Mohamed Mokhbar ateuliwa kaimu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

Mohamed Mokhbar ateuliwa kaimu Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

Iran Rais ni mtekelezaji tu wa maamuzi. Kiongozi mkuu Ayatollah ndio mwisho wa maamuzi. Kwahiyo msijipe matumaini sana kwamba sasa mambo yatapoa huko Gaza. Moto ni uleule
Akileta za kuleta naye anapelekewa moto hata huyo Ayatollah naye ajiangalie sana,ule mziki waliotaka kuushusha kwenye ardhi ya Israel na kuigeuza kuwa majivu hauwezi kuwaacha salama.
 
Akileta za kuleta naye anapelekewa moto hata huyo Ayatollah naye ajiangalie sana,ule mziki waliotaka kuushusha kwenye ardhi ya Israel na kuigeuza kuwa majivu hauwezi kuwaacha salama.
Nyie wacheni ujinga kama sio Amri ya Mungu ilifika ndio iwe ajali yao, basi huyu Rais wa Iran hakuliwa na America wala Israel huyu kauliwa na mtoto wa Khomen ili achukue nafasi ya baba yake, sababu huyo Rais Ibrahim, Khomen ndio alikuwa anamtaka awe mrithi wake.

Tazameni kwanini Iran wamezua uongo mara Rais katoka salama, mara sijui ndege hainekani sa zile Helicopter mbili zilikuwa zina mfata Rais kwanini zisi simame zikaendelea na safari?

Iran ana technology kwanini ababaishe aombe ndege ya Turkey ije iwasaidie, na kabla ya hapo drone ya Iran ilisha iona ndege ikakiri wameiona, mara wakageuza habari kuwa hawajaiona.

Iran walipo fika kwenye ndege wakasema hawakukuta mwili wa mtu yoyote pale kwenye ndege, mara wakaleta habari wamewakuta wamekufa?

Mimi naona kauliwa na wafuasi wa mtoto wa Khomen tu ili yeye awe Ayatollah bada ya baba yake.
 
Sababu ya hali ya hewa inayotolewa na vyombo vya habari kama ndio ilisababisha kutokea kwa ajali ya chopa sikubaliani nayo.

Hiyo hali mbaya ya hewa ilibadilika ghafla kiasi gani mpaka kusababisha ajali itokee? kwamba wakati safari inaanza hali ya hewa haikuwa mbaya?

Nijuavyo, ukungu huwepo muda mrefu angani, maeneo mengi yenye hali ya hewa ya baridi hili huonekana hasa asubuhi na jioni, sio kama wingu la mvua linaweza kutokea sasa na kuyeyuka baada ya muda mfupi.
Taja sababu unayohisi ni sahihi
 
Sababu ya hali ya hewa inayotolewa na vyombo vya habari kama ndio ilisababisha kutokea kwa ajali ya chopa sikubaliani nayo.

Hiyo hali mbaya ya hewa ilibadilika ghafla kiasi gani mpaka kusababisha ajali itokee? kwamba wakati safari inaanza hali ya hewa haikuwa mbaya?

Nijuavyo, ukungu huwepo muda mrefu angani, maeneo mengi yenye hali ya hewa ya baridi hili huonekana hasa asubuhi na jioni, sio kama wingu la mvua linaweza kutokea sasa na kuyeyuka baada ya muda mfupi.
Kuna sababu nyingi mno za utatanishi kiasi tunaweza kusema labda wa irani hawakuwa na haja nae tena!
 
Nyie wacheni ujinga kama sio Amri ya Mungu ilifika ndio iwe ajali yao, basi huyu Rais wa Iran hakuliwa na America wala Israel huyu kauliwa na mtoto wa Khomen ili achukue nafasi ya baba yake, sababu huyo Rais Ibrahim, Khomen ndio alikuwa anamtaka awe mrithi wake.

Tazameni kwanini Iran wamezua uongo mara Rais katoka salama, mara sijui ndege hainekani sa zile Helicopter mbili zilikuwa zina mfata Rais kwanini zisi simame zikaendelea na safari?

Iran ana technology kwanini ababaishe aombe ndege ya Turkey ije iwasaidie, na kabla ya hapo drone ya Iran ilisha iona ndege ikakiri wameiona, mara wakageuza habari kuwa hawajaiona.

Iran walipo fika kwenye ndege wakasema hawakukuta mwili wa mtu yoyote pale kwenye ndege, mara wakaleta habari wamewakuta wamekufa?

Mimi naona kauliwa na wafuasi wa mtoto wa Khomen tu ili yeye awe Ayatollah bada ya baba yake.
Hiyo theory yako inaweza kuwa sahihi au kosa,sasa kumuona mwenye theory tofauti na kwako ni mjinga huo ni upumbavu.
 

Who is Mohammad Mokhber, Iran's interim president?
By Reuters
May 20, 202412:19 PM GMT+3Updated an hour ago

Here are some key facts about Mohammad Mokhber, 68, Iran's first vice president who became interim president following the death of Ebrahim Raisi in a helicopter crash.
  • As interim president, Mokhber is part of a three-person council, along with the speaker of parliament and the head of the judiciary, that will organise a new presidential election within 50 days of the president's death.
  • Born on Sept. 1, 1955, Mokhber, like Raisi, is seen as close to Supreme Leader Ali Khamenei, who has the last say in all matters of state. Mokhber became first vice president in 2021 when Raisi was elected president.
  • Mokhber was part of a team of Iranian officials who visited Moscow in October and agreed to supply surface-to-surface missiles and more drones to Russia's military, sources told Reuters at the time. The team also included two senior officials from Iran's Revolutionary Guards and an official from the Supreme National Security Council.
  • Mokhber had previously been head of Setad, an investment fund linked to the supreme leader.
Advertisement · Scroll to continue
  • In 2010, the European Union included Mokhber on a list of individuals and entities it was sanctioning for alleged involvement in "nuclear or ballistic missile activities". Two years later, it removed him from the list.
  • In 2013, the U.S. Treasury Department added Setad and 37 companies it oversaw to a list of sanctioned entities.
  • Setad, whose full name is Setad Ejraiye Farmane Hazrate Emam, or the Headquarters for Executing the Order of the Imam, was set up under an order issued by the founder of the Islamic Republic, Khamenei's predecessor, Ayatollah Ruhollah Khomeini. It ordered aides to sell and manage properties supposedly abandoned in the chaotic years after the 1979 Islamic Revolution and channel the bulk of the proceeds to charity.
asipande chopa. akaishi kwenye handaki kama ayatola. ushauri tu.
 
Akileta za kuleta naye anapelekewa moto hata huyo Ayatollah naye ajiangalie sana,ule mziki waliotaka kuushusha kwenye ardhi ya Israel na kuigeuza kuwa majivu hauwezi kuwaacha salama.
Mnasahau mapema sana kile kipigo israeli ikalindwa na mataifa kumi na bado wakatandikwa bado tu hamjasahau eeh.
 
Back
Top Bottom