Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,332
- 2,465
Kwaiyo ile billion moja wameshapewa hao walinzi, maana wao si ndo wamefanikisha taarifa kufikia familia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini kifanyike?Yaani, mambo yarihharibika tangu mwanzo tuu
Kumbe watekaji walimshusha MO ,,wakatokomea zao,,POLICE WANAPONGEZWA kwa LIPI?hawa jamaa wana UKAKASIUmofia KWENU.
Tutafakari sentensi hii ya Afande Mambosasa" WATEKAJI WALIPOMFIKISHA MO JIMKHANA WAKAMWACHA, NDIPO MO AKAWAFUATA WALINZI WA ENEO LILE NA KISHA KUOMBA SIMU AKAMPIGIA BABA YAKE NA KUFIKA KUMCHUKUA.....HAWA WALIKUWA WALINZI KWELI AU WAVUVI MAANA MLINZI AMBAYE ALISHINDWA KUWAONA WATEKAJI ILA ALIMWONA MO SIDHAN KAMA ANAPASWA KULINDA ENEO SENSITIVE KAMA LILE ........ AU WALIKUWA WAMELALA?
Ruzuku ya CCM inayotumika kuteka watu kuwabambikia kesi, kuwahujumu kudhoofisha upinzani, kuwanunua madiwani wabunge kazi za hovyo hovyo zisizo na Tija kwa chama na Taifa inatoka kwako?Mnatumia Ruzuku vibaya mnagawana bando za kuja kupot nonsense huku mitandaoni
igizo limebumaa. jengeni viwanda acheni maigizo . ziko wapi mil 50 kwa kila kijiji? viko wapi viwanda?.wale mafisadi waliotengenezewa mahakama.pale ubungo ni kinanani mbona ngeleja karudisha ml.40 na bado yu bungeni?Mnatumia Ruzuku vibaya mnagawana bando za kuja kupot nonsense huku mitandaoni
Kumbe watekaji walimshusha MO ,,wakatokomea zao,,POLICE WANAPONGEZWA kwa LIPI?hawa jamaa wana UKAKASI
Umofia KWENU.
Tutafakari sentensi hii ya Afande Mambosasa" WATEKAJI WALIPOMFIKISHA MO JIMKHANA WAKAMWACHA, NDIPO MO AKAWAFUATA WALINZI WA ENEO LILE NA KISHA KUOMBA SIMU AKAMPIGIA BABA YAKE NA KUFIKA KUMCHUKUA.....HAWA WALIKUWA WALINZI KWELI AU WAVUVI MAANA MLINZI AMBAYE ALISHINDWA KUWAONA WATEKAJI ILA ALIMWONA MO SIDHAN KAMA ANAPASWA KULINDA ENEO SENSITIVE KAMA LILE ........ AU WALIKUWA WAMELALA?
Extremely possible [emoji120][emoji120][emoji120] you are indeed a great thinker [emoji106][emoji106]Maana nimeona kuna maswali hapa nimelala alafu nikaamka,
Kwanini familia imekimbilia kujitetea kwenye maelezo kwamba tumepigiwa simu tukamfuata, ila jamani tumefanya kosa hatujaenda na polisi,
Tunaweza kuwapata walinzi waliompa simu au.namba zao tukahakikisha kwamba ni kweli? Au angalau wahojiwe basi,
Maana hisia hizo zinapelekea tuamini amerudishwa na.polisi kwao,
Na kuambiwa waseme yafatayo
Plz Sirro na Mombasasa msichukie maana maswali tunavyouliza tunawapa nafasi ya kurekebisha maelezo yenu,
Script ikae vema
igizo limebumaa. jengeni viwanda acheni maigizo . ziko wapi mil 50 kwa kila kijiji? viko wapi viwanda?.wale mafisadi waliotengenezewa mahakama.pale ubungo ni kinanani mbona ngeleja karudisha ml.40 na bado yu bungeni?
Chochote cha KUDANGANYA kinahitaji EDITING......jambo LA ukwl HALINA EDITING siku zoteBashite na kikundi chake akina Le mutuz hawana ujuzi na hizo Sinema ndiyo maana kila Sinema wanazikosea.
Njaa itakuua na ubaguzi wako.Ni kwamba Muhindi ana uwezo wa kuitisha Mapinduzi na kuipindua Serikali yetu tulioichagua, na hakuna Muhindi atakayeshiriki kwenye maandamano, bali ni weusi ndo watajazana, ...
Ruzuku ya Ufipa inaishia mitandaoni@ cha mitandaoni .......Halafu nyie chadema muwe mnajiheshimu sometimes
Mo katoka magogoni kwa Magu hayo mengine ni porojo. This is United Republic of Gangster bwanaMaana nimeona kuna maswali hapa nimelala alafu nikaamka,
Kwanini familia imekimbilia kujitetea kwenye maelezo kwamba tumepigiwa simu tukamfuata, ila jamani tumefanya kosa hatujaenda na polisi,
Tunaweza kuwapata walinzi waliompa simu au.namba zao tukahakikisha kwamba ni kweli? Au angalau wahojiwe basi,
Maana hisia hizo zinapelekea tuamini amerudishwa na.polisi kwao,
Na kuambiwa waseme yafatayo
Plz Sirro na Mombasasa msichukie maana maswali tunavyouliza tunawapa nafasi ya kurekebisha maelezo yenu,
Script ikae vema
Bila shaka wewe ni bashiteMaswali km haya muwe mnaanza kuulizana kwenu baina yenu,mama yako na nduguzo kisha unatushirikisha nasi!
Mbona povu linakutoka?Maswali km haya muwe mnaanza kuulizana kwenu baina yenu,mama yako na nduguzo kisha unatushirikisha nasi!