watu waliotenda uovu huo wanakamatwa na kuburuzwa mahakamani

Kama Jeshi la Polisi lisipofanya hivyo basi tutajua ni katika "kulinda" uhalifu huo ambao sasa umeanza kuota mizizi nchini, kwa hiyo tutaomba viongozi wakuu wa Jeshi hilo wajiuzulu

Wananchi tunapaswa kupaza sauti zetu kwa nguvu zetu zote ili kukomesha vitendo hivi viovu vilivyoingia nchini kwetu na tukinyamaza basi tutarajie watu wengine wengi kuendelea kutekwa na hao watu tunaoambiwa kuwa ni watu wasiojulikana!
 
Chadema wamechukizwa mno na kupatikana kwa Mo maana kiki yao imebuna.

Shida na Matatizo yanayoipata Tanzania ndiyo ufahari wa Chadema!

G LEMA njoo na press ya Ben Saanane sasa
Dogo tuliza kipapa hicho. Mo ametekwa na magu kisa na mkasa ni viwanda na mashamba ya mkonge aliyayanunua wakati wa ubinafsishaji, magu anataka ayachukue.
 
Wanabodi,
Hii ni thread ya swali, nikipendekeza kwa kuuliza, maana siku hizi, ukiuliza kitu,, watu hawaonagi alama za kuuliza, wakadhani nimetoa statement.

Baada ya Mo kupatikana, baada ya juhudi kubwa sana za jeshi letu la polisi, baada ya ile ahadi ya motivation iliyopelekea hadi IGP kufanya press conference ya jana, hii imethibitisha kuwa kumbe Jeshi letu la polisi, linaweza, wala hatuhitaji wachunguzi wa nje. Jeshi letu la polisi sasa ndio linauwezo, au kama lilikuwa nao siku zote, then, likiamua, linaweza, ukijumlisha na ile ahadi ya motivation ya familia, bali limeweza kwa sababu, sasa ndio limeonyesha uwezo huo kwa kufanikisha Mo kupatikana akiwa mzima, salama uu salmini na bukheri wa Afya.

Sasa kwa vile familia tayari iliishatenga shilingi billion moja kwa atayefanikisha kupatikana kwa Mo, na waliofanikisha ni IGP Kamanda Sirro, na vijana wake, kwa ile Press Conference muhimu ya jana. Mimi Napendekeza hizo pesa apewe Kamanda Sirro na vijana wake, ili zitumike kuboresha jeshi letu la polisi nchini kwa kulijengea uwezo kuzuia matukio ya utekaji, kwa kuwa motivate, siku zote, mtu yoyote akitekwa au kushambuliwa na wasiojulikana, juhudi kama hizi za kumsaka MO, ikiwemo kuitisha press conference, zifanyike. Tena laiti kama tungelijua kabla namna ya kuwa motivate polisi wetu watimize wajibu wao, usikute hata Ben Saanane alipotoweka, tungejichanga tukatangaza dau, angepatikana,
Aliposhambuliwa Lissu, tungejichanga tukatangaza dau, wasiojulikana wale, wangepatikana, na alipopotea Azori Gwanda, sisi media tungejichanga tukatangaza dau, angepatikana, huwezi jua!, Bilioni moja jameni sii mchezo!.

Zamani tulizoea ahadi za motivation ni kwenye kutafutia kura tuu, lakini sasa, hata katika kutimiza wajibu.

Mungu Mkubwa, Pesa ndio kila kitu!, Masikini Ben Saanane, masikini Azori Gwanda
Jumamosi Njema
P.
Utalipongeza jeshi la polisi Kwa lipi wakati MO kajipatikana mwenyewe? Wapi jeshi limetangaza kumpata wakati kajipatikana Gymkhana anacheza golf na walinzi wakampa simu akampigia babae kuwa salama salmini alete Gari amchukue!!

Hawa watu wanatuona Akili zetu HAZINA Akili.
 
Mambosasa: Taarifa siku ya tukio,waliomteka Mo ni wazungu wawili

IGP: waliomteka Mo walikuwa na gari la nchi jirani ila hakulitaja,ila wataalamu wa kufuatilia lile gari walisema ni la Msumbiji

Mo amepatikana Dar es salaam lakin si Msumbiji, wala Afrika Kusini


Baada ya kupatikana:Mambosasa: waliomteka Mo walikuwa wasouth Afrika ,walikuwa wanaongea kilugha

Unaweza ukajiuliza maswali hapa ,kichwa kikaota upara bila kupenda
Acha use**e wewe. Hamkosagi yakusema. Asante Mungu, asante Serikali kwa kumpata Mo.
 
Muhindi akili kubwa kuliko average ya akili ya Mtanzania, hivyo huwezi elewa mchezo Muhindi alofanya hapa na kwa nini hii movie imeisha jinsi ilivyoisha, ninyi endeleeni kuwaimbia hao Wahindi mapambio na kuwatukuza, mna low IQ, ...
Hebu endelea kuchezea mapumbu"kukanda ngano".
 
Kwanzia leo nawadharau

Tiss , nadhani ni watu washamba sana

Kwa kufanya huu upumbavu ..


Nisingekubal mm niwe director wa tiss

Hafu umavi umav huu unafanyika

Ni hollolical shit ... Tiss badiliken

Kuna vijana walitaman sana kuja kufanya kazi huko na ni wazalendo wa kweli ...

Ila hawatak ... Coz hawana njaa..

Na pia vitu mnavyofanya ni stupidity

Mtu anakwambia kabsa nkatumiwe na tiss kufanya upumbavu ...

Nooo
 
amri itakuwa imetolewa lazima umshukuru jiwe.

sasa waache waendelee kujifanya kumshukuru jiwe wasahau kuna mambo ya sumu inayoua taratibu.
 
Naona mchezo wa kutueka mabilionea umeanza nchi hii.

Dawa ni kuanza kutembea na berreta ikiwa full loaded tu muda wote
Hicho kitu maamae yani ukipull the triggerr tu kitu kinakohoa paah paah pahh na kutema vitu vyenye ncha kali/butu vinavyoruka hewan kwa kas ya hatariiiii.

Haki ya nani mzungu hajakariri kasoma nakuelewa
 
Back
Top Bottom