Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Ni kisa kizr kujifunza lakini kimeniboa ulipoingiza utetezi wako wa kidini,,
Vatican na Tehran kwa kipindi hicho cha 2007 wapi kuliongoza kwa mihadarati,,

Nyie watu kwann badala ya kusimamia kwenye KWELI yenu ili mpate HAKI yenu mnakimbilia kulilia udini wenu,,
Si kosa lenu nasikia Kitabu chenu eti tangia mwanzo wa Aya hadi mwisho wake hakuna neno,, KWELI,, bali mna HAKI tu.
Wew umekamatwa kwa kuhisiwa tu ,, na ktk nafsi yako una hakika na KWELI yako kwamba ktk mizigo yko yote huna mihadarati hata kidogo,,

Sasa kwann usisimamie ktk KWELI yko badala yke unajitetea kwa kusema Vatcani kuna Wakristo wengi kuliko hapo Airpot,,

Huu ni utetezi wa kishamba na kutojiamini ktk Imani yako,, maana Huamini ktk KWELI ,, muda wote roho yko imejaa kutojimini ktk KWELI,,
 

= halikadhalika

Wapi Yesu amesema kuweni Wakristo?

Fungua uzi tuwekane sawa kuhusu Uislam na Ukristo, hapa si mahala pake.
 
Mkuu athari mojawapo ya dini ni kuwafanya very smart people very dumb...

Huwezi kuamini mtu smart sana kama Mzee Mohamed dini imempofusha ufahamu kabisa...inatia huruma sana!

Sasa wewe kinakuuma nini?
 
Bihampupile,
Nakushauri usome mwanzo hadi mwisho wa kisa hicho khasa nini
kilitokea pale Chuo Kikuu Cha Ibadan.
 
Broo.. kama umesoma freshi masuhala ya udini yapo pembeni ila ukikurupuka utaona ni udini.. kila nafsi hujitetea yenyewe kutokana na mkasa inayokutana naoo.. hii ni hadithi fupi ya maisha yake na fikra zake alizieleza kwa wahusika pale paleee
 
Kwa waungwana wa mwambao mtu mwenye heshima yake haitwi 'we' na hivyo ndivyo tulivyofundishwa tangu tukiwa wadogo.
 
Basi amani itawale mkuu.

Nitamfuatilia kiundani zaidi mtu huyo
 
Bihampupile,
Nakushauri usome mwanzo hadi mwisho wa kisa hicho khasa nini
kilitokea pale Chuo Kikuu Cha Ibadan.
Yaaani story yko ndg ni nzr na inamafundisho mzr umeharibu ktk kujitetea kwako,,

Hukupaswa kuchanganya Udini ktk Utetezi wko,, bali ulipaswa kusimamia ktk KWELI yako tu kwamba nina hakika kwamba sijameza mihadarati na hata mizigo yko pia ni KWELI tupu haina mihadarati,,

Vatcan hapo yann ktk Utetezi wako?
 
Bihampupile,
Soma vyema.

Hapajakuwapo na chochote cha mie kujijitetea.
Nijitetee kwani nilikuwa nimeshtakiwa kwa kosa gani?

Lilikuwa swali la kweli wa hoja yangu na mantiki.
 

Maelezo haya unayatoa mwenyewe, kwamba vijana walikuwa wamekukamata kwa kuhisia kuwa wewe ni zungu la unga.
Lakini bado wewe mwenyewe katika simulizi zako unataka kuwaaminisha "your unsuspecting followers" kwamba ulikamatwa kwa sababu ya dini yako.
Hii si kutaka kufitinisha umma kweli?
 
Nanren,
Unakumbuka siku nilipokuhadithia historia ya babu yangu Salum Abdallah?

Nilikuambia uwe unafanya utafiti kabla ya kuandika.

Katika mkasa huu nakushauri urejee kukisoma kisa.

Walinikamata walinifahamisha, baada ya uchunguzi na kuridhika kuwa nauza unga.

Rudi kisome kisa upya.
 
Ni kweli shehe wakati mwingine waweza kamatwa either Kwa kukufananisha inatokea hivo na wajiridhishapo sio huwa wanakuachia,km ulivoachiwa na kuombwa radhi,pia elewa we ni Mtanzania huwezi tendea jambo kwa uso hatia nalo.Labda hoja yako kuu ni ipi, kushikiliwa sababu u muislam? wasio waislamu pia ushikiliwa rejea kumbukumbu zingine,Pia uthibitisho wa kujua sio waislamu zaid km ungeomba wakuonyeshe vitambulisho vyao usadiki majina yao, pia sidhani km ni njia nyepesi kuwatambua waislamu wote kwa Lafudhi zao kumbuka kuna wa mwambao na wa bara lafudhi haziwezi fanana.
Pia huyo Khomeini,wakina Shah nk wadhamini wao wakuu ni America, rejea habari za uchunguzi za historia ya taifa la Irani na mapinduzi yake na pia km muimili mkuu kwa ustawi wa America na jinsi ya kuitawala middle east.
 
Kenstar,
Inawezekana hujakielewa kisa.
 
Seikh Mohamed Said waama ni kisa cha aina yake..
 
kupewa kesi za kupandikizwa n kawaida sana hapa tz ila usihisishe kabisa na maswala ya kidini

tz hamana hayo mambo ya uislam au ukristo ndio kwanza nnasikia kwako
labda nchi kama marekani hayo mambo ndio yapo

usijaribu kupandikiza chuki za kidini kwa watu vita yake mbaya kuliko baa la njaa

narudia tena usipandikize chuki za kidini kwa watu ni mbaya kulikonunavyofikiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…