MAKOSHNELI
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 932
- 1,569
Tamthilia ijayo mwenyekiti wa kile chama na zzk lazima watashirikishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajianike mara ngapi?Waswahili husema ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka, Huenda wasiojulikana wako mbioni kujianika
Hawa watekaji ni wataalam sana kiasi cha kwamba wana liquid flan hivi ukiimwagia kwa gari inakua InvisibleVijana wa Sirro walikuwa wametanda kila kona ya dar wakimsaka MO....Leo gari aina ya surf imepita na kwenda kumtupa bila vijana kuliona...hili gari liliwekwa mfukoni kama pipi au???
Hapo aidha unamtafutia kutekwa tena au ndo episode inayofuata ya kamanda ziro kuwa alijiteka?Ni kweli kabisa tunamshukuru Mwenye Mungu kwenje jambo hili, ila asipotuambua alikuwa wapi na tukio zima la kutekwa kwake lilikuaje watanzania hatuta mwelewa!
Kuwa na subira ni muhimu, Ila subira ya roma,ulimboka. lisu kwa kweli unachosha sana Subra ina kikomo chake
MFANYABIASHARA MAARUFU MOHAMMED DEWJI APATIKANA AKIWA HAI
Amepatikana akiwa ametelekezwa kwenye viwanja vya Gymkhana
Baada ya kutekwa, Gari la watekaji liliendeshwa kwa kasi sana na kwenda kuwekwa kwenye chumba akiwa amefunikwa uso
Inasemakana watekaji walikuwa wakiongea lugha inayoonekana kuwa ni ya Afrika Kusini
View attachment 904322
View attachment 904323
Mbona washalamba tayari? We unadhani kaja bure tuMungu ni mwema kwa wote,,
Wale mlio kuwa mnaiwinda billion moja poleni
Unataka majibu ya Mo yanini?? Yeye mwenyewe kaandaliwa script yake na lazima aisomeekwa mtazamo wangu swala hili litaisha kama la Roma mkatoliki. mo mwenyewe atakavyotoa majibu mtashangaa. subirini..
Hivi kulikua na haja gani ya kumshukuru Raisi wakati hajafanya kitu chochote kile wala hata kuonesha kukerwa hata kuifairji familia yake yani hata jeshi la polisi ila ukiangalia video jamaa anaonekana hakua comfortable kabisa
Tulia unaonekana unachemka sana.Unavishukuru vyombo vya ulinzi na usalama kwa kumpata Mo saa tisa usiku nyumbani kwake?
Hivyo vyombo vya ulinzi na usalama unavyovishukuru vimefanya operesheni gani iliyomrudisha Mo?
Au sijakuelewa? Una maana unavishukuru hivyo vyombo vya ulinzi na usalama kwa kumchukua na kumrudisha salama?
mwerevi tu ndio atajuaKitendo cha huyu jamaa(MO) Kutumia neno 'Nashukuru mamlaka husika na Polisi kuhakikisha NARUDI salama' Na sio 'NAPATIKANA salama' n ujumbe mkubwa sana kwa anayeelewa tofauti ya neno 'KURUDI na KUPATIKANA'
Allah ndie mlinzi wa wote!Anayekulinda wewe na mali yako hata ukaweza kila mara kuandika humu JF ni nani? Au anayewalinda hao Mabwana zako, ambao kila kukicha hukimbilia kwenye vyombo vya habari kuilaumu Serikali, kama hufanyavyo humu JF, wakiwa huru na salama, ni nani?
Hayo ndiyo masharti ya ransom.wakati mwingne watu kama hawa wakitekwa ni bora mkakaa kimya tu. maana hata mkipiga kelele vip, wakirudi hawasemi ukweli.