Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Umofia KWENU.

Tutafakari sentensi hii ya Afande Mambosasa" WATEKAJI WALIPOMFIKISHA MO JIMKHANA WAKAMWACHA, NDIPO MO AKAWAFUATA WALINZI WA ENEO LILE NA KISHA KUOMBA SIMU AKAMPIGIA BABA YAKE NA KUFIKA KUMCHUKUA.....HAWA WALIKUWA WALINZI KWELI AU WAVUVI MAANA MLINZI AMBAYE ALISHINDWA KUWAONA WATEKAJI ILA ALIMWONA MO SIDHAN KAMA ANAPASWA KULINDA ENEO SENSITIVE KAMA LILE ........ AU WALIKUWA WAMELALA?
Unauliza masuali ya kipumbavu kweli lile eneo labda wasolijua watu wa mkoani eneo lile halina makazi ya watu kwa karibu na ni eneo la michezo liko wazi kwa hiyo hao walinzi walijua Kama Moo anakuja au?
 
Wao mabilionea? Wanaiingizia nchi shilingi ngapi na wameajiri watu wangapi? Mabilionea hata mabenki huwafuata majumbani kuwapa pesa ama kuchukua pesa .Huwezi wakuta wamepanga foleni benki.Unalinganisha MO na Nondo na Roma .LOOO Shame on you
Kwahiyo mabilionea hata wakifanya uhaini au kuua hawaendi polisi isipokuwa polisi ndio huenda huko kuongea nao na kuondoka zao? Kwani Manji ilikuwaje? Lugemarila na Singh sio mabilionea? Wako wapi sasa?
 
Kwani walinzi hao walijua kuwa wale ni watekaji ?
Waliwaona watekaji na walijua ni raia wa kawaida tu wanaopita na safari zao.
Kwahio walinzi wameona gar haina plate number ya mbele na wakaiacha tuuu ipite? Braza unapajua gymkhana lakini? Pita ww kiboya boya night kali kama ile utakuja kutuhadithia
 
Apewe Mo mwenye aliyejigundua alipo na kutoa taarifa nyumbani na nyumbani wakaja kumchukua.
😀😀😀😀😀😀😀😀
Halafu nashangaa wamewezaje kuushona mdomo wa bashite maana muvi kama hizi yeye mdomo huwa haufungi. Akisema atapatikana kabla ya Jumapili na kweli anapatikana
Bashite kaambiwa atulize KIPAGO asije akawasha fegi sheli.
 
Hahahaaaah, tatizo lako unamchukulia MO, kama jiwe au bashite!! Hapo ndio unachanganya, majibu yake utayapata kwenye makusanyo ya kodi. Unajua mmejaa ushabiki wa kijuha sana, Taifa linaangamia mmebaki na uzwazwa!!
Kwa maswali mnayouliza humu wewe kwa akili yako yana athari gani ktk huo mkusanyo wa kodi?
Najua haujanielewa hivyo utajibu sivyo!
 
Maana nimeona kuna maswali hapa nimelala alafu nikaamka,

Kwanini familia imekimbilia kujitetea kwenye maelezo kwamba tumepigiwa simu tukamfuata, ila jamani tumefanya kosa hatujaenda na polisi,

Tunaweza kuwapata walinzi waliompa simu au.namba zao tukahakikisha kwamba ni kweli? Au angalau wahojiwe basi,

Maana hisia hizo zinapelekea tuamini amerudishwa na.polisi kwao,

Na kuambiwa waseme yafatayo

Plz Sirro na Mombasasa msichukie maana maswali tunavyouliza tunawapa nafasi ya kurekebisha maelezo yenu,

Script ikae vema
Utaaminije? Kuamini, mpaka utiwe!
 
Wao mabilionea? Wanaiingizia nchi shilingi ngapi na wameajiri watu wangapi? Mabilionea hata mabenki huwafuata majumbani kuwapa pesa ama kuchukua pesa .Huwezi wakuta wamepanga foleni benki.Unalinganisha MO na Nondo na Roma .LOOO Shame on you
Nasikia watekaji wa siro walimpa Mo kila aina ya chakula alichokitaka, chips yai, juice ya ukwaju nakadhalika, watekaji walikuwa no watu wema sana
 
Ajabu watanzania wa mtandaoni wanawatetemesha na kuwapa vigugumizi wenye mamlaka walio field, maana waliwafanya jamaa wapige jaramba CC Ukuta $ 26.04.2018 hakuna aliehama kuunga mkono juhudi wala nini wote kiimya
Ni ajabu kweli, siku ilivyofika waliandamana wenyewe tu.
 
Kwahio walinzi wameona gar haina plate number ya mbele na wakaiacha tuuu ipite? Braza unapajua gymkhana lakini? Pita ww kiboya boya night kali kama ile utakuja kutuhadithia
Walinzi wa makampuni binafsi hawahusiki na ukaguzi wa magari.
Wao kazi yao ni kulinda mali za sehemu waliyokabidhiwa kuilinda.
Kukagua plate namba ni kazi ya Trafiki au polisi.
 
Maana nimeona kuna maswali hapa nimelala alafu nikaamka,

Kwanini familia imekimbilia kujitetea kwenye maelezo kwamba tumepigiwa simu tukamfuata, ila jamani tumefanya kosa hatujaenda na polisi,

Tunaweza kuwapata walinzi waliompa simu au.namba zao tukahakikisha kwamba ni kweli? Au angalau wahojiwe basi,

Maana hisia hizo zinapelekea tuamini amerudishwa na.polisi kwao,

Na kuambiwa waseme yafatayo

Plz Sirro na Mombasasa msichukie maana maswali tunavyouliza tunawapa nafasi ya kurekebisha maelezo yenu,

Script ikae vema
Angalia usibatizwe jina la mchochezi
 
Acha ubaguzi kama wivu wa utajiri wao unaku sumbua
Pambana na Hali yko

Ova
 
Back
Top Bottom