The Tomorrow People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 2,675
- 2,807
Unatekwa Masaki unaachiliwa posta....ukiwa na hela raha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa SCRIPT IKAE VEMAMaana nimeona kuna maswali hapa nimelala alafu nikaamka,
Kwanini familia imekimbilia kujitetea kwenye maelezo kwamba tumepigiwa simu tukamfuata, ila jamani tumefanya kosa hatujaenda na polisi,
Tunaweza kuwapata walinzi waliompa simu au.namba zao tukahakikisha kwamba ni kweli? Au angalau wahojiwe basi,
Maana hisia hizo zinapelekea tuamini amerudishwa na.polisi kwao,
Na kuambiwa waseme yafatayo
Plz Sirro na Mombasasa msichukie maana maswali tunavyouliza tunawapa nafasi ya kurekebisha maelezo yenu,
Script ikae vema
Scripts zilikuwa hovyo tokea mwanzo wa muvi.Maana nimeona kuna maswali hapa nimelala alafu nikaamka,
Kwanini familia imekimbilia kujitetea kwenye maelezo kwamba tumepigiwa simu tukamfuata, ila jamani tumefanya kosa hatujaenda na polisi,
Tunaweza kuwapata walinzi waliompa simu au.namba zao tukahakikisha kwamba ni kweli? Au angalau wahojiwe basi,
Maana hisia hizo zinapelekea tuamini amerudishwa na.polisi kwao,
Na kuambiwa waseme yafatayo
Plz Sirro na Mombasasa msichukie maana maswali tunavyouliza tunawapa nafasi ya kurekebisha maelezo yenu,
Script ikae vema
Hawajasaidia kupatikana kwake, bali watekaji wamemrejesha wenyewe .sasa utajuaje kama walinzi walipewa marlekezo na polisi?
La msingi MO amelishukuru Jeshi la polisi
hawajasaidia kivipi?Hawajasaidia kupatikana kwake, bali watekaji wamemrejesha wenyewe .
Kwa nini siku hizi ni lazima kusifiwa?!
Aliyemchukua hapo na kumpeleka nyumbani kwake ndiye atachukua bilioni 1
HahahaLingine hata kama kapatikana akiwa mzima kwa nini wasingempeleka kwa nza hospital angalau kupumzishwa tuu ata na drip la maji ya glucose au kupimwa hata malaria mana siku zote hizo huwezi jua usalama wa aliko lala
Kabisaimefika wakati sasa wa watz tuwe na fikra huru zisizoathiriwa na misimamo ya vyama
CCTV zote za kuingia gymkana zinawezajibu swali lako. Lzm GARI ilionekana ikipita,na jinsi hao watekaji walokole walivofaulu kutorokaMaana nimeona kuna maswali hapa nimelala alafu nikaamka,
Kwanini familia imekimbilia kujitetea kwenye maelezo kwamba tumepigiwa simu tukamfuata, ila jamani tumefanya kosa hatujaenda na polisi,
Tunaweza kuwapata walinzi waliompa simu au.namba zao tukahakikisha kwamba ni kweli? Au angalau wahojiwe basi,
Maana hisia hizo zinapelekea tuamini amerudishwa na.polisi kwao,
Na kuambiwa waseme yafatayo
Plz Sirro na Mombasasa msichukie maana maswali tunavyouliza tunawapa nafasi ya kurekebisha maelezo yenu,
Script ikae vema
Lingine hata kama kapatikana akiwa mzima kwa nini wasingempeleka kwa nza hospital angalau kupumzishwa tuu ata na drip la maji ya glucose au kupimwa hata malaria mana siku zote hizo huwezi jua usalama wa aliko lala
Mode sio nia yangu kuingilia kazi yenu. Like threads ndizo zinaunganishwa, msingi wa kuunganisha, ni maudhui yanayofanana, bandiko hili ni kupatikana kwa MO Dewji,Wanabodi,
Hii ni thread ya swali, nikipendekeza kwa kuuliza, maana siku hizi, ukiuliza kitu,, watu hawaonagi alama za kuuliza, wakadhani nimetoa statement.
Baada ya Mo kupatikana, baada ya juhudi kubwa sana za jeshi letu la polisi, baada ya ile ahadi ya motivation iliyopelekea hadi IGP kufanya press conference ya jana, hii imethibitisha kuwa kumbe Jeshi letu la polisi, linaweza, wala hatuhitaji wachunguzi wa nje. Jeshi letu la polisi sasa ndio linauwezo, au kama lilikuwa nao siku zote, then, likiamua, linaweza, ukijumlisha na ile ahadi ya motivation ya familia, bali limeweza kwa sababu, sasa ndio limeonyesha uwezo huo kwa kufanikisha Mo kupatikana akiwa mzima, salama uu salmini na bukheri wa Afya.
Sasa kwa vile familia tayari iliishatenga shilingi billion moja kwa atayefanikisha kupatikana kwa Mo, na waliofanikisha ni IGP Kamanda Sirro, na vijana wake, kwa ile Press Conference muhimu ya jana. Mimi Napendekeza hizo pesa apewe Kamanda Sirro na vijana wake, ili zitumike kuboresha jeshi letu la polisi nchini kwa kulijengea uwezo kuzuia matukio ya utekaji, kwa kuwa motivate, siku zote, mtu yoyote akitekwa au kushambuliwa na wasiojulikana, juhudi kama hizi za kumsaka MO, ikiwemo kuitisha press conference, zifanyike. Tena laiti kama tungelijua kabla namna ya kuwa motivate polisi wetu watimize wajibu wao, usikute hata Ben Saanane alipotoweka, tungejichanga tukatangaza dau, angepatikana,
Aliposhambuliwa Lissu, tungejichanga tukatangaza dau, wasiojulikana wale, wangepatikana, na alipopotea Azori Gwanda, sisi media tungejichanga tukatangaza dau, angepatikana, huwezi jua!, Bilioni moja jameni sii mchezo!.
Zamani tulizoea ahadi za motivation ni kwenye kutafutia kura tuu, lakini sasa, hata katika kutimiza wajibu!, tena naombeni msinielewe vibaya kwa hii hoja ya motivation, kwa the difference between Mo, Ben Saanane na Azori Gwanda ni status tuu, Mo ana motivational status iliyopelekea kuhangaikiwa kulikopelekea kupatikana.
Mungu Mkubwa, Pesa ndio kila kitu!, Mkono Mtupu Haulambwi!. Masikini Ben Saanane, masikini Azori Gwanda
Jumamosi Njema
P.
KivipiYaani, mambo yarihharibika tangu mwanzo tuu