Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

Kuna wachumi bora kwenye jamii zaidi ya Waislam?

Hebu tazama tu miji yote ya Tanzania na huko ulipopataja ilijengwa na Nani? kwa wingi wake na ni akina nani ni wafanya biashara wa kutukuka, hapo awali hadi leo hii?

Hivi huwa hamuoni au ni ujinga tu uliowajaa?

Mwenyezi Mungu ana shani yake, unapofikiri kuwa ukimnyima mtu elimu kwa hizaya ndiyo utammaliza basi Yeye humfungulia mengine usiyoyafikiria.

Umenyima elimu kampa biashara ambayo huyo asiye na elimu anakuajiri wewe mwenye elimu.

Huyo ndiyo Allah.
Poor mind,vip kuhusu level za kidunia maana hujawaza huko hao unawasema bado wanakimbiza kibiashara na unafikiri matajiri wa level ya kidunia wamekimbia umande kama unavyodhani,always naamin watu wa imani kama yako lazma utakua na poor thinking capacity+chuki na vurugu
 
Kuna wachumi bora kwenye jamii zaidi ya Waislam?

Hebu tazama tu miji yote ya Tanzania na huko ulipopataja ilijengwa na Nani? kwa wingi wake na ni akina nani ni wafanya biashara wa kutukuka, hapo awali hadi leo hii?

Hivi huwa hamuoni au ni ujinga tu uliowajaa?

Mwenyezi Mungu ana shani yake, unapofikiri kuwa ukimnyima mtu elimu kwa hizaya ndiyo utammaliza basi Yeye humfungulia mengine usiyoyafikiria.

Umenyima elimu kampa biashara ambayo huyo asiye na elimu anakuajiri wewe mwenye elimu.

Huyo ndiyo Allah.

Epitome of s.tu.pidity
 
Mkuu Maalim jee ya kweli haya?!. Japo Vatican ni nchi na ina ubalozi wake nchini, uliwahi kusikia kuna viza ya kuingia Vatican?!. Immigation wanaangalia mtu umetoka wapi, visa ni ya Italy, na nadhani ndio nchi iliyokuwa ikiongoza kuuza mihadarati ulaya nzima biashara ikimilikiwa na the Mafia na wote ni Wakristu!.

Nimewahi kusafiri kutoka Tanzania na mzungu fulani lakini ni raia wa Tanzania, tukafika Marekani, wote wawili tukaonyesha passport zetu za Tanzania, mwenzagu akaruhusiwa, mimi nikazuiliwa nikachukuliwa picha na alama za vidole ndipo nikaruhusiwa!. Uhalifu ni uhalifu tuu, hauna dini, rangi wala kabila, japo wanaojilipua wengi ni watu wa dini fulani, hatuwatambui kwa dini yao, bali kwa uhalifu wao!, japo magaidi wengi ni watu wa dini fulani lakini hatuwatambui kwa dini yao bali kwa ugaidi wao!.

Ingefanyika sensa ya dini za wahalifu wote walioko magerezani, amini msiamini, watu mngeshangaa humu na kusema mnazingiziwa!. Tembelea hapa
Mapapa 560 wa Madawa ya Kulevya watajwa. Wamo
Kwenye list hii kati ya majina haya 560, majina 120 ni ya asili ya kizungu, majina 320 ya asili ya Kiarabu, majina 119 ni asili ya Kiafrika na jina moja ni la number ya gari.
Jee wajua what does this mean? .
NB. Naombeni sana msichanganye asili ya majina na dini za watu, majina ni majina tuu na dini ni imani, mtu anaweza kuwa na majina ya asili ya Kiarabu na akawa Mwislamu, au Mkristo na mtu mwenye jina la asili ya Kizungu akawa Mwislamu au Mkristo na wenye majina ya asili nao vivyo hivyo.

