Ghost Worker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 1,412
- 1,864
Wanakuja vijana wa chama, wameshapewa majibu tayari naona wapo busy wanajibu kila mtu kama ilivyo ada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ya Muhindi ni funga kazi haijawahi kutokea, hata Nyerere hakuwahi kupata sapoti kubwa ya negros kama aliyopewa Muhindi!
Huo ndio utaratibu unaotumika duniani kote, katika kubadilishana mateka kwa ransom, familia inaelezwa, kama mnamtaka ndugu yenu akiwa hai, leteni kiasi fulani mahali fulani pa wazi, no police involvement, unaelekezwa mahali pa kuacha fuko la fedha kisha unapigiwa simu mahali pa kumkuta mtu wenu, biashara inamalizika.Kwa yote tunayojua Mo na kila mtu alijua kupatika kwa MO polisi walipaswa kujulishwa kwanza. Ninashangaa kwa nini polisi walipewa umuhimu wa mwisho pamoja na juhudi kubwa walizokuwa wamefanya?
PWanabodi,
Kwa vile Tanzania hatuna matukio ya utekaji wa ransom, usikute jeshi letu la polisi hawana abche mambo haya, na kwa vile niliwahi kushauri humu, tusisubiri tushindwe ndipo tuzomee, ukiweza kusaidia saidia tuu, hivyo hapa nalisaidia jeshi letu la polisi, kwa vile ni kawaida kwa mabilionea kutekwa kwa ransom, hivyo natoa wito kwa jeshi letu la polisi, kama kweli wako serious, kufanya secret monitoring his forex accounts, kupitia kitengo cha FIU kilichopo BOT, ku monitor kila kutu wakiona massive withdrawal of bulky cash, wafanye trails secretly zinapelekwa wapi, pia wawafanyie surveillance, ndugu wote wa karibu, kuanzia kwake, kwa baba yake na ndugu wote haswa Azim Dewji ndie likely the negotiator!, wataona tuu movements, usually usiku wa manane, watawapata watekaji, vinginevyo tutaishia kusikia, Mo, amepatikana ufukwe wa Coco Beach, huku hajitambui na hakumbuki chochote, na hadithi itaishia hapo, kumbe ransom imelipwa!
Ni vigumu kuelewa huu mchezo wa kikomediUjaelewa bado?
Kwa hiyo unamaanisha tumedanganywa na mtoa habari hiiWatanzania wenzangu kuna mahali sijaelewa, hivi inawezekanaje gari litoke kawe hadi jimkana barabara yenye ulinzi mzito tena kwa kutumia gari iliyokwisha kuonyeshwa hadharani kuwa ndo ilotumika kumteka?
Hii kitu inaniumiza sana kichwa🙂😉🙂😉
Pascal Mayalla, asante kwa maelezo; je nini ni madhara ya kusema tumelipa ransom hasa ukuzingatia familia ilishasema iko tayari kutoa billioni moja?Huo ndio utaratibu unaotumika duniani kote, katika kubadilishana mateka kwa ransom, familia inaelezwa, kama mnamtaka ndugu yenu akiwa hai, leteni kiasi fulani mahali fulani pa wazi, no police involvement, unaelekezwa mahali pa kuacha fuko la fedha kisha unapigiwa simu mahali pa kumkuta mtu wenu, biashara inamalizika.
Kuelewa tumeelewa ila ni vigumu kukubaliana na hayo maeleweshoNi vigumu kuelewa huu mchezo wa kikomedi
Kwa hiyo unamaanisha tumedanganywa na mtoa habari hii
Hio ni duniani kote ila hapa kwetu ipo tofauti maana script ilikosewaHuo ndio utaratibu unaotumika duniani kote, katika kubadilishana mateka kwa ransom, familia inaelezwa, kama mnamtaka ndugu yenu akiwa hai, leteni kiasi fulani mahali fulani pa wazi, no police involvement, unaelekezwa mahali pa kuacha fuko la fedha kisha unapigiwa simu mahali pa kumkuta mtu wenu, biashara inamalizika.
Wapi wamesema walimteka wapate pesa harafu wafanyie mjini kabisa mabadilishano hayo msifanye watu hawajui kufikiriHuo ndio utaratibu unaotumika duniani kote, katika kubadilishana mateka kwa ransom, familia inaelezwa, kama mnamtaka ndugu yenu akiwa hai, leteni kiasi fulani mahali fulani pa wazi, no police involvement, unaelekezwa mahali pa kuacha fuko la fedha kisha unapigiwa simu mahali pa kumkuta mtu wenu, biashara inamalizika.
Fa,la wewe,,yaani numegundua sasaivi mtu akitekwa ukiona misukule ya ccm ipo kimiya au inapongeza,,ujue huyo mtu katekwa na wao, nawapa pole sna wanaoishabikia chama cha kijaniHii ya Muhindi ni funga kazi haijawahi kutokea, hata Nyerere hakuwahi kupata sapoti kubwa ya negros kama aliyopewa Muhindi!
Wakati familia inafanya press conference, negotiations na watekaji zilishaanza, ile press co ilikuwa ni dupe tuu kwa polisi wetu, familia kujifanya inawatafuta watekaji kama shida yao ni pesa, watatoa, ili polisi polisi isije kuwatibulia!.Pascal Mayalla, asante kwa maelezo; je nini ni madhara ya kusema tumelipa ransom hasa ukuzingatia familia ilishasema iko tayari kutoa billioni moja?
Kwani utekaji mabilionea umeanza leo?.Wapi wamesema walimteka wapate pesa harafu wafanyie mjini kabisa mabadilishano hayo msifanye watu hawajui kufikiri
Baada ya kujifunza hivyo ulipata muda wa kujiuliza kwa nini?Ni kwamba Muhindi ana uwezo wa kuitisha Mapinduzi na kuipindua Serikali yetu tulioichagua, na hakuna Muhindi atakayeshiriki kwenye maandamano, bali ni weusi ndo watajazana, ...
Hii ya Muhindi ni funga kazi haijawahi kutokea, hata Nyerere hakuwahi kupata sapoti kubwa ya negros kama aliyopewa Muhindi!
pole ndugu ulikuwa unatest dhariHii ya Muhindi ni funga kazi haijawahi kutokea, hata Nyerere hakuwahi kupata sapoti kubwa ya negros kama aliyopewa Muhindi!