Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Masharti hayo yanawekwa na nani? Mlipaji au anayedai? Hebu tuondelee ujinga wako hapa!

Nani aliyewahi kuzungumza yaliyomsibu hapo kabla? Miongoni mwa wote waliowahi kufanyiwa umafia nchi hii, ni nani aliyewahi kuzungumza? Au hawakuzungumza kwa sababu walilipa ransom?
Hiyo ni hoja yako na wana-Lumumba wenzako pamoja na genge lote la wahalifu kama wale ambao waliwahi hadi kuvamia studio! Hoja iliyo mbele ya wananchi ni je, baada ya kutoweka Ben Saanane na hatimae Mwandishi wa Mwananchi, kisha kutoweka kwa ROMA na baadae kuja kupatikana kabla hajatoweka Mo Dewji na kufuatiwa na drama za Kamanda Sirro; WHO'S NEXT! Usitake kuaminisha watu kwamba utekaji kwa sasa unalenga matajiri wakati utekaji nchi hii hivi sasa unaelekea kuwa ni jambo la kawida! WHO NEXT?

Umejuaje kwamba huko kusini mwa Afrika huwa wanateka matajiro for ransom wakati umeshasema masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lolote?
Hatakujibu hilo swali mkuu
 
Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!

Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!

Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom na hakuna makubaliano.

Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini kwa matajiri.

Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.

Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?
Acha uongo, waliomchukuwa wanafahamika. Yaleyale ya Roma. Mbona baada ya Polisi kumhoji Roma faili likafungwa badala ya jushika kasi ili kukomesha hayo yasiendelee?
Yule ilikuwa atapatikana jumapili na akapatikana. Huyu tunajuwa alichukuliwa na gari Hilux picha hizi walifika mpaka Kawe, kesho yake huyo!
 
Haha bavicha bwana hivi ni kelele ndio zimemtafuta mpaka akapatikana?

Jeshi la polisi na vyombo vingine vya dola vimedhibitisha weledi wake.

Sio kila jambo mnalilia wachunguzi wa kimataifa.

Chadema mnekuwepo wakati wa vita vya Idd amini si ajabu pia mngeshauri wachunguzi wa kimataifa waje kutusaidia.
 
Nitafurahi sana endapo ataendelea kukaza na kua na msimamo huo huo aliyokua nao hata kama baada ya kuachiliwa...

Hakitoki kitu hapa...


Cc: mahondaw
 
unaipa hongera kwa usanii? Wao wanajua alipokuwepo! Tz imekuwa Nchi ya ajabu Sana sasa hivi tunasemwa vibaya na wenzetu. Ukipita mtaani au mghahawa wanaonifahamu wanauliza maswali ya ajabu!
Wenzenu kina nan?
 
Watekaji walitaka pesa; yaani ukae na mtu siku 7 huku ukijua hutaweza kuzipata? Kukaa na mtu una risk kutiwa mbaroni kwako. Watekaji professional hasa hao wazungu kama tukivyoambiwa hawawezi kifanya kosa kubwa la kiufundi kama hili.

Haya hata hiyo 1billion waliyosema familia watekaji hawakuitaka walau?? Yaani wazungu wasizijali dola laki nne na nusu?

Haya bwana!!
 
Acha uongo, waliomchukuwa wanafahamika. Yaleyale ya Roma. Mbona baada ya Polisi kumhoji Roma faili likafungwa badala ya jushika kasi ili kukomesha hayo yasiendelee?
Yule ilikuwa atapatikana jumapili na akapatikana. Huyu tunajuwa alichukuliwa na gari Hilux picha hizi walifika mpaka Kawe, kesho yake huyo!

Huna mbele wala nyuma mme kwishney walahi
 
Kwa hiyo walimteka karibu na kwa Mama Samia makamu wa raisi wamemuachia karibu na ikulu 😂😂😂🙌🙌🙌 af jiwe unajua sisi sio mazuzu aisee

Mkuu labda Wakati wote alikuwa anakula kiyoyozi hapo Magogon ,,Who know ..
 
Hawez kueleza chochote kuhusu watekaji forget it kama unategemea mo ajitokeze kuzungmzia utekaji wake just sleep
Yeah , ndiyo maana nikasema iwapo yeye mwenyewe hatasema, basi na iwe kimya

Nimemjibu msemajiukweli kwani sasa hivi watu wanataka kuaminisha maneno mengine kama wao ndio Mo. Kuna hadithi zinatungwa, hizo hazitaondoa utata hadi atakaposema mwenyewe

Jambo jema karudi salama, hilo ndilo muhimu
 
Wakati mwingine tuache kumsingizia Mungu.. eti Mungu mwema
Upuuzi wa bashite na kundi lake ndio tumuingize Mungu???
Mo anayo siri nzito sana mtoa taarifa anaongea kwa mashaka kwa kutetemeka maana anatambua ni uongo mtupu
Mambosasa ipo siku utatamani kumuita Mungu naye hatakuitikia. Ninyi watu mnawatesa sana WaTz
Ipo siku tena yaja upesi
 
Back
Top Bottom