Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Ahsante Mzee Mohammed Said kwa uliyoyaeleza, ni maneno yenye tafakuri na elimu nzuri ndani yake hasa kwa yule atakaye kuelemika. Allah akuhifadhi na azidi kukupa umri mrefu na wenye manufaa ili nasi tuzidi kunufaika nawe.

Nilifunzwa na Sheikh wangu alipokuwa akieleza maana ya ELIMU kuwa:-
ELIMU NI KUFAHAMU KITU KWA HAKIKA YAKE.

Nashukuru kuna mambo kupitia makala zako sasa nayafahamu kwa hakika yake mbali na vile nilivyoaminishwa mwanzo kupitia mitalaa yetu ya kielimu.

Allah azidi kukuhifadhi.
 
Sayfulhaq,
Ahsante kwa maneno yako ya hekima na dua njema kwangu.
 
Sayfulhaq,
Ahsante kwa maneno yako ya hekima na dua njema kwangu.
Hongera sana kwa kuusimamia ukweli na kutokuogopa vitisho vya hawa viumbe wa hapa duniani kiukweli ni mengi unayajua naniyakweli tupu ila kwakuwa hawapendi uyaweke wazi hivyo watakusakama sana na mengi watakuzushia ila kwakuwa unasimamia ukweli yakupasa ujue kuwa hivyo ni vitisho tuu ukweli utabaki kuwa ukweli tuu hongera sana mkuu.
 
Sayfulhaq,
Ahsante kwa maneno yako ya hekima na dua njema kwangu.
Upo mzee.....

Lete hbr mzee wangu.

Natamani kujadiliana na wewe juu ya kauli ya Trump kuutambua mji wa Jerusalem kua ni makao makuu ya Israel....

Nini maoni yako juu ya hilo?

Karibu
 
Hupingi sheria ya ugaidi ?

Soma maneno yako hapa chini Mnafiqun mkubwa!



"....nikaigeukia serikali ya Tanzania na kuishutumu vikali kwa kupitisha Sheria ya Ugaidi....

...nikaeleza kuwa sheria hiyo imepitishwa kwa sababu Bunge la Tanzania limehodhiwa na Kanisa

... Wakristo wamepata fursa ya bure ya kupambana na Uislam"


Hayo ni maneno yako hapo juu au utayaruka na kuyatapika kama kawaida?
Huyu mzee Mohammed Said haijui system ya dunia hii....

Laiti km angeijua vzr system ya dunia asingekuja na hoja kwamba Kanisa limehozi bunge
 
Huyu mzee Mohammed Said haijui system ya dunia hii....

Laiti km angeijua vzr system ya dunia asingekuja na hoja kwamba Kanisa limehozi bunge
Mkuu inawezekana hiyo system ya Dunia kweli haifahamu ila si yeye tu wengi ni jambo geni hilo, hivyo hebu nisaidie Ufahamu kuhusu hiyo system ya Dunia na inavyofanya kazi na unipe na Rejea kuhusu somo hilo!
 
Moscow,
Hii ni historia ya wazee wetu na tuna wajibu wa kuienzi.

Hatuna budi.
 
Hongera sana kwa kuusimamia ukweli na kutokuogopa vitisho vya hawa viumbe wa hapa duniani kiukweli ni mengi unayajua naniyakweli tupu ila kwakuwa hawapendi uyaweke wazi hivyo watakusakama sana na mengi watakuzushia ila kwakuwa unasimamia ukweli yakupasa ujue kuwa hivyo ni vitisho tuu ukweli utabaki kuwa ukweli tuu hongera sana mkuu.

Moscow,
Nashukuru sana kwa Mola wangu kwa kunijaalia kuijua historia hii
na kuniwezesha kuiandika na pia kwa kunipa hatua ya kukanyaga
kwingi nilikokusikia au kusoma katika utafiti wangu.