Mtu ukiisha tanguliza mawazo hasi ya kunyanyaswa kwa sababu ya dini yako, hata pale utakapofanyika ukaguzi wa ziada wa halali kabisa kwa ajili ya kujiridhisha, utaona una nyanyaswa!. Please stopuni hizi negativity, think positive, hata ukiwa treated harshly, lakiwa ukiwa positive kuwa hilo jambo linafanyika in good faith and not an ill motive, utakuwa na amani ndani ya moyo wako.

Mtu yoyote akiwa ni frequent flyer na safarri zenyewe za nchi za mashaka mashaka, kushukiwa ni kawaida!, mimi siamini ulisachiwa kwa ajili ya dini yako..

Hata hivyo pole kwa masahibu yaliyokufika!.

Paskali
Ukwel 100%
 
Acha u.pu.m.bavu....majitu yanayoshindwa hoja yaananza vitisho..nani kakwambia Mohamed ni binadamu maalumu zaidi ya wanadamu wengine?

Hoja ndio zigombe,sio mnaleta vitisho vya kikoloni ku-suppress free speech."We" ni mtu na sio tusi,msilete udikteta maandazi.
Vitisho viko wapi hapo, pitia comments za wrote waliotambua huyu ni mzee Angalia jinsi walivyomkosoa na angalia na wewe unavyomkosoa.
Tumia lugha ya staha huwezi kumuita huyu mzee, "we" kuwa na adabu.
 
Umeacha ya kupekuliwa na kuhojiwa umekuja ya Visa!

Kwa maelezo ya Mohamed Said, naamini sababu kubwa ya ''mahojiano marefu'' na ''kupekuliwa'' ni uthibitisho uliokuwepo ktk pasipoti yake kuwa na viza/muhuri/tiketi wa kuonesha aliingia nchini Iran. Madawa ya kulevya ilikuwa ni kisingizio cha kuweza kumpekua/kufanya mahojiano baada ya maofisa hao kutaka kujua safari yake Iran ilihusu nini. Na nchi mbalimbali hufanya jambo hilo la mahojiano marefu zaidi ya kawaida au upekuzi kutokana na safari zako au yako ulizofanya/uliyoifanya.

Pia jamaa zake Mohamed Said waliopo Nigeria, Marekani na Tehran, Iran n.k wanaweza kuwa ''marafiki'' wenye kupeleka taarifa ya mienendo yake kwa vyombo vya usalama vya nchi mbalimbali na kusababisha kuhojiwa na kupekuliwa kwa kutumia visingizio vyovyote vile.
 
Mtu anaekaa na kuanza kusifia DINI,huyo mtu ana matatizo makubwa sana...

Tangu lini kitu alichotunga mwanadamu huyu huyu kikawa kinaukamilifu?Mwanadamu huyu huyu mwenye hila,ghiliba,chuki,ujinga,upendeleo,nk eti atoe dini yenye hali zote za utakatifu na impartial kwa kila kitu multi-universe hii..

Mfano mdogo tu,ukristo unamfundisha chuki mtoto asie na hatia eti binadamu yeyote asie mkristo ni "mpagani au mshenzi" na uislamu unaingiza chuki kama hiyo kua asie muislamu ni "kafiri",hizi chuki kwakweli hazifai...dini ni za kufuta zote,either way,futilia mbali.
 
Vitisho viko wapi hapo, pitia comments za wrote waliotambua huyu ni mzee Angalia jinsi walivyomkosoa na angalia na wewe unavyomkosoa.
Tumia lugha ya staha huwezi kumuita huyu mzee, "we" kuwa na adabu.

Acha upu.mbavu mzee,wewe ndio unamjua na ndie unaempenda,"we" ni mtu na sio tusi...wewe ndio unajua mohamed ni mzee,na mtu kua mzee au kijana au kikongwe sio sifa ya kujibiwa..

Vitisho umetoa,kwa kumtishia mtu kwa wasifu wa mtu,aogopeke...ridiculous.Imetolewa hoja,ikajibiwa kwa hoja...wewe mwenye mapenzi mubashara nae your feelings got hurt,hatuwezi kukusaidia chochote.

