Dikteta na dhalimu ndiye muhusika mkuu wa kutekwa kwa MO.
Eti eee?Hindustan Cinema Hiyo
Inafikirisha sana hii nchi!"Jeshi la Polisi linatakiwa kuelewa kuwa Watanzania sio wajinga. kama suala la kutekwa kwa Mohamed Dewji linaacha maswali. Tuliambiwa alitekwa na wazungu lakini lilipoisha haikueleweka, mwishoni aliyetekwa alionekana anakunywa chai na Mambosasa"- Rais John Magufuli
Hahahahaha lol! MO alitekwa tangu October hukutia neno lolote kwa miezi mitano sasa ghafla tu unaibuka na kudai uchunguzi?????
Vipi uchunguzi kuhusu lissu, Saanane, Azory? Vipi uchunguzi kuhusu 2.4 trillions? Vipi miili iliyookotwa ufukweni?
Aisee nimeshangaa Jana Simba day anasema nchi Ina amani.Inafikirisha sana hii nchi!
MFANYABIASHARA MAARUFU MOHAMMED DEWJI APATIKANA AKIWA HAI
Amepatikana akiwa ametelekezwa kwenye viwanja vya Gymkhana
Baada ya kutekwa, Gari la watekaji liliendeshwa kwa kasi sana na kwenda kuwekwa kwenye chumba akiwa amefunikwa uso
Inasemakana watekaji walikuwa wakiongea lugha inayoonekana kuwa ni ya Afrika Kusini'
Tanzania, Mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ aliyetekwa Oktoba 11 na kupatikana leo Jumamosi Oktoba 20, 2018 saa nane usiku baada ya waliomteka kumtupa katika Viwanja vya Gymkhana katikati yajijini la Dar es Salaam.
Habari zaidi soma=>Dar: Mfanyabiashara Mohammed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay - JamiiForums
=======
“Namshukuru Mwenyezi Mungu nimerudi salama nyumbani. Nawashukuru Watanzania wenzangu na watu wote kote duniani kwa dua na sala zao. Nashukuru mamlaka zote, ikiwemo Jeshi la Polisi, zilizofanya kazi ya kuhakikisha narudi salama.” — Mohammed Dewji (Saa 9:15 alfajiri, Dar es Salaam)
“I thank Allah that I have returned home safely. I thank all my fellow Tanzanians, and everyone around the world for their prayers. I thank the authorities of Tanzania, including the Police Force for working for my safe return.”
— Mohammed Dewji (3:15AM, Dar es Salaam)
View attachment 904322
View attachment 904323
Ukiangalia hiyo staged press Mo aliyotengenezewa aishukuru serikali ya dikteta uchwara unaona kabisa body language yake inamsaliti anapopeana mikono na Muliro.Wala haikuwahi kujulikana hao walioongea kingoni cha madiba walikuwa wanataka nini[emoji23][emoji23].
Tulipitia mengi sana kama taifa. Ilikuwa hakuna kupoa.
AlishapoaDah inasikitisha sana
Wamebana wameachia, Jiwe siyo Mtu!.
Namshauri Mo asepe atulie zake huko Brunei au Kisiwa chochote cha Pasifiki ale bata miaka saba ipite kisha arudi tujenge nchi!, yeye bado kijana, kupumzika miaka saba siyo ishu!
Raia wa Msumbiji 🤣
Dah,lazima atahama Tanzania Huyu.
Wameona ni bora kumrudisha kwake saa 10 kasoro ya alfajiri,ili wakuda wasimwone katokea wapi,kaletwa na nani ama kaja na gari gani
Kazi bado ipo[emoji3][emoji3]