Nakuwekea chini picha yangu niko New Jersey alipotaka kwenda
kusoma Abdul Sykes 1953 wakati yuko katika shughuli za kuunda
TANU kwa ushawishi mkubwa wa Earle Seaton aliyekuwa rafiki yake:



WYBQOS7KFTmtN2u3itIHkcNdC3ip3zDSOi82bHMyBF7pwOk9RtAAoAelfxBPPDfIfQSFDGJmH_tQLTMUXriOspEQmZALo0QEoXPJNFrSQiJ7xLRkZFbWxvK67UJuPOVTkIygaKgPFpkIgrdHOTHtwEqa6YgMoSnYN-siilu6B3fr-NHjgNwOaNz66ThFWfHN_aS4GCL-rAj7_wsRnmAbHu4EIil0U6F2YVj6wuKBbVx07YlGhNA-bgL7G6ayXAshLdbIE_rdygZ3qNpSZ15zLlB6-tj_h6ygSZHLFl7QK7x2fuPouGzpO9D12xYgyv9pSeKnw42YDkMjSxtennfPSq2nuJ5i3sitbTTp9z4oD5kxrfobNs4ydP_F_oBaoU8fKroLmummgNA_lfeDbUuqB0-A3KlWoMzHrUwf_qsZgq6KsFmgaAbbKBgXsL3CWjSMTSu0DafDGkmJuf6lZwNT0s4ZSeOdLOgnKCs0AKpmj0txNjLxfutyjF7nz5asXHUri48OW3K3OC9WrzTx7zv2MkSZ3MKrnnFzyc79JvF2YpEA_XwU_iAaiMsEgXagiFuWLWJZ9B0rtQVXRoLmigN7Gw10uo_p3mGTHVK-QfoY40BQR9BWSH6LwYEE2ya0_y3aesk=w840-h630-no


Niko New Jersey kutoka hapa hadi New York, UN ni kama mwendo wa kutoka Kariakoo kwenda Ubungo.
 
Yani yeye Uislamu wake wa siasa kali mwisho Chumbe, akishuka kwenye ndege Europe haraka sana anavua kanzu, vibaraghashia. Kuna benefit anazitaka kutoka Magharibi, hataki kuonekana ni half-schooled jihadist, anapenda kuingia kupiga picha Library of Congress n.k. Akirudi Afrika ana siasa kali. Akienda Uarabuni mujahedeena. Anajijua fika yuko kwenye watch list na anajua akijipindua tu wakamuona na paraphernalia za Kiislamu watamtia kwenye no-fly-zone!

Haswa ndio sura halisi ya magaidi yani two-face , hata kina Mohamed Atta na genge lake , hivyo hivyo waliweza ishi style ya kimagharibi kuficha kusudio lao , watu wan mana hii hujipendekeza upande moja kuonekana mwema huku aki kuua moyoni na akipata chance ndio husambaza ile chuki na dunia huharibika. Huyu kwa maneno yake tuu haraka utagundua hawezi kosa kuwepo kwenye watch list inaonekana zile propaganda huzisambaza kila sehemu anapo pata chance na ni na sikitika sana kwa vijanaw a kiislamu anao kutana nao na kuanza mijadala ,sioni kingine zaidi ya kuwajaza hofu na chuki .
 
Mtoto...
Utahangaika sana na mimi.
Hakika mimi na wewe ni watu kutoka dunia tofauti.

Sikuanza leo kusafiri na nimekuonyesha picha zangu.


Mjadala sasa umekuwa ni huu kuwa Mohamed Said ni gaidi na hakamatwi.

Angalia vyema utaona nimeshiriki katika miradi miwili ya kuandika historia ya Afrika na kazi zikachapwa na Oxford University Press Nairobi na nyingine Oxford University Press New York.

Huu mradi wa Oxford University Press, New York ni mradi uliosimamiwa na Harvard.
Kazi hizi zimetosha kunifikisha kwingi duniani.

Huu ndiyo utambulisho wangu.
Wewe bakia na fikra kuwa Mohamed Said ni gaidi.
 
Mara hii ni Waafrika uliowapa elimu kule Ibadan sio wamarekani tena!!!!!???

Mzee una walakin
Mtu...
Hebu nifafanulie au kama hiyo ni nukuu yangu hebu iongeze urefu
niweze kujua nini nilisema ili nikujibu.

Ama kuhusu mimi kuwa na kasoro hilo mbona halina shaka wala
siwezi nikaghafilika kwa ukweli huo.

Banadamu ana kasoro.
Aliyekamilika ni Allah.
 
Mtu...
Hebu nifafanulie au kama hiyo ni nukuu yangu hebu iongeze urefu
niweze kujua nini nilisema ili nikujibu.

Ama kuhusu mimi kuwa na kasoro hilo mbona halina shaka wala
siwezi nikaghafilika kwa ukweli huo.

