Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
-
- #521
Chuakachara,Wewe msukununu, jenga uislamu achana na ukatoliki.
Haya mambo mnayoyajadili yako very sensitive katika jamii zetu, hasa kwa context ya majadiliano yenu. Mnajenga ufa kati ya dini hizi mbili.... nimesoma story yako kuwa kama angalikuwa mkristo anatoka Vatican........Chuakachara,
Hiki ni kitabu kimechapwa mwaka wa 1992 na kimeuzwa madukani.
Kunitukana mimi ni kunionea mimi nimemjibu mtu kwa kumweleza
ukweli na kumpa rejea hiyo.
Sikua na ni ya kukughadhibisha ndugu yangu na zipo rejea nyingine
nzito kuliko hiyo ya Sivalon (1992).
Ipo nyingine ya P van Bergen (1981).
Rejea zote hizi kwa kweli zinatisha na kwa sasa huwezi kuzipata hapa
nchini.
Sherrif,Msimamo au mtazamo wa Nyerere kuhusu uislam ulikuwaje especially kabla na baada Ya nchi kupata uhuru?
Chuakachara,Haya mambo mnayoyajadili yako very sensitive katika jamii zetu, hasa kwa context ya majadiliano yenu. Mnajenga ufa kati ya dini hizi mbili.... nimesoma story yako kuwa kama angalikuwa mkristo anatoka Vatican........
Sherrif...Nitakitafuta hicho kitabu. Huyu father
John Sivallone alikuwa na mtazamo gani kuhusu uislam?
Una maoni gani hivi sasa chama kilichopiganiwa na wazee wako yani ccm hivi sasa viongozi wake wakuu na jumuiya zake ni wakristo watupu na pia wote ni kutoka kanda ya ziwa? nini maoni yako katika hili?Matola mimi na wewe ni watu wawili tofauti kwa kila kitu.
Kwangu mimi Uislamu wangu ni kila kitu na wala sioni aibu.
Mimi ni Mohamed Said Salum Abdallah...
Wako waloficha majina yao mimi sijapatapo kufanya hivyo.
Ikiwa kwako huu ni ujinga mimi ni radhi kuwa mjinga.
Mimi si mlemavu ni mzima Alhamdulillah na katika jamii yangu naheshimika sana.
Hayo mengine ya Wasomali si katika hoja tunazojadili hapa hivyo sina la kusema na hizo lugha za matusi "wapuuzi" nk. nimezizoea na nina uwezo wa kuzistahamilia.
la mtu anayetumia ndege kushambulia na kuua mamia ndiyo wa kukaa naye ?Bora trump awapige vita tu... mtu anajilipua ili aue watu ni mtu wa kukaa nae kweli?
Umeanza vizuri kama unaakili timamu kumbe mpuuzi tuTuthibitishie kuwa waliokukamata ni wakristo,naona mmejengewa misingi ya chuki,na kulalamika ndo maana kila kitu mtakitazama kwenye misingi ya dini,Leo hii waislamu wanazikimbia nchi zao sababu ya chuki za kuuwana waislamu Kwa waislamu wanakimbilia kwenye nchi za makafiri wakaonyeshwe Upendo, kwann wasiende kwenye nchi za waislamu wenzao? Imetoka list ya Wauza unga majina mengi ni waislamu rejea gazetini mtasema sasa wanaondamwa ni waislamu? Hapana msisingizie dini panapo maovu kujifichia kupata popularity km alivofanya Osama na Makundi ya kigaidi. Me ni mkristo kabla sijasoma habari za uchunguxi niliamini ugaidi na uislamu ni kitu kimoja baada ya kuujua ukweli, kumbe uislamu hauna uusiano na ugaidi, dhana ya ugaidi imeingizwa na Freemasons ktk uislamu rejea history ya ugaidi ulianza lini, nani waanzilishi, na nn ajenda yake kuelekea new world order,soma history ya mapinduzi ya Irani,soma kuhusu vita vya msalaba nk.lengo la ugaidi kwanza ni kuusambaratisha uislamu, kupata mafuta Kwa mabadilishano ya silaha, kuifanya middle east isitulie Kwa usalama wa Israel,na kujipatia himaya ya kidunia Kwa kujifichia kwenye dini, na wenye kujua ajenda kuu ya ugaidi ni viongozi wakuu wa Makundi hayo na si wapiganaji wao hawaelewi chochote wameaminishwa wanapigania dini.Sababu ukitaka waislamu wachinjane waaminishe wanapigania dini,kumbe wapo kutimiza matakwa ya Freemasons toka magharibi. Shida kubwa ya waislamu wengi wameshajijengea dhana ya tunaonewa,tunadhulumiwa ukimgusa muislam hata Kwa mambo nje ya dini anakimbilia kwenye dini tunaonewa sababu tu waislamu. Ukiwaambia mnaonewa nn hawajui inakuwa sawa na wimbo wa taifa Kwa kila moja.Cha msingi ondoeni ile dhana tunaonewa,tunachukiwa nk sababu hakuna MTU ashawahi zuiwa fanya yake ya halali Kwa kufuata sheria sababu ya dini yake.
Askofu akamatwe aulizwe kwanini umeleta kanda za Huyu Mchungaji nchini kwetu...hicho kitu hakijawahi kutokea kamweAchi...
Nauliza tena.
Inawezekana wewe unatoka Roma kwenye mkutano na makabrasha
ya kanisa ukakamatwa na ukaulizwa kwa nini unaleta vitu hivyo nchini?
Inawezekana maaskofu wakakamatwa kisha wakalawitiwa na isiwe
chochote?
Inawezekana suala hilo likaletwa Bungeni na Waziri mwenye dhamana
akajibu kwa kejeli kuwa uchunguzi utafanyika lakini wanataka kuthibitisha
kuwa maaskofu hao hawakuwa wanafanya hayo kabla?
Claytonx,Askofu akamatwe aulizwe kwanini umeleta kanda za Huyu Mchungaji nchini kwetu...hicho kitu hakijawahi kutokea kamwe
The hitman,hi
la mtu anayetumia ndege kushambulia na kuua mamia ndiyo wa kukaa naye ?
asante mkuu nimekuelewaThe hitman,
Yeyote anaedhulumu nafsi ya mtu pasi na sheria huyo ni mtu wa motoni.
Hii ni kauli yake Allah.
We nae ni walewale watanzania hatutaki udini.Kuwa na adabu huwezi kumuita Mohamed Said "we" kama a naleta udini katika mada zake acha kuzisoma sio unajitoa ufaham kwa kuwa upo nyuma ya keyboard.
Huyu mzee ni muhimu sana kwa elim ya historia hapa jamvini, kama unamuuliza, basi fanya hivyo kwa staha
Thomas...We nae ni walewale watanzania hatutaki udini.
Teh teh teh...hivi wakati hayo yakifanyika yaani fitna na husda juu yenu, ninyi ambao mnakiri mpo wengu mlikuwa wapi?Unatafuta kwa kuwatoa watu ktk kiza na kueleza ukweli bila fitina yoyote historia ya nchi kifupi naweza kusema ni Chuki binafsi husda zao juu yko Allah atakunyia wepec
Ni kwanini wasingemfanyia hivyo mtu aliyetoka Vatican ikiwa wanamsuspect ama wana taarifa mbaya kuhusu mtu huyo?John,
Hapana mimi naeleza kama ninavyokua kutokana na uzoefu.
Naamini kabisa kuwa wasingeweza kumfanyia mtu aliyetokea
Vatican haya waliyonifanyia mie.
Juu ya haya sikukatazi kuwa na fikra tofauti.