Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Hili soo halitaiacha nchi salama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comment zangu zitakupasua kichwa bora unipotezee tu.What is wrong with you today,boss?You,oftenly,seems to be of your senses.You okay,my boss?
Usishangae akaanza kutoa pongezi kwa ccm kufanikisha kuachiwa kwake. Kama ataleta ujinga baada ya kupiganiwa hivi na watu mbalimbali basi ni bora watu wasusie bidhaa zake kumuonyesha jinsi asivyo na shukraniUtaona tu maneno watakayokuja kusema!! Mpaka hutoamini, ukwel hauwezi ukasemwa zitakuja propaganda tu
Udhaifu ni sehemu ya maisha!CCM poleni mmeonyesha udhaifu mkubwa sana kwenye tukio hili, press ya Lema haina maana tena kwa sababu ilikuwa purposely kwa ajili kujibu press ya jana ya Sirro.
ExactlyNi kweli kabisa tunamshukuru Mwenye Mungu kwenje jambo hili, ila asipotuambua alikuwa wapi na tukio zima la kutekwa kwake lilikuaje watanzania hatuta mwelewa!
Wallah haliwezekani walahJiandae wewe kuanguka kwenye shimo la choo za nyumba za kupanga walahi
Imbecile
Hiyo pafume ikipatikana itaongeza pato la Taifa sana maana nitakuwa mteja maradufuMkuu inabidi tuulizie ni pafyum aina gan hyo tuinunue kabsa maana 'wazungu' hawajadakwa bado ili ikitokea chochote tuwe ready kujipulizia.
Nategemea uone hilo kama hulioni, we might be having quite differing levels of understanding! Jana Siro alijichanganya sana , mpaka na kipofu anaona kuwa Mo amefichwa na Siro.Kama Ni hivyo Lema si apige Press release nyingine kina Kubenea na Anthony Komu nao wamuachie Ben Sanane
Hakika mkuu,na tunategemea watekaji kupandishwa kizimbani fasterHongera sana Jeshi la polisi huu ni ushahidi mwingine wa weledi wenu wa hali ya juu
Duhh,,ahahahahahNa gari lilitumika kumtekea, limepatikana likiwa limebadilishwa namba...Mambosasa ndio ametoa habari hiyoView attachment 904288View attachment 904298
Nasema tena narudia, bila kelele za Mb. Mh. Lema, Mo Dewji asingelipatikana. Kelele za Lema zimesadia. Ile press ilikuwa na impact kubwa sana. Pia Zito alitweet kuwa Siro anajua alipo Mo. Press ya jana ya Siro na maswali yaliyoibuliwa na hotuba yake yameibua irresistible conclusion kuwa SIRO anajua alio Mo Dewji (by Zito Kabwe)
MIZEE YA MATUKIO KULENI UWEMBE WALAHISomeni komenti za ma ccm....
Guest starring Zirro kashindwa kumalizia muvi...
Mpyuuuuu....
hahaha ccm wanalitia aibu TAIFA . hakuna muwekezaji mwenye akili timamu atakaye jitoa kimaso maso ... kuja kuwekeza kwenye nchi yenye matukio ya kinyama kama hivi ... wawekezaji wengi huwa wanapenda nchi salama kwa uhai wao na rasilimali zao ....Sky hebu ulizia kama na Mo alijipulizia pafyum km yule Nondo wa Udsm?
Labda keshawapa trillion mbili!Mmmmmmmh baada lile dili la kushinikiza kupewa trilioni mbili kukwama wameona isiwe kesi acha walegeze tu hakuna namna maana hata watanzania walishaanza kushtukia mchezo.