Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
duh..........😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Bora babako angepiga nyeto hiyo siku mimba yako ilivyotungwa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh..........😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Bora babako angepiga nyeto hiyo siku mimba yako ilivyotungwa...
Mimi mwenyewe nina hofu saana mkuu, sijui Kama nitabaki salama. ila ni mbinu ya kishamba saanaNaona mchezo wa kutueka mabilionea umeanza nchi hii.
Dawa ni kuanza kutembea na berreta ikiwa full loaded tu muda wote
Umeona ehh
Hahahaha
WAMEDODA WALAHI
Watekaji wapole, waungwana wale, wanamuuliza mateka wao utakula bilian au kachor? Dawa ya meno Whitedent au Mo Dent? Swali la mwisho aliloulizwa unataka tukurudishe asubuhi au usiku?Kwani walisema ni lazima itoke hyo bilioni moja? Si Moo meenyewe ndio kapiga simu kwani ilikuwa ni simu ya polisi? Mbona nasikia hyo simu alipewa na watekaj wake waungwana
Aliongea kama nani? Tena aliongea akiwa na KITABU CHAKE CHA KIJANI PEMBENI KINACHOMPA DIRA. Licha ya kuwa 'akili kubwa' huoni aliongea kama nani pia? Unanisikitisha kamanda.Kwani Lugola aliongea kama mwanaccm your doomed, tunataka mtuonyeshe ushiriki wa CCM kama chama.
Basi kama uliyoandika ni kweli... anastahili. Ukiona wewe ni mhalifu kiasi cha kuogopa kusema au kuripoti uhalifu unaowafanyiwa, basi unastahili.Tofauti ni kwamba Lisu ni jasiri na hana vimeo, Mo ana kashfa ya kuleta mchele mbovu na hakuna mfanyabiashara clean for 100%
Hawezi kushindana na serikali ataishia kuwa loser, yeye ana akili kuliko wewe matako.
halafu bado walikuwa wanatumia gari lile ambalo linatafutwa na maeneo yenyewe nyeti karibu na jumba kuu!Yaani eti waliomteka wamrudishe nyumbani wao wenyewe hawaogopi kudakwa na vijana wa Siro?, Au Mo katembea kwa miguu kutoka alipokuwa ametekwa, tena usiku wa manane mpaka nyumbani kwao?
Hahahah inachekesha sana hii tamthiliya ila ukifikiria inasikitisha sana!.
Ukiwa Gangster basi uwe angalau Smart!. Zero in papers translates Zero in missions!!
Wewe kipapa hii siyo thread ya mashoga, tambaa.Daaaaah bado wanaume Wa dar mnafeli kwa mmeshidwa kabisa kuchukua ako ka bilioni moja
Hii video inazungumza kila kitu.Wenye akili tumeelewa.Kuanzia sauti ya Mambosasa hadi sura ya Mo!The message is there.
Nawahurumia askari wetu wana pressure kubwa sana awamu hii.
Pole sana kamanda Mambosasa.Sura na sauti yako vinazungumza hapo.Pole baba.Ukitoka hapo piga zako laga mbili tatu ulale.Wananchi tumeona.Umetuonyesha Mo wetu.Nawe pia wakwetu.Sura yako hapo imeonyesha.Mie sitakulaumu.Niseme tu thank you Kamanda.
Na akitekwa mwingine wao Wala hawataguswawakati mwingne watu kama hawa wakitekwa ni bora mkakaa kimya tu. maana hata mkipiga kelele vip, wakirudi hawasemi ukweli.
Unamaanisha hawa M4C wana nguvu kuliko serikali? Sikulifahamu hiloUkiangalia sana utaona hiyo body language ina someka M4C! Hasa upande wa kulia.
Kama Ni hivyo Lema si apige Press release nyingine kina Kubenea na Anthony Komu nao wamuachie Ben Sanane
Wamesema wataongea na waandishi baada ya kupumzika na kutuliza mawazo.Hana kingine cha kuongea zaidi ya kuishukuru serekali, na tayari ameishaongea.
Aibu gani sasa.Husikii aibu?
We jamaa porojo sana kila kitu unàjua eti paah paahHicho kitu maamae yani ukipull the triggerr tu kitu kinakohoa paah paah pahh na kutema vitu vyenye ncha kali/butu vinavyoruka hewan kwa kas ya hatariiiii.
Haki ya nani mzungu hajakariri kasoma nakuelewa