imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Anaweza kuwa right.Yuko right
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaweza kuwa right.Yuko right
Ulitaka rais ndo atoke ikulu kwenda kumtafuta mo, mawazo mengine muwe mnapeleka facebook sio huku kwa great thinkersAnamshukuru "rais" mimi namuuliza "kwa lipi alilokufanyia hali ya kuwa alikuwa anagonga juice na wanandinga pale mjengoni?
Sikumsikia akitamka lolote kutekwa kwako!
Tafadhali sana MO tupe maelezo in a free style mode.
Kati ya hao kuna hata mmoja aliyechukua hatua za kwenda kumtafuta mo, kama hakuna hizo sauti zilizopazwa sijui makala zimeandikwa hazina tofauti na kasuku anavyoiga sauti za vitu mbalimbali. Yaan hazina maana yytKina maria sarungi wame tweet mpaka baasi!
Wakipaaza sauti "BRING BACK MO" kina TL wameandika mpaka makala!
Zitto Rugaya amepambana mno!
G. Lema kawaita waandishi wa habari kutoa njia mbadala ya kumpata MO!
Mshana Jr akatoa ma conspiracy theory ya abc za utekaji na malengoye!
Pascal Mayalla alishusha nondo hatari! Hii yote ni katika kushinikiza MO apatikane.
IWEJE AMSHUKURU Rais ambaye hatuna ushahidi wa kuguswa kwake na tukio la utekaji?
Hata BBC news ime confirm kuwa katika nchi masikini tajiri aliyeajiri watu karibu 23,000 wakipaza sauti wote watekaji watapata pressure.Mtu tangia lini anapatikana kwa ku tweet?
Rais ndi mkuu wa majeshi yote nchini na yeye ndio kila kitu yeye ndio ana saidia na kuwezesha vyombo vya ulinzi.
Rais alikuwa ana wasiliana na Familia ya Mo si mpaka atoe tamko kama ninyi
hahahaha Mmeumia Rais kushukuriwa hahahaha imewachomaaaa
ndugu, amka usingizini.Mtu tangia lini anapatikana kwa ku tweet?
Rais ndi mkuu wa majeshi yote nchini na yeye ndio kila kitu yeye ndio ana saidia na kuwezesha vyombo vya ulinzi.
Rais alikuwa ana wasiliana na Familia ya Mo si mpaka atoe tamko kama ninyi
hahahaha Mmeumia Rais kushukuriwa hahahaha imewachomaaaa
Alimshukuru Bashite.Kwani yule Roma Mkatoliki alipopatikana alisema chochote vile au?
Mohamed Dewji kafanya la maana kumshukuru mungu wake na wako...Ulitaka MO amtaje Zitto au Lema wakati walikuwa wanajineemesha kisiasa?
Mpango wenu wa kuuza tisheti umebuma.
Mkuu Mag 3 hataWakati mwingine tuwe tunatumia akili kidogo, Mohamed Dewji kawashukuru waliomteka kwa kuamua kumuachia usiku wa manane wakati tuliokuwa tukisikitika, tuliokuwa tukiomba, tuliokuwa tukiliaa na tuliokuwa tukipiga makelele tumelala. Mohamed Dewji hana muda wa kuwashukuru binadamu wanyonge kama sisi tulioumbwa kwa udongo.
Sala zetu, vilio vyetu na makelele yetu hayakuweza kufanikisha kupatikana kwa Ben Saanane, Azory na ndugu zetu lukuki waliopotea...iweje kwa Mohamed Dewji? Maombi yetu, masikitiko yetu na vilio vyetu havikuwezesha kupatikana kwa waliommiminia risasi zisizo na hesabu aliyekuwa Mbunge wa Singida Mh. Tundu Antiphas Lissu.
Mohamed Dewji hana haja ya kutushukuru wala asithubutu kutushukuru, awashukuru watekaji wenye roho nzuri waliomuonea huruma hadi kapatikana mzima wa afya bila hata kuhitaji uchunguzi wa afya yake, nashauri familia yake iwape hao watekaji zile trilioni kama asante...Tanzania ni zaidi ya tunavyoijua, pole sana Mohamed Dewji!