Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Kwani kwako ni mbali basi, tusubiri tu huchelewi

[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] yaani wewe ndiye member pekee umemuweza huyu mfia dini
 
Naufuatilia sana huu mjadala, katika majibu yote hapa umejichanganya kweli....unataja "unyanyasaji" unakataa "uonezi"

Akili ikizidi mtu huhamia wehu
Mtu...
Mimi sina tatizo na hizi ''semantics,'' tutafanya mjadala shida
mnayo nyinyi kwa kuwa mnaandika kwa ghadhabu mnachukizwa
na mnayosoma kutoka kwangu na kunipa kila aina ya majina.

Hapa tu sasa hivi hebu pitieni mliyoandika na rejeeni katika haya
ninayoandika mimi.

Nadhani ipo tofauti kubwa baina yetu.
Ama hamuioni?
 
Naufuatilia sana huu mjadala, katika majibu yote hapa umejichanganya kweli....unataja "unyanyasaji" unakataa "uonezi"

Akili ikizidi mtu huhamia wehu
Mtu...
Hapana haja ya kutukanana tufanye mjadala wa kiungwana bila matusi.
Hii ndiyo mara yangu ya kwanza kuitwa, ''mwehu.''
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] yaani wewe ndiye member pekee umemuweza huyu mfia dini
Mtu...
Nakuwekea hapa moja ya rejea ya ''wafia dini...'' wa kweli kwa
ushahidi wa kauli zao wenyewe:

71qnMf67XeeE3o-GovIa3TZzmPhItwXSFXz7rfRPKsrrDv1ijXuHpgyee5nAc-2j0fkqEy-Ukh_2oG3gT4Vz57TEDkb6eycFchoT15FYRXaDhsNxjDiHpp1FNpiaKEEcHdTT9ivcaYgWs_CnziBwLIhpe3cXNLCWy1tObRu5YXiqnZGPfeIA-6u77EauV6wdQ-ZGIkZ01lDxCwTguJM5vr5rkkC4mp1o779mkIFme37r1lnDs7J9cATs4g1--ailoOM8AXV6x6y6vbgIgWsAERKe0O2uiVbj-1yruwojUwNs4AxLTLZqMEIa6V8iCVjVbb8oLidz2xLsIKC7kWW2EE1M8cHJm-9scfpBx0cu7ZoGEL5wh5ysl_52jiC7IeEfyTcvGI8kYcVhRYEPYoBj5YxXauyXs4jpEwzNpYRQ1BMkv93fjFzXDOGJH3PsDAUr9l1jFTtIZVrcTrM6cg4WMMGFwiOsOBluMMDyvk4Q0N7JOdxZVhtpztcjBwAM1cEAlY-_Iu9OBI1TRKARUZC1MvSjf3T0nxjD4Cvmd6d-IQAl-PGGrN4BFdVJ8UQOQuOyEJ_I77de2z9ctlAuaFmeALVu5ZEdNuyRAoqZAmnyuFM=w340-h483-no


iMNiRTM8KGM6y0naqtxqi9oogBAYuJx3KgU60y5_5cmsOTWWnrUnWoUm1ELiJ7WTmBGhgCBTcmiiUDQD_zPK5Qeruw26IWSDKoCaJOq3_uDA_bz9vh5cgMPB-FKa3LMrZcnR8P9S8eC3_LFApuEeh-m38HI7oxzUJiMwi-cTQQV9evd8WglCj6ogQHlZv9kjpLpY8YbGkAw5HbSwYJXuBKO_mcCnn9IbCBQLN_9S25Wqu2ZOP2i_sbbw1Gq2sDkuC-HCfxzEc28SbQyIvk04nKCV2ZcdWWkCOSQCKJ0ljWMcJOOdrxTt48739Xlgx_m7LEq4PjeQbc74LAmh338A5i_nqhkSGPoq27P_S0WIxxCj5f_uI-aY-QmcGol-OhJ7Lhv_Cta7P6smvwPDDXU530LpmHkzpvSG4LuspUX99WKWdpPvAh3cl4k7-s2m2etK3P0BiHEM6pYO7pn3VdmO_DC-SAph2ivvyOnVTj7ZkGL5BVJT7jjEg1vI0Qm0vUxwUw3Os5crls0umLuxkPnI4RDykaq9M7YF8Xpcd_Jd-wEui_ru9Tpw-B8oYHa_MgaiXKIIgo3DR1bUUMsvsNfUtjVJvwUMTDEXy5096mfbvQQ=w421-h630-no
 
Matola mimi na wewe ni watu wawili tofauti kwa kila kitu.

Kwangu mimi Uislamu wangu ni kila kitu na wala sioni aibu.

Mimi ni Mohamed Said Salum Abdallah...

