My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
The mad in business as usualNi kwamba Muhindi ana uwezo wa kuitisha Mapinduzi na kuipindua Serikali yetu tulioichagua, na hakuna Muhindi atakayeshiriki kwenye maandamano, bali ni weusi ndo watajazana, ...
"Different Colours / One People"
Breaking those barriers
All over the world
Was not an easy thing
Yesterday your mouth was shut yeah
Couldn't make a sound eh boy
But it's such a good feeling today
When I can hear them from
Across the ocean singing this song
That the whole world should be singing
All the time
[Chorus: x3]
We're...
Different colours {one people}
Different colours {one people}
Hey you government
Never try to seperate the people
Hey you politician
Never try to seperate the people
They were created in the image of God
And who are you to seperate them
Bible says, he made man in his image
But it didn't say black or white
Look at me you see BLACK
I look at you I see WHITE
Now is the time to kick that away
And join me in my song
[Chorus: x3]
Hey you politician
Never seperate the people here
Hey you man hey you man
Never try to seperate the people
Some were from America
We were from South Africa
Some were from Japan
We were from China
Some were from Australia
We were from the U.K.
Some were from Zimbabwe
We were from Ghana
Some were from Jamaica
We were from Russia
Some were from Aha-ha-ha
We were from Uhu-hu-hu
[Chorus: till fade]
Imekuuma sana kuona Dewji kapambaniwa sana!!!Hata JPM akipotea,hawezi pambaniwa kama alivyopambaniwa Dewji!Ni kwamba Muhindi ana uwezo wa kuitisha Mapinduzi na kuipindua Serikali yetu tulioichagua, na hakuna Muhindi atakayeshiriki kwenye maandamano, bali ni weusi ndo watajazana, ...
Imekuuma sana kuona Dewji kapambaniwa sana!!!Hata JPM akipotea,hawezi pambaniwa kama alivyopambaniwa Dewji!
Na wahindi ndiyo wafadhili wakubwa wa CCM.Ni kwamba Muhindi ana uwezo wa kuitisha Mapinduzi na kuipindua Serikali yetu tulioichagua, na hakuna Muhindi atakayeshiriki kwenye maandamano, bali ni weusi ndo watajazana, ...
Kama humkubali Mo ni bora ukakaa kimya. Maneno yako yananuka shombo la ubaguzi.Hii ya Muhindi ni funga kazi haijawahi kutokea, hata Nyerere hakuwahi kupata sapoti kubwa ya negros kama aliyopewa Muhindi!
Kama humkubali Mo ni bora ukakaa kimya. Maneno yako yananuka shombo la ubaguzi.
Neno walahiWatanzania wa mtandaoni ni tofauti na waliopo kwenye field/ground. Refer to maandamano ya Mange.
Hii Sentensi hakika si mchezo mkuu akipotea huyo jamaa hakuna hata atakaeuliza yuko wapiImekuuma sana kuona Dewji kapambaniwa sana!!!Hata JPM akipotea,hawezi pambaniwa kama alivyopambaniwa Dewji!
UMESAHAU PIA ANA SHARE KWENYE MOJA YA CLUB KUBWA YA MPIRA NCHINIMo Directly ameajiri watu elfu 25.
Kama kila muajiriwa ana familia ya watu wanne, basi Mo anasapoti directly maisha ya watu laki moja (elfu 25*4).
Kwa hawa watu ukimgusa Mo ni kama umewagusa wao binafsi na lazima wakung'ang'anie shati.
Kuna watu wanaouza jumla na rejareja bidhaa za Mo nchi nzima. Hawa nao watakomaa na wewe ukimgusa Mo.
Jumlisha hali ya siasa ya sasa ambapo wanachama wa CCM ni polisi.
Mmekosea sana kumteka Mo,mlidhani mnaenda kuvamia Clouds TV?
Kutoka chama cha siasa hadi kuwa genge la kigaidi linaloteka,kutesa na
Chadrama kwishney walahi
Imekuuma sana kuona Dewji kapambaniwa sana!!!Hata JPM akipotea,hawezi pambaniwa kama alivyopambaniwa Dewji!
"Pascal Mayalla, wakati kila kitu kinaonekana kiko wazi, watu wngi wanaonyesha kung'ang'aniza na kuivuta serikali katika sakata hili; utawala hautafutwi kwa njia rahisi kama hii, it is absolutely and utmost childish nonsenseKwani utekaji mabilionea umeanza leo?.
P
Ajabu watanzania wa mtandaoni wanawatetemesha na kuwapa vigugumizi wenye mamlaka walio field, maana waliwafanya jamaa wapige jaramba CC Ukuta $ 26.04.2018 hakuna aliehama kuunga mkono juhudi wala nini wote kiimyaWatanzania wa mtandaoni ni tofauti na waliopo kwenye field/ground. Refer to maandamano ya Mange.
Mimi ndiyo ni Mbaguzi, hilo sifichi na hakuna ubaya wowote kuwa mbaguzi, kwanza kutokuwa Mbaguzi ni ujinga na kutokuwa na akili.
Kwako wewe ulipenda asipatikane!Chuki zako humu kwa watanzania wasio na asili ya kiafrica ni kubwa sana!Yaa ni kweli imeniuma sana, kuona Muhindi akigombaniwa na kupiganiwa namna hii, ni kama vile uone ndama wakimgombania na kumpigania mwenye bucha, lazima ikushangaze kama una hata tu akili ya wastani, kuna baadhi ya mambo huwa hayabadiliki!