Umekasirika mtu kuitwa "we" ambapo sio tusi to begin with,basi andamana....watu mna chuki kupita maelezo...brother this is a simple online discussion,u do not knw anyone,yanini panic?Ingekua tunadiscuss live ungechinja mtu,machuki ya nini?
 
Unaaandika weeee, alafu unakimbilia kwenye udini, huu ni ukosefu tu wa hoja na kulazimisha sympath kwa njia unayofikiri ni rahisi kwako...ungekuwa ni mlemavu ungesingizia ulemavu, ungekuwa na upara ungeegemea hukohuko.

Wewe mwenyewe unasema maofisa wamekwambia wamepewa taarifa kuwa unasafirisha mihadarati, bila kujali ulifitiniwa tu ama la...wewe ulitaka hao Maofisa wakuachilie tu baada ya wewe kuwaambia kuwa hujihusishi na mihadarati? hivyo ndivyo ungefanya wewe kama ungekuwa ni Ofisa usalama hapo Uwanjani?

Unasema Mkristo anayetokea Vatican asingesumbuliwa (fikra potofu za udini zinakutafuna), hata kama ungekuwa Mkristo na unatokea Tehran, Pakistan, Brazil, Afganstan....unless kama 'umecheza' lakini lazima utaangaliwa kwa jicho la ziada...na hata kama ungekuwa Muisilam na unatokea Vatican njia yako isingekumbwa na mshikemshike wote huo.

Wewe kama mtoa tarifa huwezi kusema yoote, zaidi ya kutimiza malengo yako binafsi ya kutaka tuamini kwamba walikuonea...wenye akili zetu tutaendelea kujiuliza 'kwa nini wewe na wapo maelfu ya Wasafiri wanapita hapo?'

Nimeshasafiri mara kadhaa na sijakutana na hiyo adha....lazima sababu ipo...ila wewe tupange tu hapa na ngonjera zako, tutasoma tu.
 
Unaaandika weeee, alafu unakimbilia kwenye udini, huu ni ukosefu tu wa hoja na kulazimisha sympath kwa njia unayofikiri ni rahisi kwako...ungekuwa ni mlemavu ungesingizia ulemavu, ungekuwa na upara ungeegemea hukohuko.

Wewe mwenyewe unasema maofisa wamekwambia wamepewa taarifa kuwa unasafirisha mihadarati, bila kujali ulifitiniwa tu ama la...wewe ulitaka hao Maofisa wakuachilie tu baada ya wewe kuwaambia kuwa hujihusishi na mihadarati? hivyo ndivyo ungefanya wewe kama ungekuwa ni Ofisa usalama hapo Uwanjani?

Unasema Mkristo anayetokea Vatican asingesumbuliwa (fikra potofu za udini zinakutafuna), hata kama ungekuwa Mkristo na unatokea Tehran, Pakistan, Brazil, Afganstan....unless kama 'umecheza' lakini lazima utaangaliwa kwa jicho la ziada...na hata kama ungekuwa Muisilam na unatokea Vatican njia yako isingekumbwa na mshikemshike wote huo.

Wewe kama mtoa tarifa huwezi kusema yoote, zaidi ya kutimiza malengo yako binafsi ya kutaka tuamini kwamba walikuonea...wenye akili zetu tutaendelea kujiuliza 'kwa nini wewe na wapo maelfu ya Wasafiri wanapita hapo?'

Nimeshasafiri mara kadhaa na sijakutana na hiyo adha....lazima sababu ipo...ila wewe tupange tu hapa na ngonjera zako, tutasoma tu.
Fyatu umeghadhibika.
 
Acha upu.mbavu mzee,wewe ndio unamjua na ndie unaempenda,"we" ni mtu na sio tusi...wewe ndio unajua mohamed ni mzee,na mtu kua mzee au kijana au kikongwe sio sifa ya kujibiwa..

