Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

HAPANA, kumbe yawezekana turudi kwa kina Azori ambao huenda wamehamia kwa wake wengine ili tujiridhishe kuwa nyumba ndogo nazo zinahusika utekaji magumashi.
Kweli yawezekana watu wanakata tamaa mapema kumbe watu wapo hai na afya zao njema kabisaa
 
Young Man,

Tiss ina vitengo vingi, na si kila mtumishi wa Tiss anafahamu oparesheni za kitengo kingine.

Mtu wa kushughulikiwa kwa sasa ni Bashite na si vinginevyo ndio kiini cha uharamia wote huu.
Ila bado ni tiss

Au sio....


Wanarepresent upumbav wa wengine
 
Ukiona kimya ndo jua wale wazungu waliomteka Roma.Ngoja tuone movie sijui watapata wapi Mzungu wa kweli wa kucheza kipande cha mahakamani kilichobakia.
 
Usiku ule magari yote ya doria usiku hawakuiona ile surf? Tena ya mfanano uleule
 
Kwa nini awashukuru Mbowe na Lema kwani ndio waliomteka.

Mo amshukuru mungu na wananchi waliopiga kelele hapaswi kuwashukuru CCM wenzake kwani ndiyo walimtengenezea Sinema.
 
Kwa maelezo ya Sirro jana, Mo ana manati ya mzungu na pia ana dereva. Siku anatekwa hakuwa ma vyote.
 
Sasa naamini kuwa Ben Saanane na Azory Gwanda wameshikiliwa kwenye moja ya mahabusu za watekaji, watesaji magangster hovyo hovyo wasio na akili wanaojificha kwenye mwamvuli wa ulevi wa madaraka!
 
Asee nchi hii inakoelekea tutakuwa na vijana wa hovyo kbs ...hili ndo jambo la kumsifia lema !!!..amesababishaje sasa kurudi kwa Mo?!!
 
Ni mwisho wa muvi watu wanafungasha vifaa vyao waweze kuondoka location hiyo wakasikilizie upepo.
 
Wanaotekwa na kuachiwa ni wengi. Huyu imefahamika kutokana na mazingira na eneo pia.

Hivi mnafahamu pia kuwa na yule boss wa kampuni ya madini mwakajana naye alitekwa na hao watu akiwa uwanja wa ndege Songwi na kuachiwa siku ya pili?

Yeye aliachiwa mapema kwa sababu kwanza ilifahamika waliomteka, na pili ni hatua za wakubwa wa dunia walizochukua na kuwasiliana na mamlaka za juu kabisa.

Jueni hii ndiyo style mpya. Na kila mtu ajue hakuna aliye salama. Uwe Sisiemu au cdm au hufungamani na yeyote.

Ukiamua kuupenda uchafu, uikubali na harufu yake.
 
Mkuu huu muda ulikuwa wapi wakati sisi tunapigana kuongeza watu duniani?
 
Hizi movie za wazungu wasukuma zitapiku za Hollywood aisee!
 
Bangi mbaya
 
cha kushangaza watanzania hawa unaowashukuru kukuombea na kupiga kelele uachiwe, hutawaambia aliyekuteka. na kesho mwingne yakimtokea ww utakaa kimya as if hukuwahi kupatwa na mkasa huo. yale yale ya roma mkatoliki
Ukiona hivo jua watekaji ni wazungu
 
Watekaji wawe wema wampe na simu kupiga nyumbani?Wawe wema wamrudishe na gari walilomteka nalo huku picha za gari zikiwa zimesambaa?Wawe wema wamlazimishe na kula?Wawe wema wampe taarifa kuwa JPM anafanya jitihada za kukutafuta?(maana cha kwanza alipofika nyumbani amemshukuru rais na jeshi)!

Kuna utata mwingi!
 
Kuna watu wasiozidi kumi nchini ni watu jasiri na ujasiri wao hautokani ni ulevi wowote ikiwa ni wa pombe, dawa au rushwa. Ujasiri wa namna hii ya maslahi binafsi hata fisi anao kama akivutishwa bangi ila utakuwa ni wa mda wa kile kilevi.
Wajasiri hawa wa nchi kwa sasa kuna
1 Lissu
2 lema
3 Zitto
4...
5...
10...
Mungu wabariki watu hawa na walinde kama ulivyomlinda Lissu.
 
Mo akàfanyiwe toxicological evaluation hayuko salama. Pia ameathirika sana kisaikolojia hata kwa mwonekano tu.

Watekaji( rogue elements) walimnyoosha kweli kweli, walitaka kumwonesha kuwa yeye Mo anapesa ila wao wana mamlaka.

Mateso aliyopata yanaweza kuwa siyo phsysical damage lkn yakawa ni severely psychoscially devarstating
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…