Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mpuuzi sana na uvivu wako wako, imbecile walahi
Mtatukana sana lakini wananchi wanajua nani anaehusika na uharamia huu na iko siku mtalipa!! WHAT GOES AROUND COMES AROUND!!
 
Ujinga na aibu iliyopitiliza hii, kwa hili tukio mpaka mtoto mdogo anajua mhusika atakua nani.

Leo hamna na kuongea walahi
Puuuuurreessii confrrrreeenssiii LEEEEMMMMAAA. TIIIIIII AIBU ptuuuuu mate ya uso kwake walahi
 
Mambo now amenichanganya kidogo,,,,,,nimemsikia akisema watu walewale waliomteka ndio walienda kumtupa Gymkana wakitumia gari ileile. Hapa ni maswali kadhaa labda tusaidiane;
  1. Nani kawaona hawa watu kwamba ni walewale maana tuliambiwa tu ni wazungu lakini picha zao hazijawahi kuwekwa adharani!!!!! Na hao waliolipoti kwamba ni watu walewale walichukua hatua gani kuhusu hilo gari,,labda kulikimbiza au chochote ambacho kingesaidia watekaji kupatikana,,ukiacha tu kutuo ripoti kwamba wamemtupa Mo.
  2. Pili, najiuliza inawekana kweli watekaji wageni wakatumia gari lilelile amabalo tayari picha yake ipo mitaani,,,,hivyo polisi wa doria za usiku au wananchi wangeweza kulitambua kirahisi. Kama ni risk takers basi hawa ni extraordinaly risk takers.
  3. Mwisho, ni nani alimwokota Mo na kumpeleka nyumbani badala ya kituo cha polisi. Maana Mambo Now amemfuata Mo nyumbani baada ya kupata habari za kurejea kwake. Nilitegemea hili swala lingeanzia polisi and then hospitali kwa ajili ya kuthibitisha usalama na afya yake.....
Kwakuwa nipo kwenye mshtuko na furaha isiyo na kifani,,nimejikuta na maswali hayo matatu. Please tusaidiane jamani.
Mkuu na kushauri hifadhi akili yako kwenye mambo yako muhimu ya kujenga maisha yako na familia yako. Huu ni utoto, utani, ujinga na upumbavu unaendelea kwenye nchi hii.
 
Mi sikubaliani na mambo yake ila tuheshimu katiba ,akae aondoke
Katiba inazungumzia miaka mitano tuu, baada ya hapo kama kulikuwa na mambo ya kidwanza dwanzi kama haya mnapiga chini, fyekelea mbali sukuma kulee!
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuu inabidi tuulizie ni pafyum aina gan hyo tuinunue kabsa maana 'wazungu' hawajadakwa bado ili ikitokea chochote tuwe ready kujipulizia.
 
Kwaio wameona wahuni tukipata bilioni tutafaidi wameamua kumrudisha wenyewe au
 
Tunasubiri Press conference ya Godbless Lema aliyotuahidi leo saa nne ili Ben Saanane pia apatikane!

Lazima Lema amshinikize Kubenea akamlete Ben Saanane kwa sababu anajua alipo!
CCM poleni mmeonyesha udhaifu mkubwa sana kwenye tukio hili, press ya Lema haina maana tena kwa sababu ilikuwa purposely kwa ajili kujibu press ya jana ya Sirro.
 
Mchanga wa macho huu, lawama iko nji za nje.
Mungu anawaona lakini.
Ransom kalipa nani?
 
Vijana bangi mnavutiaga chooni au mtoni, kila kitu mnajua na ndio maana mmeishia kuwa mahohehahe maana mnahangaika na msiyoyajua wala kuw na ufaham nayo
Matusi ya nini? Bangi anavuta mama yako, full stop
 
Yaani kelele za Lema ziwe msingi wa kupatikana Dewji lakini kelele hizo hizo zisiweze kumleta Ben Saanane? You must be joking!

Nani mwenye uhusiano wa karibu kikazi na kimaisha kati ya Lema na Ben Saanene au Dewji?

Kumbuka Ben Saanane alikuwa mfanyakazi wa CHADEMA

Ulichofanya ni kutoa shukrani ambazo hazina hata ukweli kifikra!
bangi mbaya Sana .. punguza mkuu utakuja kupatwa na kichaa bure ... Ina maana hauijui impact ya mo kwenye jamii ni kubwa kiasi gani kuliko ben saa 8 .. !! !?
 
Back
Top Bottom