Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

"Jeshi la Polisi linatakiwa kuelewa kuwa Watanzania sio wajinga. kama suala la kutekwa kwa Mohamed Dewji linaacha maswali. Tuliambiwa alitekwa na wazungu lakini lilipoisha haikueleweka, mwishoni aliyetekwa alionekana anakunywa chai na Mambosasa"- Rais John Magufuli

Hahahahaha lol! MO alitekwa tangu October hukutia neno lolote kwa miezi mitano sasa ghafla tu unaibuka na kudai uchunguzi?????

Vipi uchunguzi kuhusu lissu, Saanane, Azory? Vipi uchunguzi kuhusu 2.4 trillions? Vipi miili iliyookotwa ufukweni?
 
Inafikirisha sana hii nchi!
 
Reactions: BAK
Ni miaka 5 sasa toka huyu mwamba atekwe na wala watekaji serikali haijawapata wala Mo mwenyewe hajawi wafahamu [emoji23] walio mteka.

Binafsi namuelewa Mo kuamua kupotezea ili focus yake iendelee kwenye biashara zake.

Ila ule ulikuwa uhuni katika historia yake na watu wa staarabu.
Pole sana Mo, tunashukuru kwa imani yako kuendelea kuwepo Tanzania. Wengine waliamua kusepa kabisa.
 

Wala haikuwahi kujulikana hao walioongea kingoni cha madiba walikuwa wanataka nini[emoji23][emoji23].

Tulipitia mengi sana kama taifa. Ilikuwa hakuna kupoa.
 
Wala haikuwahi kujulikana hao walioongea kingoni cha madiba walikuwa wanataka nini[emoji23][emoji23].

Tulipitia mengi sana kama taifa. Ilikuwa hakuna kupoa.
Ukiangalia hiyo staged press Mo aliyotengenezewa aishukuru serikali ya dikteta uchwara unaona kabisa body language yake inamsaliti anapopeana mikono na Muliro.

Unajua kabisa hapo waliomteka anawafahamu.
 
Wamemteka Billionaire!?! Wasiojulikana wamejichanga.

2019 kitawaka sana, watu wengi waliohusika na hii watadakwa. Hapo ndiyo tutaona nguvu ya pesa.

Mi ninachojua hawa watu wanajua haki zao na hawatokubali kuonewa, sisi wa hali ya chini tunajisikia raha tukionewa huku tukisema ni uzalendo. Ukiitwa mnyonge unajisikia raha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…