Wako waloficha majina yao mimi sijapatapo kufanya hivyo.

Ikiwa kwako huu ni ujinga mimi ni radhi kuwa mjinga.

Mimi si mlemavu ni mzima Alhamdulillah na katika jamii yangu naheshimika sana.

Hayo mengine ya Wasomali si katika hoja tunazojadili hapa hivyo sina la kusema na hizo lugha za matusi "wapuuzi" nk. nimezizoea na nina uwezo wa kuzistahamilia.
Hapa umeonyesha umeamua kubishana tu
 
Mtu...katika kitabu cha Sivalon huo uk wa 37 anasema Kanisa lina maadui wawili Tanzania Ukomunisti na Uislam.

Mimi nimekueleza mapenzi kwa dini yangu.
Sijapatapo kusema kuwa Ukristo ni adui yangu.

Uamuzi ni wako kutambua nani ""mfia dini" na zipo rejea nyingine mfano wa hizo.

Angalia kitabu cha P van Bergen, "Religion and Development in Tanzania," (1981) wala sitakuambia nini kasema waulize nduguzo watakufahamisha.

Wala sitakueleza aliyoandika Njozi, "Mwembechai Killings..."(2002) na sababu ya kitabu kupigwa marufuku.

Jiulize wewe mwenyewe kwa nini kitabu kiliogopwa.
Yapo mengi sana.

Mimi sifanyi ubishi wala siandiki huku nimeghadhibika wala kumtukana mtu.

Nia yangu ni kuisaidia jamii na viongozi wetu waukubali ukweli na tutafute njia ya kujinusuru na kila aina ya uovu.
 
Claytonx,
Huu ndiyo ukweli wa hali ya nchi yetu na haitatusaidia kuukataa
ukweli huu.

Juu ya heshima ya masheikh hawa Waziri wa Mambo ya Ndani
Thomas Chikawe akawakejeli masheikh mahafidh wa Qur'an
kuwa upo uwezekano wa wao kuwa mashoga.

Kejeli hizi kawafanyia ndani ya Bunge na haikuwa lolote.

Huu ndiyo ukweli wa hali ya nchi yetu na haitatusaidia kuukataa
ukweli huu.

Sheikh Muhamed Said unapenda sana kulalamika waislamu wanaonewa. Juhudi za waislamu wa huko nyuma hazikupotea bure. Hivi umeshawahi kuchunguza ni nchi ngapi za Afrika kusini mwa Sahara zilizowahi na kuwa rais muislamu. Tena muislamu wa bagalashia kama Mwinyi? Hivi kama Nyerere alikuwa na nia ya kuuwa uislamu angemkabidhi nchi Mwinyi? Na kanisa lilikuwa wapi Mwinyi alipokabidhiwa urais?

Nyinyi mnatakiwa mchukue fomu na nyie kugombea uongozi. Sio kukaa nje kubwetesha waislamu tunaonewa tunaonewa. Hamjengi mnabomoa. Tunawaona kina sheikh Ponda wakereketwa lakini hata huko kwenye BAKWATA hawagombei uongozi. Leo hii kwa umaarufu wa sheikh Ponda au hata wewe mwenyewe mkigombea uongozi BAKWATA nani wa kuwazuia?
 
Princemwale...
Huko tumepita miaka mingi...

Inabidi kwanza uijue nini kilisababisha BAKWATA iundwe ndipo utakuwa katika hali ya kufanya mjadala.

Ukipenda naweza kukupa darsa hapa lakini uwe tayari kusoma kurasa zaidi ya 100.
 
Princemwale...
Huko tumepita miaka mingi...

Inabidi kwanza uijue nini kilisababisha BAKWATA iundwe ndipo utakuwa katika hali ya kufanya mjadala.

Ukipenda naweza kukupa darsa hapa lakini uwe tayari kusoma kurasa zaidi ya 100.

Unalalia sana kwenye historia. Hata Simba na Yanga hazikuanza kama timu za mpira. Nyie ingieni BAKWATA leteni mabadiliko mnaacha warugaruga wanachezea mali za waislamu halafu mko nje mnalaumu kanisa. Ukisusa wenzio wala. Hawa wanaoukula hawali na kanisa wanakula na matumbo yao tu.
 
Prince...nimekueleza lazima kwanza ufahamu kwa nini iliundwa BAKWATA ndipo utakuwa katika hali ya kufanya mjadala wa maana.

Ikiwa hujui jana yako kamwe hutoijua leo yako.

Historia ni mwalimu mzuri wa kufundisha na kukuelewesha kwa nini leo uko hivi ulivyo.
 
Hupingi sheria ya ugaidi ?

Soma maneno yako hapa chini Mnafiqun mkubwa!



