Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

Yan mkuu Mungu akunyime vyote akupe hekima na maarifa,hii cinema yao hata mtoto wangu wa sdt one humdanganyi. Shida akili ndogo inatawala akili kubwa ndo maana kila siku wanaumbuka na utaahira wao!
Mtihani Sana chief "... kundi la watu wachache limeamua kuivuruga nchi kwa maslaji yao wenyewe ...

huu sasa ndio ufisadi Haswaa ... yaani huu ndio ufisadi uliokubuhu .. Aibu sana kwakweli ... matukio yao yakupikwa yanafanywa na mbinu haba Sana ambazo hazina weledi wakumshawishi mtu mwenye akili timamu kuweza kuuamini huu upuuzi wao Mbaya zaidi mastermind wa haya matukio amefoji cheti cha form 4 so wana tegemea nini kama sio kuumbuka katika hiyo michezo yao kwa sababu watekaji wanaongozwa na mtu ambaye ana low IQ..AMA KWELI AKILI NDOGO HAIWEZI KUITAWALA AKILI KUBWA
 
Cha msingi MO amerudi, mengine ni changamoto tu.
Tunavishukuru vyombo vya ulinzi na usalama kwa kuweza kupatikana kwa MO.
MO sasa azingatie ushauri alioutoa IGP.
Dunia imekuwa kijiji, Watanzania hawana shida, lakini kuna wageni hapa nchini.
Ni lazima atembee na walinzi wenye silaha.
Kama anaenda mahali ahakikishe kumekucha, na kuna watu na mazingira salama.
Inawezekana kutekwa kwake ni somo kwake, ajifunze sasa.
Aweke Jim ya mazoezi nyumbani.
Karibu Bosi wetu, endeleza mipango yako,
Watanzania wanakupenda sana, wamekulilia sana.
Jilinde sasa,
Nisalimie Shemeji.[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
yaani IGP kufanya press tu.kapatikana?
Jogeshwar prasap na ayodhya prasap.
 
MFANYABIASHARA MAARUFU MOHAMMED DEWJI APATIKANA AKIWA HAI

Amepatikana akiwa ametupwa kwenye viwanja vya Gymkhana

Baada ya kutekwa Gari ya watekaji iliendeshwa kwa kasi sana na kwenda kuwekwa kwenye chumba akiwa amefunikwa uso

Asema watekaji walikuwa wakiongea lugha inayoonekana kuwa ni ya Afrika Kusini

View attachment 904322
View attachment 904323


Mambosasa anasema Mo kathibitisha lafudhi ya "Watesi wake" in ya nchi za Kusini mwa Afrika. Ghafla amesahau kuwa aliutangazia ulimwengu kuwa Watesi hao walikuwa wazungu.
By the way, nani alimpigia simu Mambosasa, usiku wa manane, kuwa Mo kapatikana?
Kuna mtu bado ana mashaka kuwa Mambosasa alikuwa na mawasiliano na hao Watesi "wazungu" wanaoongea kwa lafudhi ya "Nchi za Kusini mwa Afrika?"
 
Hii inaonyesha familia wamelipa ransom!

Moja ya masharti ya ransom ni kutozungumza kuhusu tukio lote!

Kama atazungumza kuhusu yaliyomsibu mpaka akarudi basi hiyo itaonyesha kuwa hakulipa ransom na hakuna makubaliano.

Hoja iliyopo mbele yetu kwa sasa, Je, kama amelipa ransom, nini kwa sasa nafasi ya matajiri nchini kuhusiana na usalama wao kwa sababu kulipa ransom ni kufungua mlango wa biashara ya kidnapping and ransom nchini kwa matajiri.

Kosa la kulipa ransom baada ya kutekwa ambalo nchi za kusini mwa Afrika kama Afrika Kusini na Msumbiji walilianza kwa matajiri ndilo kwa sasa linazidi kuwatafuta kwa kasi zaidi.

