Mohamed Said ''Mzungu wa Unga,'' 2007 Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

 

Out of context.

I'm glad it makes you happy.
 
kwani kumuita MTU we au wewe ni tusi?, hivi unakijua kiswahili na miundo yake, mimi, wewe, yeye, ayo maneno yanaashilia matusi??
 
Fdizzle,
Huwa kawaida hoja zinapopamba moto kuna wengine hawawezi kuhimili
na hil huwatoa adabu na kupandisha ghadhabu.

Tumsamehe hapa tuko kujadiliana kiungwana.
umsamehe kwani kakosea nini?, kwani kumuita mtu wewe ni tusi?, nijuavyo mimi hiko ni kiwakilishi cha jina (noun) cha nafsi ya pili umoja, ni kama kusema mimi au yeye tu, nyinyi ndio yawapasa kumuomba radhi kwakua mmemnukuu vibaya
 
Mbona umetukatili Sheikh? Kisa hakijesha naamini..
 
kwani kumuita MTU we au wewe ni tusi?, hivi unakijua kiswahili na miundo yake, mimi, wewe, yeye, ayo maneno yanaashilia matusi??
Nadhani unaelewa kiswahili vizuri tu lakini nikukumbushe kitu, kitu chochote endapo utakiweka sehem isiyostahili kitakuwa ni uchafu, ndivyo kwa maneno ya kiswahili ukitumia sehem isiyostahili ni mskosa pia,, nikuulize swali baba yako utaweza kumuita we?
 
swala la msingi si kumuita baba yako wewe au kuto muita hivyo!!, swala hapa ni je neno wewe ni tusi au si tusi (kwa wazazi wa aina yako, unaweza hata kutaman kumpa razi mwanao sababu ya kukuita hivyo)
 
Nadhani ulikuwa na lengo zuri sana ila umeharibu hapo kwenye udini ulopandikiza. Una hakika hakuna walio wahi kutiliwa shaka wakitokea Vatican? Na je, Hao wana Usalama wote walikuwa wakristo?

Kwa hili sikuungi mkono. Labda useme kama uliwahi kushuhudia watu wakitokea Vatican na ni waharifu halafu wakaachiwa tu. Vinginevyo hata lengo zuri (kama lipo) ulilokusudia ni upuuzi
 
Un

Mkuu unafikiria Wamarekani Na Vyombo vyao vya Usalama walikuwa nyuma ya ukweli hadi wewe ulipowaeleza kwenye Huo muhadhara Chuoni Ibadan? Siku hizi unajishughulisha Na nini baada ya Huo Mkasa? Unaendelea kuwasilisha papers kwenye makongamano?
 
Ndio maana Trump kawapiga marufuku waislamu kuingia kwenye nchi yake maana ubinafisi na kutokuwa na roho ya huruma ndio mafundisho yenu.

Ndivyo huyo Allah alivyowaagiza.?
 
Un


Mkuu unafikiria Wamarekani Na Vyombo vyao vya Usalama walikuwa nyuma ya ukweli hadi wewe ulipowaeleza kwenye Huo muhadhara Chuoni Ibadan? Siku hizi unajishughulisha Na nini baada ya Huo Mkasa? Unaendelea kuwasilisha papers kwenye makongamano?
Sanctus,
Nitakueleza jinsi Waafrika walivyokuwa hawajui baadhi mambo.
 
swala la msingi si kumuita baba yako wewe au kuto muita hivyo!!, swala hapa ni je neno wewe ni tusi au si tusi (kwa wazazi wa aina yako, unaweza hata kutaman kumpa razi mwanao sababu ya kukuita hivyo)
Uelewa wako mdogo sana umelala niangalie "swali la msingi" wapi niliposema"we"ni tusk? Nimekujibu hilo neno like tumia sehem isiyostahili wewe na mimi hatujuani lakini yule mzee anajulikana humu kuwa ni mzee huwezi kumuita "we" ni kumkosea adabu nay si uungwana na nimekuuliza baba yako unaweza kumuita "we"
 