Vitisho umetoa,kwa kumtishia mtu kwa wasifu wa mtu,aogopeke...ridiculous.Imetolewa hoja,ikajibiwa kwa hoja...wewe mwenye mapenzi mubashara nae your feelings got hurt,hatuwezi kukusaidia chochote.

Umekasirika mtu kuitwa "we" ambapo sio tusi to begin with,basi andamana....watu mna chuki kupita maelezo...brother this is a simple online discussion,u do not knw anyone,yanini panic?Ingekua tunadiscuss live ungechinja mtu,machuki ya nini?
Lebron umeghadhibika.
 
Kwa maelezo ya Mohamed Said, naamini sababu kubwa ya ''mahojiano marefu'' na ''kupekuliwa'' ni uthibitisho uliokuwepo ktk pasipoti yake kuwa na viza/muhuri/tiketi wa kuonesha aliingia nchini Iran. Madawa ya kulevya ilikuwa ni kisingizio cha kuweza kumpekua/kufanya mahojiano baada ya maofisa hao kutaka kujua safari yake Iran ilihusu nini. Na nchi mbalimbali hufanya jambo hilo la mahojiano marefu zaidi ya kawaida au upekuzi kutokana na safari zako au yako ulizofanya/uliyoifanya.

Pia jamaa zake Mohamed Said waliopo Nigeria, Marekani na Tehran, Iran n.k wanaweza kuwa ''marafiki'' wenye kupeleka taarifa ya mienendo yake kwa vyombo vya usalama vya nchi mbalimbali na kusababisha kuhojiwa na kupekuliwa kwa kutumia visingizio vyovyote vile.
Bagamoyo nadhani kwa uchache tumefahamiana.
 
Pamoja na elimu uliyonayo,bado unaendeshwa na hisia za kuonnewa kwa kuwa wewe no mwislam.Hotuba yako ilijaa uchochezi na chuki dhidi ya ukristo.Halafu unakuja hapa kutafuta kuhurumiwa huku.
 
Pamoja na elimu uliyonayo,bado unaendeshwa na hisia za kuonnewa kwa kuwa wewe no mwislam.Hotuba yako ilijaa uchochezi na chuki dhidi ya ukristo.Halafu unakuja hapa kutafuta kuhurumiwa huku.
Mugunga hapana sijaja hapa hapa nimeandika yaliyopita 2007 na mkasa huu uko kwenye blog yangu www.mohammedsaid.com toka 2008.

Nilipokwenda kwa maana ya "kuja" ni Chuo Kikuu Cha Ibadan na sikwenda kutafuta kuhurumiwa.

Nilikwenda kuwaeleza Wamarekani kile wasichokijua kuhusu Uislam na ugaidi Tanzania na haikuwa kwa nia ya kutafuta huruma.
 
Acha upu.mbavu mzee,wewe ndio unamjua na ndie unaempenda,"we" ni mtu na sio tusi...wewe ndio unajua mohamed ni mzee,na mtu kua mzee au kijana au kikongwe sio sifa ya kujibiwa..

Vitisho umetoa,kwa kumtishia mtu kwa wasifu wa mtu,aogopeke...ridiculous.Imetolewa hoja,ikajibiwa kwa hoja...wewe mwenye mapenzi mubashara nae your feelings got hurt,hatuwezi kukusaidia chochote.

Umekasirika mtu kuitwa "we" ambapo sio tusi to begin with,basi andamana....watu mna chuki kupita maelezo...brother this is a simple online discussion,u do not knw anyone,yanini panic?Ingekua tunadiscuss live ungechinja mtu,machuki ya nini?
Nlichogundua una matatizo kichwani mwako! Keep it up!!!
 
pole sana mkuu, lakini hayo mengine ni taratibu tu za usalama usipate shida kufikiri vinginevyo kwa kuwa ulitoka salama katika hiyo kadhia
 
Back
Top Bottom