Je, kuna uwezekano na Tanzania tukaelekea ambako nchi za kusini mwa Afrika ziliko kwenye biashara ya kidnapping and ransom?
Yani wewe ulivyo kiazi unaona pesa ni bora kuliko uhai hata ingekuw trillion 3
 
HONGERA SANA JESHI LA POLISI TANZANIA WALAHI
NURU YENU IENDELEE KUNG’ARA TANZANIA, AFRIKA NA DUNIA NZIMA WALAHI
YASIYO WEZEKANA KWA BINADAMU KWA MWENYE ENZI MUNGU YAWEZEKANA WALAHI
HONGERA JPM, HONGERA CCM CHAMA CHA MILELE WALAHI
with Almighty One speed walahi
 
Hahahaha ushamba wa jiwe utamcost siku moja

Cover story hapa itakuwa ni nini ? Maana hata mtoto mdogo anajua Mo alichukuliwa na kina nani .

Halafu watu wa aina hii ndio wakakae meza Moja na kina Prof Thontorn wa Barrick tutegemee kulipwa na Accasia matrilioni ??

Tutakesha tukisiburia hilo
Yani hata mtoto mdogo angetakiwa asimamie huu utekaji angecheza very smart than this shit.
 
Kwa jicho la tatu ni kama vile wamempa ‘promo’ kimtindo!
 
HONGERA SANA JESHI LA POLISI TANZANIA WALAHI
NURU YENU IENDELEE KUNG’ARA TANZANIA, AFRIKA NA DUNIA NZIMA WALAHI
YASIYO WEZEKANA KWA BINADAMU KWA MWENYE ENZI MUNGU YAWEZEKANA WALAHI
HONGERA JPM, HONGERA CCM CHAMA CHA MILELE WALAHI
with Almighty One speed walahi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Tanzania kuna kundi moja tu LA watekaji,halafu hii tabia ya kunyemelea matajiri sijui itaisha lini,?
 
Lema na Zitto mnawapa sifa za uongo. Ni watekaji wamekosa njia ya kumtorosha tu wakamrudisha baada ya Jeshi la polisi kubana kila njia ya kumtolea. Na baada ya kutoa picha ya gari wakafahamu tayari wako uchi wa mnyama. Lema hana issue. Ni mvuta bange kama wavuta bange wengine.
Kama in kweli watekaji wangelimuua
 
K
Mambosasa anasema Mo kathibitisha lafudhi ya "Watesi wake" in ya nchi za Kusini mwa Afrika. Ghafla amesahau kuwa aliutangazia ulimwengu kuwa Watesi hao walikuwa wazungu.
By the way, nani alimpigia simu Mambosasa, usiku wa manane, kuwa Mo kapatikana?
Kuna mtu bado ana mashaka kuwa Mambosasa alikuwa na mawasiliano na hao Watesi "wazungu" wanaoongea kwa lafudhi ya "Nchi za Kusini mwa Afrika?"
Kwani south hakun wazungu? Refer to Apartheid policy
 
Mambosasa anasema Mo kathibitisha lafudhi ya "Watesi wake" in ya nchi za Kusini mwa Afrika. Ghafla amesahau kuwa aliutangazia ulimwengu kuwa Watesi hao walikuwa wazungu.
By the way, nani alimpigia simu Mambosasa, usiku wa manane, kuwa Mo kapatikana?
Kuna mtu bado ana mashaka kuwa Mambosasa alikuwa na mawasiliano na hao Watesi "wazungu" wanaoongea kwa lafudhi ya "Nchi za Kusini mwa Afrika?"

RUDI SHULE USOME TENA HISTORY YA SA, nincompoop walahi
 
Sirro ndio kawatisha kuwaonyesha wapo kwa mstari na wamejua yao..

Hongera kwa jeshi la Polisi
Jana Sirro alikuwa shujaaa na kawaonyesha ni moto moto na wametikisika haswaaa na kumuachia.
 
Back
Top Bottom