Banadamu ana kasoro.
Aliyekamilika ni Allah.
Mtu...
Wakati nakusubiri naona nikuonyeshe mengi ambayo sisi Waafrika
hatuyajui na kwa kuwa Chuo Kikuu Cha Ibadan nilikuwa nazungumza
kuhusu ugaidi nakuwekea hapo chini moja ya matukio makubwa ya
kigaidi yaliyofanywa na Wayahudi dhidi ya Marekani lakini si wengi
huku kwetu Afrika tunatambua:
Lavon Affair - Wikipedia

Baada ya kusoma naamini utakubaliana nami kuwa nilikuwa natoa
elimu bila khiyana kama anavyopenda kusema Maalim Faiza.

Ndugu zangu mnafanya haraka sana kuja kukabiliana na mimi ilhali
hamna data za kutosha.

''Mohamed bashing!'' ikiwa hamtaiacha mtakuwa kila uchao na siku
mpya kuingia mnachekesha hapa jamvini.

Umenikabili ukijiamini kuwa unajua ati nina ''walakin'' wakati mwenye
walakin ni wewe.

Maisha yangu yote mimi nilikuwa mtu wa kusoma na kuandika hata
nikiwa nasubiri basi siku za utoto wangu nimeinamia kitabu.

Nikwa ndani ya basi siku zile Dar es Salaam hakuna msongamano
mimi nimeinamia kurasa.

Hadi leo haya ndiyo maisha yangu na ndiyo maana mkiona niko
barzani nyote mnajazana kunisoma kwa kuwa mnajua mtastarehe.

Situkani, sighadhibiki, sikejeli ni elimu mwanzo mwisho bila khiyana
kiangalie na kisikiliza visa vyote hapo chini:
Sign in - Google Accounts
 
Mkuu inawezekana hiyo system ya Dunia kweli haifahamu ila si yeye tu wengi ni jambo geni hilo, hivyo hebu nisaidie Ufahamu kuhusu hiyo system ya Dunia na inavyofanya kazi na unipe na Rejea kuhusu somo hilo!
Kwanza kabisa unatakiwa kurudi nyuma kabisa ktk nyakati za mitume na manabii kisha ujifunze kupitia vitabu vya dini ambavyo vinaelezea history ya dunia pamoja na tawala zake vzr kabisa kuliko namna vile mtu awezavyo kuelezea.... Kisha hivo hivo vitabu va imani vinaelezea tumetoka wapi tuko wapi na tunaenda wapi...

Ukishapitia hivyo vitabu uta conclude kua kumbe kanisa kuhozi bunge au serikali ya Tz si tatizo la Tz pekee Bali ni system ya dunia nzima....
 
Antonio,
Mimi ujuzi wangu upo kwenye historia ya Tanzania.
Great....
Antonio...
Huenda kweli sijui lakini niko tayari kujifunza.
Vzr sn, globally system imehodhiwa na kanisa sasa karibu miaka 1700.... Najua kua huezi iamini Bible lkn Bible imeweka wazi hiyo kuhusu religious State....

Sisi tunacheza ngoma tu yao walioanzisha miaka
 
Kwahyo hiyo system ya Dunia wewe umejifunzia kwenye Vitabu vya Dini na kuhitimisha kuwa Kanisa ndilo linashikilia Mamlaka za Mataifa yote duniani?
Na je vipi kwa Mataifa yale ambayo asilimia kubwa ya Wananchi wake hawaamini uwepo wa Mungu nayo unayazungumziaje?
Halafu mbona hujanipa Rejea yoyote kama proof ya hicho ulichoongea?
 
Mpaka hapo ulipoishia ni kuwa message yako inalenga kwenye udini..! acha udini mkuu na propaganda za chuki dhidi ya muislamu na mkristu.
REJEA.

Nakuapieni nyie msingethubutu kumkamata Mkristo anaetoka Vatican mkutanoni. Lakini kwa kuwa mie ni Muislam sina wa kunitetea. Nchi hii nani atakuuliza kwa kumnyanyasa Muislam?” Walishtuka na wakawa wanyonge sana wakasema si kweli kuwa naponzwa na dini yangu.

Mambo ya TZ. Unaposema ukweli unakua unaleta udini au uchochezi.
 
Great....

Vzr sn, globally system imehodhiwa na kanisa sasa karibu miaka 1700.... Najua kua huezi iamini Bible lkn Bible imeweka wazi hiyo kuhusu religious State....

Sisi tunacheza ngoma tu yao walioanzisha miaka
Antonio,
Ahsante kwa kunielimisha.
 
Back
Top Bottom