monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azarel,Ni kwanini wasingemfanyia hivyo mtu aliyetoka Vatican ikiwa wanamsuspect ama wana taarifa mbaya kuhusu mtu huyo?
Lini mtaacha kulialia kwa kusema mnaonewa na hakuna wa kuwatetea? Allah si awatetee?
Unaandikaga vitabu vizuuri vya kuhusu historia ya nchi, lakini Uzwazwa wa Kidini haukuishi Mtu mzima weye Mohamed
Una udini umekukamata kama ukurutu.
Wabillah Tawfiq,
Kwameh,
Tunaweza tukafanya mjadala wa kisa hiki kwa utulivu na kwa kustahiana hapana haja ya wewe kuja na kejeli kwa kejeli huwa tabu kujibiwa ila kwa kejeli labda na matusi.
Umehamaki. Hakika elimu yangu ni ndogo sana. Mbona umeshindwa kuelewa kitu kilicho chepesi katika mie kwenda mazoezini kucheza mpira na kitabu mkononi?
Nilichokusudia ni kuwa nilikuwa, "book worm."
Naamini unafahamu maana yake. Wala hatukuwa tunacheza chandimu.
Hii ilikuwa Everton Football Club baadae ikawa Saigon.
Chandimu ni kwa watoto wadogo.
Sisi tulikuwa wakubwa na tukishiriki katika mashindano makubwa ya nyakati zile.
Suala la elimu na Waarabu nimelizungumza hapa mara nyingi labda kwa kuwa wewe ni mgeni.
Waislam ndiyo watu wa kwanza kujua kusoma, kuandika na kuhesabu yaani kuwa na zile 3Rs yaani Reading, Writing na Arithmetic.
Hizi walizipata kupitia madras zao. Krapf alipofika kwa Chief Kimweri alishangaa kumkuta yeye na wanae wote wanajua kusoma na kuandika kwa herufi za Kiarabu.
Elimu hii ilikuja kupigwa marufuku na wakoloni kwa kuingizwa herufi za Kirumi.
Inaelekea kisa cha uwanja wa ndege kimekuvutia.
Kipo kisa kizima kwenye blog yangu nitakuwekea link ukisome chote In Shaa Allah.
Hayo mengine sijaona umuhimu wa kuyasemea.
Azarel,Teh teh teh...hivi wakati hayo yakifanyika yaani fitna na husda juu yenu, ninyi ambao mnakiri mpo wengu mlikuwa wapi?
Mlishindwa nini kuzuia hayo yote?
Kwameh,
Hapo niko Library of Congress, Washington DC.
Nimo ndani humo:
![]()
![]()
Ukiona hivyo mpaka hapo huyo ni shia.Kanda za Khomein za nini? kwa nini uje nazo?? wakati wewe sio Mshia!
Bookworm, na sio book worm.
Na hiyo ndio ilikuwa msingi wa suala langu, kama ulikuwa bookworm unaeenda mpirani umebeba vitabu ulipita pitaje katika mlolongo wa shule? Nambie! Maana nikikusoma sioni weledi na taaluma, naona unazi na udini.
Waislam walikuwa wa kwanza kujua 3Rs, Waislamu wa wapi, Egypt? Tunaongelea kina Muhammed Saidi wa Kongo na Mkunguni! Waarabu walimfundisha Kimweri kusoma na kuandika haijibu hoja kwamba Waarabu huku kwetu hawakujenga shule, walijali biashara ya utumwa tu. Labda ndio maana Waislam wa Gerezani wakabaki nyuma kielimu.
Simulizi la hadithi yako unasema umelimalizia kwingine, mbona hapa uliahidi kulimalizia tukishapumzika ili usitochoshe? Muislam asiyetunza ahadi ni Al munafiqun mkubwa.
Mtoto...
Hakuna Muislam yeyote Tanzania ambae kashitakiwa kwa kosa la ugaidi
na kutiwa hatiani toka sheria ya ugaidi kupitishwa 2002.
Ingekuwa mimi ni gaidi ningeshakamatwa.
Tumesikia mengi kuhusu ugaidi wa maaskofu ,na ugaidi mkubwa ambao ni bora hata kujilupua NI KUVILAWITI VITOTO VYA KIUME VISIVYO NA HATIA naichukia vatican hii ni kashifa ambayo imekuwa ikitokea mara kwa mara yaani ni katabia pendwa cha maaskofu shame on u
Mtoto...Sikiliza wewe gaidi hatari, sio wewe peke yako unaye pata hizo kadhia, hata mimi nilishawahi simamishwa mchunguzwa na kuombwa passport baada tuu ya kuvuka uhamiaji hapo airport huku nikiwa na jina langu la kizungu . Waache wana usalama wafanye kazi zao , na sio kukimbilia kwenye chuki zako za kidini, watoto wa kiislamu wengi tuu wako kwnye biashara hiyo na trips zao ndio huko Pakistan, Iran, Afgahnistan , Brazil wakileta madawa hapa teari kw akugasambaza na kuyasafirisha zaidi kwnye South Africa ,Ulaya, America na Acia, usijione na usilamuw ako kwamba hawata kukukabua lazima wafanye kazi zao hasw a ukiwa umetokea nchi hizo.Acha chuki watanzania tuna pendana, hofu yako na unyonge wako ndio unakufanya ukae kuwaza kichuki Vatican Vatican, sijui ume sha wabadilisha vijana wa kiislamu wangapi kufuata mawazo ya hofu na chuki , umenitisha sana wewe ni terrorist kabisa na sio lazima uwe umevaa mabomu kwamaneno yako tuu. una tosha haribu vijana wa Kiislamu wasio na nia ya kuwa extremists .Allah akusaidie akuondolee hofu moyoni akujaze upendo na amani kama vile Mtume Mohamed alivyo penda kila mtu.
Abou...Ukiona hivyo mpaka hapo huyo ni shia.
Mtoto...
Utakapotulia na ghadhabu zimekuondoka rejea tutaendelea na mjadala.
Kwa hali hii hatuwezi kujadili lolote.
Kwameh,Hahahaaaaaaaa......
Sasa kupiga picha library of congress ina maanisha umesoma?
Nimekuomba kitu rahisi sana, nipe mlolongo wa elimu yako kuanzia la kwanza hadi form six! Wala sitaki zaidi....hahahaaaaa.......
Maana hata wanapofukuza watu wa vyeti hewa huwa hawajali sana shahada na astashahada, tunataka kujua elimu yako ya chini ilikwenda kwendaje?
Maana ulikuwa bookworm utotoni, haya nambie!
Mtoto...Hakuna jipya unalo onega ambalo hatulijui kwa watu walio extremists, umesha onyesha udhaifu kwa kuwaza udini kwa kutaja vatican, mimi siwezi kasirishwa na mtu kama wewe kabisa kwasababu natambua sio wewe ni imani ulio jazwa ndio inakufikisha hapo ,inferiority complex ni kitu hatari sana na ndio kinacho kuumiza , unaishi kwa hofu na kila kitu unaona ni ubaguzi na kuonewa , well huwezi nielewa ila ndio hivyo ,tokea leo jaribu kujiweka kama mwanadamu uliye na thamani , hata mtu akikuoneysha dharau , usijishushe kujiona ni hauna utu, itakusaidia maana mwisho wa siku usije jilipua kwa hasira kudhani una baguliwa.Wote sisi tuna experience unayo experience ,ila hatugadhibiki sababu tuna jiamini .Tupendane zaidi ,sawa bro ? hakuna naye kuchukia , sisi wakristo tuna sema kemea pepop la kukataliwa na hata nyie mnayo namna ya kusema kama hivyo im sure .