Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Kwaiyo Toyota surf zilizuiwa kutembea mjini? Au zote zilikuwa zinakaguliwa kila wakati zinapotembea? Watekaji walikuwa naakili Sana. Kwa kumrudisha MO na gari ileile wamepoteza ushahidi mwingine muhimu.
 
Hivi kulikuwa na ugumu gani kumwambia, uje unahitajika kwa mahojiano, badala ya kumchukua kwa mbinu za utekaji?

Au walidhamiria kumfanyia jbo baya zaidi lakini mazingira yamewalazimisha kumwachia?
 
Kuna Press leo saa 8 mchana ya Sirro i think tutasikia mengine tusiyoyajua.
 

Haha hii kali aisee na bado wakaenda kumuacha gymkhana! Huu mfumo huu!
 
Kauli ya kumshukuru tu mheshimiwa rais mm ndo inanipa shida sana aisee,

Kwann amshukuru rais? Wakati watekaji walimchukua na wamemwachia bila nguvu yeyote kutumika

Shukrani kwa raisi ni za nn hasa?
Labda rais alichangia kwenye 1bil.ransom, si unajua tena mzee baba kwa kuchangia. Au aliwaelekeza wasiojulikana washushe dau maana naskia walikuwa wanahitaji utirioni
 
Habarini wana jamvi,Hivi karibuni kabla ya kutekwa MO,kulikuwa na sekeseke la watu kuandamana kwasababu ya huduma duni ya mabasi ya mwendokasi(BRT)

Wakati maandamano hayo yakishikakasi ghafla likaingia sakata la kutekwa MO" watu wakasahau shida za mwendokasi wakawa bize na MO,

Sasa inasemekana "MO"amepatikana tunashukuru kwa kampeni zenu za kumtafuta

Rudini na muendelee kuandamana na kushinikiza kutatua changamoto zilizopo kwenye mwendokasi

Kilichofanyika pengine ni kujaribu kuwatoa kifkra ili kuzima kelele za mwendokasii.

Nawasilisha kwa hisani ya kichwa maji.
 
Hivi aliyetekwa anaptikaneje bila kuwapata wahalifu! Kwa tafakuri hii naunga mkono hoja ya hizo 1b wapewe vijana wetu.
 
Vipi kuhusu aliyetekwa na kupelekwa mozambiki alafu akarudishwA?
Kamati kuu ya Chadema ili wahoji Watekaji then ikawapa Karipio

Muulize YericKo atakutajia Wabunge wa Chadema wenye tabia Za kuteka wenzao
 
Kutekwatekwa kunaanza kuwa ustaarabu wa awamu hii, si ajabu hata wewe muda wowote wakikutaka unapotea.
Wenye mapesa wananafasi ya kutoa ma-bi yao na kuachiwa wengine tindikali inawasubiri au tukuone unaelea koko beach. Hatari sana kuliko hata Rwanda
 
Kwaiyo Toyota surf zilizuiwa kutembea mjini? Au zote zilikuwa zinakaguliwa kila wakati zinapotembea? Watekaji walikuwa naakili Sana. Kwa kumrudisha MO na gari ileile wamepoteza ushahidi mwingine muhimu.
Ushahidi gani!?
 
Nimekuelewa. Kwa kuwa walishazingirwa, maana yake walishajulikana walipo. Tusubiri vyombo vyetu vya ulinzi na usalama vikiwapafikisha katika Mahakama ya Kisutu.
Vinginevyo, viwaombe radhi Watanzania, na hususan Mo na familia yake ama kwa kushindwa kuwatia nguvuni Watesi wa Mo huku wakiwajua, au kwa kushindwa kuwajua Watesi hao kutokana na uduni na udhaifu wa taaluma ya upelelezi huku wakikataa msaada toka nje!
 
Zakaria aliwashtukiza kitu cha moto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…