casanova69
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 2,361
- 2,166
sifa zote zinaenda kwa John...Kauli ya kumshukuru tu mheshimiwa rais mm ndo inanipa shida sana aisee,
Kwann amshukuru rais? Wakati watekaji walimchukua na wamemwachia bila nguvu yeyote kutumika
Shukrani kwa raisi ni za nn hasa?
Una safari ndefu sana katika kufikiri sawasawa.Hakuna taasisi yoyote ile point ya msingi mchango wa Raisi ulikua ni upi wakati hajatoa pole wala neno lolote lile la faraja au hata kuamrisha watu wake wampate haraka iwezekanavyo
hahaa pesa inapatikana kwa zari namna hiyo wasilete utani..Aliyemuazima Simu MO alfajiri Leo.
Hizi hadithi za kutunga...tupe uthibitishoMmmmmmmh baada lile dili la kushinikiza kupewa trilioni mbili kukwama wameona isiwe kesi acha walegeze tu hakuna namna maana hata watanzania walishaanza kushtukia mchezo.
Kila kukicha kulikuwa kukitokea kwenye tweeter, fb, na makundi ya WhatsApp wakilioanisha tukio hili la aibu kwa nchi kama kiki ya kisiasa wakijaribu kulidhalilisha jeshi la polisi na serikali ya awamu ya 5 kana kwamba imeshindwa kulinda amani. Mungu amewaumbua, Mo karibu nyumbani ukiwa Salama salimini
Wameumbuka ccm ,maana hamna hata alieshtuka kutekwa kwa Mtanzania mwenzetu,, leo nimeamini kumbe ccm haina huruma wala haipo kwajili ya wananchi wake ,, yaani hamna hata mbunge au kiongozi wa ccm alieonyeshwa kushtushwa aisee,,hata mwenyekiti wenu,,, hakika wanaoishangilia ccm inaitaji wakapimwe akili,Kila kukicha kulikuwa kukitokea kwenye tweeter, fb, na makundi ya WhatsApp wakilioanisha tukio hili la aibu kwa nchi kama kiki ya kisiasa wakijaribu kulidhalilisha jeshi la polisi na serikali ya awamu ya 5 kana kwamba imeshindwa kulinda amani. Mungu amewaumbua, Mo karibu nyumbani ukiwa Salama salimini
Mkuu wa mkoa hajapewa credit kabisa. Nmejisikia vibaya.
Umepagawa? Nimeandika kuwa kazi ya upinzani siyo kukosoa? Inaonekana wewe ni mmoja wa hawa vilaza wa upinzani na ndiyo maana hamtafanikiwa!
Kutoweza kuzuia wanajeshi wako wasiasi ni udhaifu.Kamanda mzuri ni yule anaye-recruit wanajeshi wenye nidhamu na hawaasi hata wakishawishiwa.Acha ushamba wapinzani wanafanikiwa sana ndiyo maana nyinyi mbumbu kutwa mnatumia pesa za umma pesa za walipa kodi kuwanunua madiwani, wabunge, kuhujumu upinzani kurudia chaguzi kwa gharama kubwa huku mtukufu kazuia mikutano ya Siasa, kama upinzani hauna nguvu waachie wafanye siasa kwa Uhuru pasipo kuwabambikia kesi kuwadhoofisha wala kuwaibia kura muone kama CCM hawajawa kama chama cha upinzani kama KANU ya kenya.
Aah nilikosea kidogo. Gari wamelikuta Gymkana limekataa kuwaka motoInaelekea kile chombo kilichoripotiwa na nyumbu kikizamia bahari ya Hindi kilipats pancha imebidi wamrudishe tu.Ila IGP sasa mjifunze , kutoa taarifa za upelelezi inasaidia, sasa lile gari halina mwenyewe nalo,litatelekezwa parking ya NSSF.