"....nikaigeukia serikali ya Tanzania na kuishutumu vikali kwa kupitisha Sheria ya Ugaidi....

...nikaeleza kuwa sheria hiyo imepitishwa kwa sababu Bunge la Tanzania limehodhiwa na Kanisa

... Wakristo wamepata fursa ya bure ya kupambana na Uislam"


Hayo ni maneno yako hapo juu au utayaruka na kuyatapika kama kawaida?
Huyu mzee wakati mwingine anabanwa hasa ila kinachomsaidia ni kujiamini ana akili na msomi sana ona sasa
 
Mtu...
Hebu nifafanulie au kama hiyo ni nukuu yangu hebu iongeze urefu
niweze kujua nini nilisema ili nikujibu.

Ama kuhusu mimi kuwa na kasoro hilo mbona halina shaka wala
siwezi nikaghafilika kwa ukweli huo.

Banadamu ana kasoro.
Aliyekamilika ni Allah.
Toka mwanzo umesema ni wamarekani uliowapa elimy waliyokuwa hawaijui kule Ibadan, nimeshtushwa unaposema tena utamfafanulia Sanctus jinsi waafrika wasivyojua mambo
 
Mtu...
Mimi sina tatizo na hizi ''semantics,'' tutafanya mjadala shida
mnayo nyinyi kwa kuwa mnaandika kwa ghadhabu mnachukizwa
na mnayosoma kutoka kwangu na kunipa kila aina ya majina.

Hapa tu sasa hivi hebu pitieni mliyoandika na rejeeni katika haya
ninayoandika mimi.

Nadhani ipo tofauti kubwa baina yetu.
Ama hamuioni?
Sumu iliyokukaa ni kubwa kiasi kwamba imekutia upofu na uziwi/ukiziwi

Hapa member watajisumbua tu hutabadilika.

Haiwezekani unaleta udini wazi wazi halafu unakataa huna udini

Maajabu haya
 
Mtu...
Hapana haja ya kutukanana tufanye mjadala wa kiungwana bila matusi.
Hii ndiyo mara yangu ya kwanza kuitwa, ''mwehu.''
Hapan mzee wangu sina jeuri ya kukutukana maana najua umenizidi kwa kila kitu

Wajuzi wanasema "jiniaz" na kichaa wanatenganishwa na mstari mwembamba sana
 
Mzee Mohamed Said nawewe unashutumu mno ukristo. Ukisoma hadithi yako utazani nchi hii iko vitani na waislam wanauwawa. Kuwa na kiasi mzee. Mikasa ya kukamatwa kwa hila inawakuta wengi tu.

Baada ya kusema hayo nakupa pole ni usumbufu mkubwa......ungerusha hata ngumi umtandike asifa mmoja puani waone hutaki mchezo.
Haujuw iko vitan na mamia ys waislam wanauwawa na kutekwa kila kukicha ???tuulize sis ndg zetu walouliwa
 
Bafa,
Sasa nimekupata.
Hebu soma hapo chini:
Kilichobaki sasa ni kueleza sababu ya mimi kukamatwa. Mwaka wa 2006 Chuo Kikuu cha Ibadan, Nigeria kilifanya kongamano la kimataifa hapo chuoni kwao kuzungumza kuhusu Ugaidi katika Afrika ya Mashariki na Maendeleo (Conference on Islam, Terrorism and African Development). Mimi ninlitoa mada iliyokuwa na anuani hii: Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience. Katika mada hii nilijikita mahsusi katika kuisema Marekani kwa udhalimu wao duniani. Nikaeleza kuwa huo udhalimu wao ndiyo unaopelekea wao kuchukiwa dunia nzima. Hapa ningependa kufahamisha kuwa mkutano huu wafadhili wakubwa walikuwa Iran na Marekani. Saudi Arabia ilikataa kuchangia mkutano ule. Wakati nasema maneno haya ya kuwakanyanga wenyewe Waamerika wapo hapo mkutanoni.

Baada ya kuwalani Waamerika sasa nikaigeukia serikali ya Tanzania na kuishutumu vikali kwa kupitisha Sheria ya Ugaidi. Hapa nikaeleza kuwa Waamerika wasione kuwa Tanzania imepitisha sheria hiyo ya ugaidi kwa haraka kwa sababu Tanzania ina tatizo na ugaidi. Nikaeleza kuwa sheria hiyo imepitishwa kwa sababu Bunge la Tanzania limehodhiwa na Kanisa na kupitishwa kwa sheria hiyo hakuna uhusiano wowote na ugaidi ila Wakristo wamepata fursa ya bure ya kupambana na Uislam wakitumia serikali ya Marekani kama upawa wao wa kuopolea chinyango ya moto kwenye chungu kinachotokota. Nikauchekesha mkutano kwa kuwaambia kuwa Wamarekani wamefanywa wajinga na Kanisa kwa kuchonganishwa na Waislam wa Tanzania ambao hawana ugomvi nao asilani. Baada ya kusema hayo nikahitimisha kwa kueleza nguvu ya Waislam Tanzania, kwanza kwa wingi wao na kisha kwa historia yao iliyotukuka iliyodumu takriban miaka mia wakipambana na ukoloni wa Wajerumani kwa silaha (1905 - 1907), kisha ukoloni wa Waingereza (1929 1961) na kuhitimisha kwa kuleta uhuru na kuanzia 1961 hadi sasa wanapambana na nguvu ya kanisa katika kupiga vita Uislam.

