Serikali ni mwajiriwa wa wananchi ukibisha na hilo utakuwa umeshinda.Serikali inasimamia sera ya ccm..kwa hiyo serikali ni muajiriwa wa ccm..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ni mwajiriwa wa wananchi ukibisha na hilo utakuwa umeshinda.Serikali inasimamia sera ya ccm..kwa hiyo serikali ni muajiriwa wa ccm..
Mimi sina uenyeji na jiji la joto ebu nijulisheni hapo MO alipotupwa ni mbali na mjini au ni nje kidogo kama ni mjini means hawa watekaji wanazurura tu mjini daslaam mjini bila tatizo
ukisikiliza Kwa makini mambo sasa utagundua anatumia nguvu kubwa kuaminisha watanzania kuwa Mo walitekwa Na watu wasio kuwa Na utaifa wa Tanzania .mwanzo walisema wazungu Ila sasa wanasema ni watu wa South Africa tena wanaongea mather language. wanakazana kusema tunamshukulu MH RAISI.
Zitto kabwe Na watanzania wengi wapo sahihi wakisema kuwa wausika walijulikana mapema
Mkuu hili jambo ndio limefika kikomo hivyo, tusitarajie kingine tena hata kama tutahoji kiasi ganiUchunguzi uanzie hapa
Ngoja nicheke kwanza mkuuNdugu yangu Mayala,
Tafadhali sema taratibu kwa sababu hizi pongezi zako zikisomwa vizuri nadhani wakikupata hata wakikuhurumia sana watakutelekeza visiwa vya Fiji kule bara la Asia.
Acha ufala dogo, Chadema wamehusikaje...ukienda Mombasa gasho kama wewe unapakatwa mpaka unaelewa!Chadema wamechukizwa mno na kupatikana kwa Mo maana kiki yao imebuna.
Shida na Matatizo yanayoipata Tanzania ndiyo ufahari wa Chadema!
Hilo ni wazo lako. Lakini mimi bado nasubiri MO atulize akili na atoe kilichomsibu. Nitasikiliza kutoka kwake kwani tukio kama hili akidanganya atakuwa anajidanganya mwenyewe. Ila nachojua kwa sasa yeye ameishukuru serikali mnayoituhumu ninyi.Hilo ni agizo la Bashite.
Wameogopa civil disobedience, dalili zilishaanza kujitokezaNasema tena narudia, bila kelele za Mb. Mh. Lema, Mo Dewji asingelipatikana. Kelele za Lema zimesadia. Ile press ilikuwa na impact kubwa sana. Pia Zito alitweet kuwa Siro anajua alipo Mo. Press ya jana ya Siro na maswali yaliyoibuliwa na hotuba yake yameibua irresistible conclusion kuwa SIRO anajua alio Mo Dewji (by Zito Kabwe)
Ukiangalia sana utaona hiyo body language ina someka M4C! Hasa upande wa kulia.MO is intelligent, ametumia body language kutufikishia ujumbe, hakuna mashaka tena juu ya kina nani walomteka(walimuhifadhi).
Ubongo uliosinyaa.PoleDah.. Aisee yani wewe kila kitu ni kufagilia upinzani! Unatia kinyaa..
Kama unafikiri selikali ndio inahusika na imewaogopa hao wapinzani, mbona Ben bado hajarudi na kila siku mnapiga makelele?
Wewe kweli mkundu wa kenge.Chadema wamechukizwa mno na kupatikana kwa Mo maana kiki yao imebuna.
Shida na Matatizo yanayoipata Tanzania ndiyo ufahari wa Chadema!
G LEMA njoo na press ya Ben Saanane sasa