Mohamed Mwameja: Siwezi kumsamehe Muhidin Ndolanga

Mohamed Mwameja: Siwezi kumsamehe Muhidin Ndolanga

A classic one sided story. Na ni somo zito juu ya kutovunja madaraja ukishayavuka.

Kadhulumiwa dola 6,000/= , sawa kama ni kweli, katukanana nao.

Katafuta njia mbadala kaondoka. Kafika mbele kakuta anahitaji watu hao hao wamchongee vyeti ambavyo hana!

Leo analaumu wamemharibia maisha yake wakati yeye mwenyewe ndio alikuwa hana vyeti!
You are quite right mkuu, this is one sided story. Na wala haipo hivyo kwa ninavyoelewa. Mchawi wa Mwameja kwenye hiyo deal alikua ni Kasim Dewji aliyetaka kumzunguuka Jomo Sono ambaye ndio angekua wakala wake. Kasim alimdanganya Mwameja waachane na connections za Sono na wakaenda wao wenyewe Readings ili Kassim apige pesa. Readings wakafanya mawasialiano na Jomo Sono ambaye alishangaa imekuaje huyo mchezaji kaenda huko bila kumtaarifu na akajiondoa kumdhamini

Wazungu ni watu wa kufata protocol hasa za reference. Jomo Sono alivojitoa nao wakaacha kumpa mkataba Mwameja na kupelekea yeye kukaa Uingereza akifanya shughuli zisizohusiana na soka.Ka simu Dewji akajirudia zake kimyakimya. Hivyo vikwazo anavyodai aliwekewa na Rage na Ndolanga ni kweli lakini lakini havikua sababu ya yeye kukwamishwa bali deal ilikua imeshaharibiwa na Kasim Dewji kwa ujuaji wake.

Pia Mwameja anaposema hatamsamehe Ndolanga anakosea sana. Mbona yeye wanachama, mashabiki wa Simba na Watanzania kwa ujumla walishamsamehe kwa dhambi yao ya kuuza mechi ya fainali ya Kombe la Washindi Barani Afrika kati yao na Stella Abidjan? Au anadhani tumesahau?
 
Lazima uumie roho ndugu yangu mwameja maana ukiwacheki akina kaseja wanadaka kibongo bongo wanatembelea athlete wewe hats passo huna lzm uumie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia Ndolanga alimpiga makofi waziri, je ni waziri nani?
 
You are quite right mkuu, this is one sided story. Na wala haipo hivyo kwa ninavyoelewa. Mchawi wa Mwameja kwenye hiyo deal alikua ni Kasim Dewji aliyetaka kumzunguuka Jomo Sono ambaye ndio angekua wakala wake. Kasim alimdanganya Mwameja waachane na connections za Sono na wakaenda wao wenyewe Readings ili Kassim apige pesa. Readings wakafanya mawasialiano na Jomo Sono ambaye alishangaa imekuaje huyo mchezaji kaenda huko bila kumtaarifu na akajiondoa kumdhamini

Wazungu ni watu wa kufata protocol hasa za reference. Jomo Sono alivojitoa nao wakaacha kumpa mkataba Mwameja na kupelekea yeye kukaa Uingereza akifanya shughuli zisizohusiana na soka.Ka simu Dewji akajirudia zake kimyakimya. Hivyo vikwazo anavyodai aliwekewa na Rage na Ndolanga ni kweli lakini lakini havikua sababu ya yeye kukwamishwa bali deal ilikua imeshaharibiwa na Kasim Dewji kwa ujuaji wake.

Pia Mwameja anaposema hatamsamehe Ndolanga anakosea sana. Mbona yeye wanachama, mashabiki wa Simba na Watanzania kwa ujumla walishamsamehe kwa dhambi yao ya kuuza mechi ya fainali ya Kombe la Washindi Barani Afrika kati yao na Stella Abidjan? Au anadhani tumesahau?
Kuhusu mechi ya Stella anatoa lawama zake Kwa Serikali anasema siku moja kabla ya mechi wachezaji hawakupata muda wa kupumzika. Walikuwa wanapelekwa kwenye visomo na maombi na Hilo Tu la visomo na maombi lilichukua karibu masaa kumi. Ilikua wakipumzika kambini kidogo viongozi wanakuja na kuwataka kwenda kufanyiwa kisomo sehemu Fulani wakirudi hawajakaa Sawa wanatakiwa kwenda kwenye maombi, hawakupumzika vizuri ndio maana Ile mechi walipoteza
 
