Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
Ki usema ukweli hipo hivi wenye MOHAMED SAID MOHAMED wengi sana wapo kwenye list ya wauza madawa ya kulevya na wengi wao ndo wale waarabu koko wapo kwenye kundi la watch list kwenye mitambo na system za uwanja wa ndege na mipakani so yawezekana walivyoingiza passport yako ikamatch jina so uliingizwa kwenye chumba kuhakikiwa kuwa we ni mmoja wapo?
Wenye jina MOHAMED kiukweli hata huku mtaani ni wajanja wajanja fulani hivi(JARIBU KUCHUNGUZA NYENDO ZA WATU WENYE JINA MOHAMED)
Wenye jina MOHAMED kiukweli hata huku mtaani ni wajanja wajanja fulani hivi(JARIBU KUCHUNGUZA NYENDO ZA WATU WENYE JINA MOHAMED)