Hii IPO kiusalama zaidi kulingana na hali halisi mfano hapa tz ukitokea west Africa hasa Nigeria,Pakistan,somalia,Nepal,sri Lanka, lzm ukaguliwe mara mbili mbili kujiridhisha je we ni Salama sbb kuna baadhi ya raia wa nchi hizo wana mashaka,unga,utapeli,ugaidi, nk hata China ukitokea west Africa utakaguliwa sana kuliko atokae east Africa, kuna nchi mfano Korea, Japan,Oman,UAE, Dubai,USA,Ulaya yote,Russia huwa si za kutilia sana shaka sababu ya nature zao na ni nadra sana kuwakuta kwenye matukio ya shaka kiusalama watakavo tiliwa shaka si sawa na atokae Iraq,Somali,Nigeria nk .ni ktk hali ya kiusalama tu.
 
Hii ilitakiwa umkoti' huyu Mzee wetu Mohamed Said aid ,
 
Si hivo my Dada Kwa tz waislamu ndo wanaongoza kiuchumi na masuala yote ya biashara na uwekezaji fanya sensa angalia asilimia kubwa ya malori,daladala, mabasi,taxi soma ubavuni wamiliki wao 80% ni waislamu, anza viwanda vya dar Pugu road, Mandela,kilwa road,bagamoyo road, ingia maghorofa ya kkoo,nk nenda madukani,magengeni,nk asilimia 85 ni waislamu, ttzo nn sasa,waislamu wa tza wanashida moja hawapendani,ni wabinafsi,hawachangii masuala ya maendeleo yao mfano tu ni nadra sana kukuta hata kwenye michango mfano harambee za Ujenzi wa shule,misikiti,nk kukuta tajiri kajitolea zaid km ilivo Kwa upande wa dini zingine mfno ukistro,uhindu,nk ambapo wao ufanya harambee za michango ya kufa MTU unakuta MTU mmoja tu tena wa chini utoa na kutimiza ahadi ya kitu kikubwa,michango yao tu inaendesha tasisi zao bila kutegemea msaada nk,tofauti na waislamu ni wazito sana kuchangia manufaa yao zaid ya vile vifurahishavo macho mfano mashindano ya michezo,burudani nk.Tatizo haliko mfumo Kristo wala msikalie historia ndo vitu viwafanyavo mbaki nyuma japo mnanguvu kubwa kiuchumi anyway labda ni mipango ya Mungu kuleta mizania ya ubalance, wakristo kiuchumi ni wachache zaid kwenye nafasi za kitaaluma wanaonekana wana nguvu sababu ya Upendo na umoja wao.Cha msingi kitakiwacho muondoe dhana ya kujiona muu duni kitu ambacho akipo ni dhania tu hakuna abaguliwae nchini Kwa kunyimwa fursa kulingana na kuweza kwake,pia muondoe ubinafsi faidikeni nyote ki manufaa yenu na sote, futeni historia na dhana mfumo Christo ambayo ni dhana ya inferiority complex zaid kuliko hali halisi ni sawa na ukishaweka dhana ya kubaguliwa ukienda nchi za weupe kila wakufanyia wahisi unabaguliwa kumbe ni hisia tu.Wekezeni zaid kwenye elimu zote,harambee nk,ondoeni chuki za kuwabagua wengine wasio wa imani yenu kwenye shughuli zenu nk maana kuna kazi upewi kwenye maduka,viwanda,hotel,magari,biashara nk km wwe unatokea imani nyingine. Nakaribisha Hoja.
 
Hapo juu unasema umesafiri na mzungu hadi marekani kisha mwenzako ameachwa na wewe umekaguliwa(inawezekana hadi kwenye tigo) halafu bado unasema hakuna ubaguzi! Kweli wewe mwehu
Watu wa baadhi ya nchi wakifika US wanapigwa tena picha na kuchukuliwa upya biometric datas na sio kupekuliliwa.

P.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…