Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Hii video inazungumza kila kitu.Wenye akili tumeelewa.Kuanzia sauti ya Mambosasa hadi sura ya Mo!The message is there.
Nawahurumia askari wetu wana pressure kubwa sana awamu hii.
Pole sana kamanda Mambosasa.Sura na sauti yako vinazungumza hapo.Pole baba.Ukitoka hapo piga zako laga mbili tatu ulale.Wananchi tumeona.Umetuonyesha Mo wetu.Nawe pia wakwetu.Sura yako hapo imeonyesha.Mie sitakulaumu.Niseme tu thank you Kamanda.
Mkuu nakuunga mkono kwa hoja zako! Kamanda yupo highly tampered inaonyesha ni maagizo tu daah
 
Daah... Nyie binadamu ni balaa tupu! Alipopotea mkailaumu serikali, kapatikana bado mnailaumu serikali. Naamini hata asingetekwa mgeilaumu serikali.
Nakuunga mkono asilimia mia moja.
Sisi tushukuru MO kapatikana inamaana waliomteka wanawapenda Watanzania kwa kuwasikia jinsi walivyoumizwa kwa kitendo chao hicho.
Kumbuka watekaji nao ni binadamu, wana moyo wa huruma pia. Wangemuuwa tungefanyeje ?
Binafsi Nawashukuru sana watekaji, kwa kitendo cha kusikiliza kilio cha sisi Watanzania.
MO usifadhaike mdogo wangu, mashujaa wote wamepitia majaribu mazito.
Sasa umekuwa shujaa zaidi, dunia yote imekutambua, hadi Uchina walikutangaza kwa a
Kichina.
Hadi visiwa vya Maldive wanakujua kwa sasa.
Tumia hii fulsa sasa kutangaza biashara zako.
Sisi Wanafilosofia tunaamini kwamba, katika kila jambo unaloona ni baya, basi lina faida kubwa kwa upande wa pili.
Sasa hivi Unapendwa sana kuliko kabla ya kutekwa.
Njoo mpirani uone kishindo chake.
Wamekutangaza sasa.
Usifadhaike wala kujutia wala kikata tamaa
Mimi sikupi pole,
Bali.
NAKUPONGEZA.
 
Sasa ndiyo hicho kilichanifanya niseme wewe ni zuzu! Kwa kifupi unajikaanga kwa mafuta yako! Hoja yangu ni hii: Kama Lissu aliumizwa kiasi kile na akawa na ujasiri wa kuituhumu serikali (bila kujali tuhuma zake ni za kweli au la) ni nini kinachomfanya MO aogope kusema ukweli? Kulingana na maelezo ya awali ameishukuru serikali kwa kupatikana kwake. Kwanini ninyi mnang'ang'ania kuishutumu serikali?
Tofauti ni kwamba Lisu ni jasiri na hana vimeo, Mo ana kashfa ya kuleta mchele mbovu na hakuna mfanyabiashara clean for 100%

Hawezi kushindana na serikali ataishia kuwa loser, yeye ana akili kuliko wewe matako.
 
Hapa nionacho, chadema na tawi lake la bavicha WAMEKASIRISHWA sana na kupatikana kwa Mo tena akiwa mzima wa afya maana watakosa tena tukio la kudandia.
Umechanganyikiwa kabisa, na waliokuwa wanashinikiza arudishwe ni akina nani, unageuza kibao mapema.hivi. Wenye akili kubwa tumeshaconnect dots zote.
 
Ukiwa biashara nyingi, lazima uchague maneno ya kusema ili biashara zako ziendelee kuwa salama.
Sibiri muda maalumu ufike ili uovu wenu wa hila za kisiasa utakapowekwa hadharani.Utatafuta sululu la kuchimba shimo la kujificha kwenye mchanga utalikosa.
 
Hilo ni wazo lako. Lakini mimi bado nasubiri MO atulize akili na atoe kilichomsibu. Nitasikiliza kutoka kwake kwani tukio kama hili akidanganya atakuwa anajidanganya mwenyewe. Ila nachojua kwa sasa yeye ameishukuru serikali mnayoituhumu ninyi.
Hana kingine cha kuongea zaidi ya kuishukuru serekali, na tayari ameishaongea.
 
Umechanganyikiwa kabisa, na waliokuwa wanashinikiza arudishwe ni akina nani, unageuza kibao mapema.hivi. Wenye akili kubwa tumeshaconnect dots zote.
Kama nawe una akili kubwa basi kuna majanga ufipa.
 
Tunawashukiru kwa kuturudishia MO wetu, ila tabia zenu za kuteka watu na kupiga watu risasi mziache Mungu anawaona.
Bavicha mmekasirika sana Mo kupatikana. Nawaonea huruma wiki hii hamna tukio la kudandia.
 
Hawa watekaji ni wataalam sana kiasi cha kwamba wana liquid flan hivi ukiimwagia kwa gari inakua Invisible
kama walivyokuwa wana fisiemu waliona invisible tukio la kutekwa kwa Mo!
Mo hakupiganiwa na chama chake bali Watanzania wazalendo
 
Naona imekugusa sana niliposema Mo ni mwanaccm tena by membership, valid member anayelipia kadi yake, sio kibaraka au shabiki tu kama nyie bavicha mnaotumika kama makarai.
Serikali ya ccm ndio ilikuwa bize kumtafuta raia wa Tz na pia mwanachama wake mwenye mchango mkubwa ktk taifa hilo. Kwani Kangi Lugola alipoongea yeye ni chadema? Au mpaka polepole aongee ndio MTASIKIA RAHA? Mnampenda sana huyu jamaa maana akiongea anawapa raha.
Kwani Lugola aliongea kama mwanaccm you are doomed, tunataka mtuonyeshe ushiriki wa CCM kama chama.
 
Back
Top Bottom