Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

"Different Colours / One People"

Breaking those barriers
All over the world
Was not an easy thing
Yesterday your mouth was shut yeah
Couldn't make a sound eh boy
But it's such a good feeling today
When I can hear them from
Across the ocean singing this song
That the whole world should be singing
All the time

[Chorus: x3]
We're...
Different colours {one people}
Different colours {one people}

Hey you government
Never try to seperate the people
Hey you politician
Never try to seperate the people

They were created in the image of God
And who are you to seperate them
Bible says, he made man in his image
But it didn't say black or white
Look at me you see BLACK
I look at you I see WHITE
Now is the time to kick that away
And join me in my song

[Chorus: x3]

Hey you politician
Never seperate the people here
Hey you man hey you man
Never try to seperate the people

Some were from America
We were from South Africa
Some were from Japan
We were from China
Some were from Australia
We were from the U.K.
Some were from Zimbabwe
We were from Ghana
Some were from Jamaica
We were from Russia
Some were from Aha-ha-ha
We were from Uhu-hu-hu

[Chorus: till fade]


Kwa nini watu weusi tu huwa tuna hiyo misemo? Sijawahi kusikia Muhindi, Mchina au hata Mwarabu akisema sijui we are all one, mara utasikia its only the color au kama wewe different color one people, hii ni misemo ya masikini na watu wasiojithamini na wasiothaminiwa, ni low IQ .
 
Kutoka kwenye hiyo video... anaonekana kabisa hayupo sawa... na hayo maneno amelishwa aseme...


Cc: mahondaw
 
Imekuuma sana kuona Dewji kapambaniwa sana!!!Hata JPM akipotea,hawezi pambaniwa kama alivyopambaniwa Dewji!


Yaa ni kweli imeniuma sana, kuona Muhindi akigombaniwa na kupiganiwa namna hii, ni kama vile uone ndama wakimgombania na kumpigania mwenye bucha, lazima ikushangaze kama una hata tu akili ya wastani, kuna baadhi ya mambo huwa hayabadiliki!
 
Ni kwamba Muhindi ana uwezo wa kuitisha Mapinduzi na kuipindua Serikali yetu tulioichagua, na hakuna Muhindi atakayeshiriki kwenye maandamano, bali ni weusi ndo watajazana, ...
Na wahindi ndiyo wafadhili wakubwa wa CCM.
 
Kama humkubali Mo ni bora ukakaa kimya. Maneno yako yananuka shombo la ubaguzi.


Mimi ndiyo ni Mbaguzi, hilo sifichi na hakuna ubaya wowote kuwa mbaguzi, kwanza kutokuwa Mbaguzi ni ujinga na kutokuwa na akili.
 
Kutoka chama cha siasa hadi kuwa genge la kigaidi linaloteka,kutesa na hata kuua.
 
Imekuuma sana kuona Dewji kapambaniwa sana!!!Hata JPM akipotea,hawezi pambaniwa kama alivyopambaniwa Dewji!
Hii Sentensi hakika si mchezo mkuu akipotea huyo jamaa hakuna hata atakaeuliza yuko wapi
 
Mo Directly ameajiri watu elfu 25.
Kama kila muajiriwa ana familia ya watu wanne, basi Mo anasapoti directly maisha ya watu laki moja (elfu 25*4).
Kwa hawa watu ukimgusa Mo ni kama umewagusa wao binafsi na lazima wakung'ang'anie shati.

Kuna watu wanaouza jumla na rejareja bidhaa za Mo nchi nzima. Hawa nao watakomaa na wewe ukimgusa Mo.
Jumlisha hali ya siasa ya sasa ambapo wanachama wa CCM ni polisi.

Mmekosea sana kumteka Mo,mlidhani mnaenda kuvamia Clouds TV?
UMESAHAU PIA ANA SHARE KWENYE MOJA YA CLUB KUBWA YA MPIRA NCHINI
 
Watanzania wa mtandaoni ni tofauti na waliopo kwenye field/ground. Refer to maandamano ya Mange.
Ajabu watanzania wa mtandaoni wanawatetemesha na kuwapa vigugumizi wenye mamlaka walio field, maana waliwafanya jamaa wapige jaramba CC Ukuta $ 26.04.2018 hakuna aliehama kuunga mkono juhudi wala nini wote kiimya
 
Mimi ndiyo ni Mbaguzi, hilo sifichi na hakuna ubaya wowote kuwa mbaguzi, kwanza kutokuwa Mbaguzi ni ujinga na kutokuwa na akili.

True walahi
Aende India aone mchezo mzima, wapuuzi sana hao walahi
 
Yaa ni kweli imeniuma sana, kuona Muhindi akigombaniwa na kupiganiwa namna hii, ni kama vile uone ndama wakimgombania na kumpigania mwenye bucha, lazima ikushangaze kama una hata tu akili ya wastani, kuna baadhi ya mambo huwa hayabadiliki!
Kwako wewe ulipenda asipatikane!Chuki zako humu kwa watanzania wasio na asili ya kiafrica ni kubwa sana!
 
Back
Top Bottom