Kufikia hapa ukumbi ukawa umepata joto. Wanigeria wamesimama kutaka niwaeleze vipi Waislam watakuwa wamepigania uhuru kisha wako wengi nchini wanaruhusu wao kufanywa raia daraja la pili. Wakashangazwa kuwa hata historia ya mashujaa Waislam waliopigana Maji Maji na kunyongwa na wakoloni na mashujaa walipigania uhuru wa Tanganyika hawatajwi katika historia ya ukombozi. Nilitoa majibu kadri Allah alivyoniwezesha. Nakumbuka kitu kimoja walichosema wale ndugu zetu Wahausa. Walisema hali hiyo iliyoko kwenu haiwezekani kutokea Nigeria kwa kuwa hiyo itakuwa na sawa na kutangaza vita. Kisha wakanihakikishia kuwa sheria hiyo ya ugaidi haitapitishwa Nigeria hata siku moja.

Wapashaji habari wangu wakajanieleza baadae ni hili hitimisho langu ndilo lililosababisha Wamarekani kuleta taarifa Dar es Salaam kutaka taarifa zangu za “ugaidi” ikawa sasa sababu imepatikana ya mimi kushughulikiwa na vyombo vya dola. Ndipo ikatengenezwa hadithi ya kuku na ng’ombe dume (cock and bull story) kuwa Mohamed Said ni Mzungu wa Unga kwa hiyo akamatwe.
Kumbe mchochezi bwana sasa serikali imemilikiwa na kanisa kivipi yaani?
 
Bro swala hili mbona umelishupalia me naomba tujaribu jambo dogo tu wewe shika bunduki au kimbilia msituni utaitwa muhasi ila Mimi nivae khanzu na panga language nimelipaka damu tu natamka shahada na viashiria flani hivi vya msimamo mkali obviously nitaitwa gaidi na mifano ipo al shabab na boko haram Mimi binafsi vitendo vyao haviendani na mafundisho ya uislam lakini having tofauti na M 23, IDDFDD , Na wale walikua wanaitwa Lord resistance Army kitu wqnafanya Hamna tofauti na al shabab na boko haram wote wanabaka wanaua watoto na raia wasiokua na hatia non combatant's lakini huku wakikamatwa wananyongwa huku ualifu wa kivita wa huku anaitwa muhasi ila wa huku gaid how
Learn to speak abt Islam with knowledge ....unajua somalia imevamiwa na majesh ya msalaba ...Ethiopia....Kenya....Uganda........wakiuwa na kubaka waislamu (angalia ripot ya human right watch mwaka 2014 ) ....je walale usingiz mzito ...wakiimba aman aman aman kama crusaders media wanavotangaza ?.???? .....ni nini hukum ya maadui wakivamia ardhi ya waislam ???? ...wamekubaliana wanachuon madhehebu yote iyo n jihad adui apigwe mpka atoke ktk ardhy ya waislamu ............na kuhusu wale apostates wa serikal ya somal wanodai uislamu ....and their supporters ...they have to know ...he's not Muslim the one who rule with other than Allah revealed ....

"And whoever does not judge by what Allah revealed ...then it is those who are disbelievers ", (5:44 )

" fight them (disbelievers ...polytheists like democrats ...communist ...nationalist ) until there is no more fitna "(associate partner with Allah ) and( make sure ) deen is for Allah alone .......


One of the pious predecessors intepret the verse ....say " fight them until there is no more fitna ....fitna here means shirk ....and he said golden words ...."if a village or town fight each other and kill each other until there is no one left ....this is not big things like a one who associate partner with Allah "

So don't understimate our brothers in somal ...Syria ..Nigeria (may Allah preserve them ) who are fighting the armies of Satan and make the words Of almight high
 
Kalamu uliyopewa unaitumia vibaya,
Fikra ulizopewa ni nzuri ila umejaza bange ya udini itakusumbua haswa na kama hicho ndicho unaenda kusambaza kwenye mikutano kusambaza chuki za udini iko siku itakulipa
 
Back
Top Bottom