Kuhusu mechi ya Stella anatoa lawama zake Kwa Serikali anasema siku moja kabla ya mechi wachezaji hawakupata muda wa kupumzika. Walikuwa wanapelekwa kwenye visomo na maombi na Hilo Tu la visomo na maombi lilichukua karibu masaa kumi. Ilikua wakipumzika kambini kidogo viongozi wanakuja na kuwataka kwenda kufanyiwa kisomo sehemu Fulani wakirudi hawajakaa Sawa wanatakiwa kwenda kwenye maombi, hawakupumzika vizuri ndio maana Ile mechi walipoteza
Mkuu LIKUD, Mwameja hawezi kusema hilo jambo. Ukweli ni kwamba Azim Dewji alihujumu ile mechi na kufanya wachezaji akiwemo Mwameja wacheze chini ya kiwango.

Kuna kipindi marehemu Ramadhani Lenny Maufi alikwenda nyumbani kwa Azim kudai pesa zake na akatishia kua kama angeendelea kuzunguushwa basi angeelezea umma kilichotokea kwenye mechi ile. Lenny hakuwahi kusema kwasababu aliitwa na kulipwa chake. Hawa kina Dewji wamechezea sana hisia za wanamsimbazi kwa muda mrefu tu
 
Mkuu LIKUD, Mwameja hawezi kusema hilo jambo. Ukweli ni kwamba Azim Dewji alihujumu ile mechi na kufanya wachezaji akiwemo Mwameja wacheze chini ya kiwango.

Kuna kipindi marehemu Ramadhani Lenny Maufi alikwenda nyumbani kwa Azim kudai pesa zake na akatishia kua kama angeendelea kuzunguushwa basi angeelezea umma kilichotokea kwenye mechi ile. Lenny hakuwahi kusema kwasababu aliitwa na kulipwa chake. Hawa kina Dewji wamechezea sana hisia za wanamsimbazi kwa muda mrefu tu
Ndio maana Mwameja Simba hamtaki kumpa.hata ajira ya kufundisha makipa?
 
ungekuta kuna watanzania wengi kweli huko kwenye ligi hiyo,lakini ndo kwanza leo tumeingia sokoni na Mbwana,ni changamoto haswa sijui nani alituloga.
 
Uhalisia wetu unaonekana tu jinsi muda mwingi baadhi ya wakosoaji wengi wanavyopiga vita Mfano kwa Samatta na Msuva.

Ni bahati na nyakati tu zinavyokimbia ni vijana wanaamua kujipigania Binafsi.

Sio kwenye Michezo tu, hata kwenye Ma Kazini huko miaka ya Nyuma kulitisha sana.
 
Duh! Pole sana Mwameja,

Nakumbuka wakati huo Mzee Ndolanga alivyojiapiza waziwazi kuwa Mwameja hatakaa adakie timu ya taifa tena yeye akiwa FAT enzi hizo!

Ndolanga aliendesha mpira wetu kama kilabu cha pombe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwameja alikuwa na bifu na ndolanga kitambo

Mwanzoni mwa miaka ya 2000 aliwahi kumdhalilisha Ndolanga hadharan mbele ya Rais Aman Abied Karume kwa kukataa kuongoz Simba kupokea Kombe la Africa Mashariiki mpaka Ndolanga atoke Meza kuu na hatimae akatolewa wakat akiwa ndio Mwenykt wa FAT kutokana na Mgogoro baina yao ulioibuka baada ya Tz kupigwa 2 kwa moja na Congo kwa uzembe wa Mwameja

Ndolanga nae alilipa kisasi kwa utovu wa Nidham wa Mwameja japo haikuwa sahihi lakin nae kama binadam alitafuta kona ya kulipa kisasi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndolanga alikuwa anapambana na mfumo dola wa kutaka kugeuza Mpira kuwa Ngazi za Wanasiasa kujipa umaarufu enzi za kina Kapuya
Duh! Pole sana Mwameja,

Nakumbuka wakati huo Mzee Ndolanga alivyojiapiza waziwazi kuwa Mwameja hatakaa adakie timu ya taifa tena yeye akiwa FAT enzi hizo!

Ndolanga aliendesha mpira wetu kama kilabu cha pombe!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom