minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Tatizo kubwa ni mshauri wa mtukufu ni Bashite na Kituko zaidi huyo Bashite hana vyeti ni kilaza na cha kushangaza na kuhuzunisha zaidi ni mshauri mkuu wa Bashite ni kubwa jinga Le mutuz yaani ni Aibu mshauri wa Mtukufu kuwa na washauri wajinga jinga mazuzu kama akina Musiba, jerry muro na boss wao Le mutuz.Chochote cha KUDANGANYA kinahitaji EDITING......jambo LA ukwl HALINA EDITING siku zote